Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakianzisha huo utaratibu wajue ndio utakuwa utaratibu rasmi,nimeona Chadomo wamezusha kwenye account zao huko Twitter.Lini mmepanga kumtoa aliyepo aingie huyo?
Sina hakika kama Mungu wa.kweli anawatuma hao wanaojisemesha labda ni Mungu wa matamanio Yao
Huu ndio mchezo rasmi, unasema chadomo wakati hizi nyuzi ni za wanaccm, na Paskali Mayalla kaleta uzi wa hivyo jana hapa jf? Haya mambo ya kutawala bila ridhaa ya wananchi, makundi ya wenye uchu wa madaraka lazima wafanye yao maana wanajua hakuna aliye kwa ridhaa ya wananchi, bali makundi ya maslahi binafsi.Wakianzisha huo utaratibu wajue ndio utakuwa utaratibu rasmi,nimeona Chadomo wamezusha kwenye account zao huko Twitter.
Ngoja tusubirie tuone.
USAKuna igizo Lina kuja.
Nikaona ikifanya haraka nyota hiyo kuwa jua, mara Lile jua likazima, na Ile nyota ikawa jua, mara Nuru itatokea tenaNyota Kutoka Brasil
Mizizi ya CCM iko Songea Kwa Mdhamini wa Chama Mzee Mustafa Songambele 😂emma kuna agenda amebeba na nchi hii, uzuri wake hajaibuka tu ni wa juzi jana na hata leo.
huu mvumo unao vuma sio bure kuna kushangazwa tena.
Ushauri wa Chala kuhusu Katiba mpya ungechukuliwa haraka na kufanyiwa KAZI!Nikaona ikifanya haraka nyota hiyo kuwa jua, mara Lile jua likazima, na Ile nyota ikawa jua, mara Nuru itatokea tena
Mustafa naniii? Wewe Yohanaaa MbatizajiiiiiiiiiMizizi ya CCM iko Songea Kwa Mdhamini wa Chama Mzee Mustafa Songambele 😂
Alishauri anasemaje Chala?Ushauri wa Chala kuhusu Katiba mpya ungechukuliwa haraka na kufanyiwa KAZI!
Kwa hiyo Gwajiboy vipi? (I mentioned it with due all of respect)Ushauri wa Chala kuhusu Katiba mpya ungechukuliwa haraka na kufanyiwa KAZI!