🤣🤣🤣Huyo anaetaka ushauri Ndo mpo mnakula nae konyagi muda huu?!
Mwanaume hauna haja ya kuogopa
Act like a Man
Be like a Man
Be a Gentleman
Kwa Sasa ni hayo mkuu yatafakari
Usifikirie mengine bali mwambie ukweli ili aamue kuwa nawe au kusitisha mahusiano ya ndoa na wewe. Ni bora ajue kabla kuliko akajua tayari akiwa ndani ya ndoa mkuu, makovu yake ni makubwa na hatakuamini tena.Habari za jioni wana JF. A true story inayohitaji msaada kutoka kwa rafiki yangu wa karibu, Yeye tayari ana mtoto wa miaka miwili lakini hayupo pamoja na Mama mtoto wake. Sasa yupo kwenye mahusiano ambayo conclusion yake ni Ndoa na ni ndani ya mwaka huu 2024.
Naomba tumshauri, anatakiwa afanye nini kumueleza huyu Mwanamke kwamba tayari yeye ana mtoto wa miaka miwili, ili isilete shida. Huwa inakuaje? Kwa wazoefu.
Ningetamani mawazo ya pande zoote mbili. Na kataa ndoa tutulie.
🚮Kwa Nini usimfundishe ajiunge jamii forum kama wewe umeshindwa kumshauri!?atakutuma mara ngapi? ,,, Tena mwambie asikuzoee, haiwezekani member mwenzetu anatumika kama jini,kutumwatumwa tuuu bila mpango
Wewe jamaa wewe🤣🤣🤣Huyo anaetaka ushauri Ndo mpo mnakula nae konyagi muda huu?!
Enhe maoni yako muhimuMbona hilo ni Jambo dogo Sana jamani.
Usioe. MkuuuHabari za jioni wana JF. A true story inayohitaji msaada kutoka kwa rafiki yangu wa karibu, Yeye tayari ana mtoto wa miaka miwili lakini hayupo pamoja na Mama mtoto wake. Sasa yupo kwenye mahusiano ambayo conclusion yake ni Ndoa na ni ndani ya mwaka huu 2024.
Naomba tumshauri, anatakiwa afanye nini kumueleza huyu Mwanamke kwamba tayari yeye ana mtoto wa miaka miwili, ili isilete shida. Huwa inakuaje? Kwa wazoefu.
Ningetamani mawazo ya pande zoote mbili. Na kataa ndoa tutulie.