Sea Beast
JF-Expert Member
- Aug 5, 2022
- 2,212
- 4,808
Kila mwanaume timamu aliyesoma kichwa cha uzi alizani uzi unamuhusu mwanamke nachomaanisha huu uzi ilibidi umuhusu mwanamke sio mwanaume, umedharirisha wanaume tuombe msamaha.
MWANAUME hawazi, hatakiwi kuwaza wala kuwa na wazo la kuwaza kuhusu suala la yeye kuwa na mtoto anapotaka kuoa na wala halijawai kuwa tatizo toka Dunia iumbe.
Kwa mada hii jamaa yako hana tofauti na Single Mother mpaka pale atapotambua yeye ni mwanaume.
MWANAUME hawazi, hatakiwi kuwaza wala kuwa na wazo la kuwaza kuhusu suala la yeye kuwa na mtoto anapotaka kuoa na wala halijawai kuwa tatizo toka Dunia iumbe.
Kwa mada hii jamaa yako hana tofauti na Single Mother mpaka pale atapotambua yeye ni mwanaume.