mume wa mtu
JF-Expert Member
- Aug 11, 2015
- 653
- 386
Nilichogundua kilemba ndio changamoto inayofanya biashara iwe ya faida nyingi maana haiwi na watu wengi sana watakaoshusha bei ya bidhaa,inavyoonekana ukitoboa kwenye kilemba basi umeshatoboa kibiashara.😃Uzi mzuri ila haya mambo ya vilemba bwana🤣🤣
Komaa na hiyo iliyokulipa mil 38 huenda uka double mbana naona huko unafanikiwaMkuu nafanya biashara Ila nataka kubadili biashara
Kyusa street karibu na madogo wanachoma kuku wa kienyeji jioni!!? Nitakuja kukuungisha nikija pande hizo.Usinunue mazao na kuweka store nenda sokoni uwe unanunua nafaka kwa wakulima na wale wanaotoa vijiji, we uwe unauza kama wholesale
Ukiwa unanunua afu unaweka store ukisubili price kupanda hiyo sio biashara bali ni kamali cos posibility ya kushuka inakuwepo kubwa
Ushauli wangu: Fanya research ya nafaka unayotaka kuuza mfano mchele anzia wanakonunulia(kobolewa) inaweza ikawa Kahama, Mpanda, Mbeya n.k ili kujua season kwa mwaka ukimaliza tafuta store town hapa wanapouza nafaka agiza au uwe unaenda mwenyewe mwanzo hautakuwa unapata faida kubwa ila kadri muda unavyozidi kwenda faida utayona tena kubwa kubwa.
Mwisho wasiku utapata wenyeji wa maeneo uliyochulia mzigo watakuwa wanajua wewe unataka mchele wa aina gani so itakuwa rahisi kwao kukutumia mzigo unao utaka au una mechi na soko lako
Nb: Ninapatikana Moshi (kiusa) jilani na panoni petro station nauza maharage na mchele kutoka kahama grade 1 kiroba 50kg 85000 kwa kilo 1700 na grade 2 kiroba 50kg 75000 kwa kilo 1500 na maharage price ya sokoni kwa jumla 2200 ya songea na 2300 kwa yanayotea sanya juu hapahapa moshi
Mkuu kilemba ndo nini?Hiyo hela yako utaipoteza mkuu ukienda Kkoo. Licha ya kwamba biashara si nzuri hapo lakini huo mtaji utaenda kuchoma. Kwanza kilemba tu hata hiyo 35 yako itapotea. Me nadhan nenda mkoa unaoanza kuchipukia. Ama fanya biashara ingine mtaani
hahahahahah yaani akabetNiyie mpo dunia ya ngapi wakuu achana na hao watakupoteza kabisa kabisa mkuu
FAIDA YA HARAKA NA KWA WINGI
Bayern
Madrid
Man City
Dortmund
Inter
Juve
Celtic
Piga 7 X 34 = halafu ukipata hiyo hela toa % 20 iliyobaki yote ni yako mkuu hapa wazee wa mikeka wataelewa hii plan
USHAURI WA BURE
Nunua au jenga lodge sehemu nzuri waka na vinywaji na chakula
Usafarishaji nunua coster fanya daladala
Au ukishindwa vyote hiyo pesa itapotea kama upepo tu nawasilisha
Mkuu nimepitia mawazo ya watu wengi sana hapa ni mazuri, ila wakati mwingine kila mtu anaiona biashara kulingana na upande aliosimama mfano pharmacist kukushauri ufungue pharmacy ni rahisi sanaa ila unaweza kukuta wewe na pharmacy ni giza ( simaanishi kuwa haiwezekani).Ushauri wangu kwako kwanza angalia kile kitu ambacho wew kwa mazingira yako unaweza kukifanya vizuri kabisa then chukua hatua tafuta ''mentor'' mtu atakayekushauri kuhusu hicho unachotaka kufanya halafu usiogope kupoteza muda chukua hata miezi sita ili kujua kwa usahihi unachotaka kufanya, kariakoo sio lazima sana uanze na fremu kubwa kuna vigoli pia laikin hakikisha lazima umpate mentor kabla ya kufanya chochote.Wakuu nimebangaiza nimefanikiwa kuweka Milioni 35 nataka kuingia katika biashara Kariakoo, nifanye biashara gani?
Michango ya wadau
Zaidi soma>>Baadhi ya njia unazoweza kutumia kupata wazo bora la biashara (Business Idea)
Hongera mkuu 35 kibongo bongo uko vizuri
Kweli Kariakoo Changamoto ni Kilemba, otherwise sioni anayelalamika kuwa biashara mbayaWakuu nimebangaiza nimefanikiwa kuweka Milioni 35 nataka kuingia katika biashara Kariakoo, nifanye biashara gani?
Michango ya wadau
Zaidi soma>>Baadhi ya njia unazoweza kutumia kupata wazo bora la biashara (Business Idea)
Huo ushauri usipokuwa na tija utamrudishia malipo yake??Naweza kukupa ushauri kwa uhakika na wenye tija ila kwa makubaliano ya malipo. Kama upo tayari njoo
ndio umejua je?Huo ushauri usipokuwa na tija utamrudishia malipo yake??
Hizi ni issue za waganga wa kienyeji