Mkunazi Njiwa
JF-Expert Member
- Apr 22, 2023
- 8,538
- 7,559
....mdada mrembo mpwa wa marehemu Spika Sitta ama ?!!Hahahaha napajua pale corner , ilikua maskani poa Sana pale, baadae alichukua mdada mmoja hv ..
Ngojea nitafuatilia....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
....mdada mrembo mpwa wa marehemu Spika Sitta ama ?!!Hahahaha napajua pale corner , ilikua maskani poa Sana pale, baadae alichukua mdada mmoja hv ..
Zena Bar Kwa akina Prisca mbele kidogo Timo Misokia Ndio unafika Kwa akina Dibo Richard Kasesela na Jobaka 😂😂😂....ule upande wa pili kwa akina KISEBENGO,nyamayao,Seng'endo.....
Usinihusishe kwenye maswala haram sheikh
Ha hahahahaha....mdada mrembo mpwa wa marehemu Spika Sitta ama ?!!
Ngojea nitafuatilia....
Hiyo migombani street SasaZena Bar Kwa akina Prisca mbele kidogo Timo Misokia Ndio unafika Kwa akina Dibo Richard Kasesela na Jobaka 😂😂😂
Oooh gosh..
Zena Bar /zena garden ishakufa...Zena Bar Kwa akina Prisca mbele kidogo Timo Misokia Ndio unafika Kwa akina Dibo Richard Kasesela na Jobaka 😂😂😂
....nimegusa mali zako mkuu wangu ?!! Ha ha haHa hahahahaha
Pale Uswazi kabla ya Mwananyamala Sports alikuwepo Frank Chamshama mtukutu wa bisibisi Kwa Sana 😄😄Hao wazee wametulea enzi hizo , Regent ya kishua ,pale Kwa Batenga night support
Hahahahaha,....nimegusa mali zako mkuu wangu ?!! Ha ha ha
au tu deposit kabisa kwa trusted influencer wa jf?.Oooh gosh..
You have put yourself into jeopardy.....
#Chifu HANGAYA ni nyota yetu na mizimu ya JMT inamuhitaji sanaaa aendelee kutuongoza!
Ibilisi albino tulia 😂Usinihusishe kwenye maswala haram sheikh
Tulikuwa na Ofisi zetu hapo Tanzania Agriculture Research Organization ( TARO)Hiyo migombani street Sasa
Karibu hapa Polos Mkuu
Ooh ok sawa sawa , kuanzia pale corner kuja Zena garden au Kwa Mzee kiluvyia kuna nyumba za kilimoTulikuwa na Ofisi zetu hapo Tanzania Agriculture Research Organization ( TARO)
Kitambo sana 😀😀
Hiyo migombani street Sasa
Karibu hapa Polos Mkuu
....kaka mkubwa Richard Kasesela tulikuwa wote "amsha amsha CCM " tawi letu CCM regency kontena kipindi cha katibu Chacha haswa uchaguzi mkuu wa 2010.....Zena Bar Kwa akina Prisca mbele kidogo Timo Misokia Ndio unafika Kwa akina Dibo Richard Kasesela na Jobaka 😂😂😂
Hatuwezi kuwa na Rais mnyoa kiduku labda akawe Rais wa Korea Kaskazini!Sisi wachezesha mashine wa kiroho kamari yetu tumempa Lisu.
Afe shetani au afe malaika ndio ishapitishwa!
Hahahaha,Chacha Baunsa ?....kaka mkubwa Richard Kasesela tulikuwa wote "amsha amsha CCM " tawi letu CCM regency kontena kipindi cha katibu Chacha haswa uchaguzi mkuu wa 2010.....
Container karibu na Kwa akina Andrew Mwela 😄....kaka mkubwa Richard Kasesela tulikuwa wote "amsha amsha CCM " tawi letu CCM regency kontena kipindi cha katibu Chacha haswa uchaguzi mkuu wa 2010.....
Ha ha ha haHahahaha,Chacha Baunsa ?