Wakuu, Kama kichwa cha habari kinavyojieleza. Mimi ni kijana mdogo niko kwenye early 20's. Nategemea kuoa kwa mara yangu ya kwanza na nimebakiza mwezi mmoja kabla ya kufunga ndoa.
Je, nini nikifanye kipindi hiki nikiwa naelekea kuwa mwanamme kamili.
Natanguliza Shukrani.
😂😂😂Ndoa sio kitu kibaya
Early 20s unaoa🙄 mbona umeamua kuondoka night club saa tatu, dj hapigi zinazokubamba nini 😁
Ushauri wangu ni huu "KATAA NDOA".Wakuu, Kama kichwa cha habari kinavyojieleza. Mimi ni kijana mdogo niko kwenye early 20's. Nategemea kuoa kwa mara yangu ya kwanza na nimebakiza mwezi mmoja kabla ya kufunga ndoa.
Je, nini nikifanye kipindi hiki nikiwa naelekea kuwa mwanamme kamili.
Natanguliza Shukrani.
😂😂😂😂😂😂Ndoa ni upumbav... KATAA NDOA UISHI KWA AMANI UIMARIKE KIUCHUMI
Mwacheee tule ubwabwa kwanzaMazee tumwambie ukweli huyu au tumwache tu?
dronedrake mtupuuuu!Huyu mwenye shat nyeusi ndio bwana drake[emoji23][emoji23]
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣dronedrake mtupuuuu!
Wakuu, Kama kichwa cha habari kinavyojieleza. Mimi ni kijana mdogo niko kwenye early 20's. Nategemea kuoa kwa mara yangu ya kwanza na nimebakiza mwezi mmoja kabla ya kufunga ndoa.
Je, nini nikifanye kipindi hiki nikiwa naelekea kuwa mwanamme kamili.
Natanguliza Shukrani.
kuwa mvumilivu dogo kuna KUCHAPIWA...Wakuu, Kama kichwa cha habari kinavyojieleza. Mimi ni kijana mdogo niko kwenye early 20's. Nategemea kuoa kwa mara yangu ya kwanza na nimebakiza mwezi mmoja kabla ya kufunga ndoa.
Je, nini nikifanye kipindi hiki nikiwa naelekea kuwa mwanamme kamili.
Natanguliza Shukrani.
Kila la kher kijana, amini MUNGU tu.. Ila ki ukweli ndoa inahitaji kutumia akili zilizokomaa sio mihemko ya kimwili na akili za kukopa...Wakuu, Kama kichwa cha habari kinavyojieleza. Mimi ni kijana mdogo niko kwenye early 20's. Nategemea kuoa kwa mara yangu ya kwanza na nimebakiza mwezi mmoja kabla ya kufunga ndoa.
Je, nini nikifanye kipindi hiki nikiwa naelekea kuwa mwanamme kamili.
Natanguliza Shukrani.