Nina ndoto Nina ndoto wa Tanzania wenzangu

Nina ndoto Nina ndoto wa Tanzania wenzangu

TumainiEl

JF-Expert Member
Joined
Jan 13, 2010
Posts
6,782
Reaction score
12,716
Mungu hufanya majira na wafalme. Mungu hufanya yale soote hatuyawazi wala hatuyafikirii.
Namuona Mungu wa Tanzania 🇹🇿 Mungu wa Baba Yetu Nyerere anajambo lake anajambo lake sio wanadam wala sio mwingine ila mtoto amekimbiziwa Misri.


1000139891.jpg
 
Wakianzisha huo utaratibu wajue ndio utakuwa utaratibu rasmi,nimeona Chadomo wamezusha kwenye account zao huko Twitter.

Ngoja tusubirie tuone.
Huu ndio mchezo rasmi, unasema chadomo wakati hizi nyuzi ni za wanaccm, na Paskali Mayalla kaleta uzi wa hivyo jana hapa jf? Haya mambo ya kutawala bila ridhaa ya wananchi, makundi ya wenye uchu wa madaraka lazima wafanye yao maana wanajua hakuna aliye kwa ridhaa ya wananchi, bali makundi ya maslahi binafsi.
 
Back
Top Bottom