Nina mwezi mmoja tu umebaki kabla ya kufunga ndoa. Ushauri wenu tafadhali

Nina mwezi mmoja tu umebaki kabla ya kufunga ndoa. Ushauri wenu tafadhali

Iheshimu ndoa yako kamwe usimsaliti mkeo.
Wakuu, Kama kichwa cha habari kinavyojieleza. Mimi ni kijana mdogo niko kwenye early 20's. Nategemea kuoa kwa mara yangu ya kwanza na nimebakiza mwezi mmoja kabla ya kufunga ndoa.

Je, nini nikifanye kipindi hiki nikiwa naelekea kuwa mwanamme kamili.

Natanguliza Shukrani.
 
Kijana unafahamu changamoto za ndoa kweli, I tell you truth from the bottom of my heart...UMEKURUPUKA wewe bado mdogo sana kuyavaa hayo majukumu....Think big AKILI MTU WANGU!
 
Wakuu, Kama kichwa cha habari kinavyojieleza. Mimi ni kijana mdogo niko kwenye early 20's. Nategemea kuoa kwa mara yangu ya kwanza na nimebakiza mwezi mmoja kabla ya kufunga ndoa.

Je, nini nikifanye kipindi hiki nikiwa naelekea kuwa mwanamme kamili.

Natanguliza Shukrani.

Anza kula karanga mbichi na maziwa mtindi na kitanda weka chaga nzuri zenye uimara na nyoa msitu wa mabwepande huo kila la heri kwa kuingia cha kike!miaka 20 unakimbilia ndoa?hizi ndio zile tunaziitaga ndoa mihemuko.
 
Wakuu, Kama kichwa cha habari kinavyojieleza. Mimi ni kijana mdogo niko kwenye early 20's. Nategemea kuoa kwa mara yangu ya kwanza na nimebakiza mwezi mmoja kabla ya kufunga ndoa.

Je, nini nikifanye kipindi hiki nikiwa naelekea kuwa mwanamme kamili.

Natanguliza Shukrani.
kuwa mvumilivu dogo kuna KUCHAPIWA...
 
Ya kwenu ni ya kwenu tu. Mambo ya kushauriwa kila saa hamna kitu. Always aim kutatua na kutengeneza nyumba yenu nyinyi wenyewe. Anyways I hope umethink through this..hujakurupuka..I really hope🙂
 
Mwenzio nna mwaka mmoja na nusu tangu nioe,
Nakula mbuthuthu😄,
 
Wakuu, Kama kichwa cha habari kinavyojieleza. Mimi ni kijana mdogo niko kwenye early 20's. Nategemea kuoa kwa mara yangu ya kwanza na nimebakiza mwezi mmoja kabla ya kufunga ndoa.

Je, nini nikifanye kipindi hiki nikiwa naelekea kuwa mwanamme kamili.

Natanguliza Shukrani.
Kila la kher kijana, amini MUNGU tu.. Ila ki ukweli ndoa inahitaji kutumia akili zilizokomaa sio mihemko ya kimwili na akili za kukopa...
 
Back
Top Bottom