Van pebles
JF-Expert Member
- Oct 23, 2018
- 2,861
- 5,305
.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Prof Mushi, Prof kighoma Malima ,Hawa marafiki wa Mzee barabara ya kairuki Mitaa HyShule ya Msingi Makumbusho 😄
Ile mitaa nawakumbuka pia Mzee Ngahyoma, Kanali Kimbau, Mzee Batenga, Mzee Kopa na Prof Mushi kule mbele zaidi Prof Kighoma Malima 😂😂😂
Naona mkuu una u'Pascal Mayala Ndani Yako...Mungu hufanya majira na wafalme. Mungu hufanya yale soote hatuyawazi wala hatuyafikirii.
Namuona Mungu wa Tanzania 🇹🇿 Mungu wa Baba Yetu Nyerere anajambo lake anajambo lake sio wanadam wala sio mwingine ila mtoto amekimbiziwa Misri.
View attachment 3228392
....ule upande wa pili kwa akina KISEBENGO,nyamayao,Seng'endo.....Shule ya Msingi Makumbusho 😄
Ile mitaa nawakumbuka pia Mzee Ngahyoma, Kanali Kimbau, Mzee Batenga, Mzee Kopa na Prof Mushi kule mbele zaidi Prof Kighoma Malima 😂😂😂
....mzee Kufakunoga?!!Prof Mushi, Prof kighoma Malima ,Hawa marafiki wa Mzee barabara ya kairuki Mitaa Hy
Hahahaha....nyuma ya msikiti kuelekea maghorofa ya pamba , Pembeni nyumba ya masister ..🤣😆🤣....mzee Kufakunoga?!!
Tubeti 1m?, mi nasema hangaya hapitiFitina ,uzushi koko.,..
Taifa letu takatifu liko chini ya CHIFU HANGAYA....
Yupo saaanaaa ,aaamin aaamin aaamin!!!
Mtabiri koko tu. .Naona mkuu una u'Pascal Mayala Ndani Yako...
Hii ni Victoria eeh....ule upande wa pili kwa akina KISEBENGO,nyamayao,Seng'endo.....
Ewaaaaa....Hahahaha....nyuma ya msikiti kuelekea maghorofa ya pamba , Pembeni nyumba ya masister ..🤣😆🤣
YaaapppHii ni Victoria eeh
Sawa sawaYaaappp
Naweka mkeka 5m uko tayari?!!!Tubeti 1m?, mi nasema hangaya hapiti
Ngahyoma alikuwa Kona ya Mwananyamala Instana sijui sasa panaitwaje 😄Prof Mushi, Prof kighoma Malima ,Hawa marafiki wa Mzee barabara ya kairuki Mitaa Hy
Hahahaha napajua pale corner , ilikua maskani poa Sana pale, baadae alichukua mdada mmoja hv ..Ewaaaaa....
Godfrey alirudi kutoka ng'ambo....akaanzisha pub pale nyumbani kwao...mishikaki ya nundu mitamu pale ,hapo jirani na nyumba aliyokuwa anaishi Mh.Mbelwa Kairuki kabla hajawa balozi....
Deal fixed, tukutane 2026, shahidi Half american, Vishu Mtata, min -meNaweka mkeka 5m uko tayari?!!!
HANGAYA yupo saaanaaa aaamin!
Hao wazee wametulea enzi hizo , Regent ya kishua ,pale Kwa Batenga night supportNgahyoma alikuwa Kona ya Mwananyamala Instana sijui sasa panaitwaje 😄
Batenga Ndio pale Tanzanite😀
Prof Mushi bintiye Anande 😂😂
Kitambo sana