Nina ndoto Nina ndoto wa Tanzania wenzangu

Nina ndoto Nina ndoto wa Tanzania wenzangu

Mungu hufanya majira na wafalme. Mungu hufanya yale soote hatuyawazi wala hatuyafikirii.
Namuona Mungu wa Tanzania 🇹🇿 Mungu wa Baba Yetu Nyerere anajambo lake anajambo lake sio wanadam wala sio mwingine ila mtoto amekimbiziwa Misri.


View attachment 3228392
 

Attachments

  • 1edaac7a3e34dc7dbc36bb899a6e6430_1738702701936.mp4
    5.4 MB
Mimi namjua ajaye kwasababu niliambiwa na Mzee Kingunge akiwa nyumbani kwako pale Victoria nyumba yake ikitazamana na Shule ya Msingi Makumbusho miaka hiyooooo mara tu baada ya JK kushika usukani.
Shule ya Msingi Makumbusho 😄

Ile mitaa nawakumbuka pia Mzee Ngahyoma, Kanali Kimbau, Mzee Batenga, Mzee Kopa na Prof Mushi kule mbele zaidi Prof Kighoma Malima 😂😂😂
 
Mungu hufanya majira na wafalme. Mungu hufanya yale soote hatuyawazi wala hatuyafikirii.
Namuona Mungu wa Tanzania 🇹🇿 Mungu wa Baba Yetu Nyerere anajambo lake anajambo lake sio wanadam wala sio mwingine ila mtoto amekimbiziwa Misri.


View attachment 3228392
Mmemkataa mtu yule kabisa?
 
Back
Top Bottom