Subira the princess
JF-Expert Member
- Mar 3, 2018
- 3,474
- 3,744
Mungu hufanya majira na wafalme. Mungu hufanya yale soote hatuyawazi wala hatuyafikirii.
Namuona Mungu wa Tanzania πΉπΏ Mungu wa Baba Yetu Nyerere anajambo lake anajambo lake sio wanadam wala sio mwingine ila mtoto amekimbiziwa Misri.
View attachment 3228392
Njia za Mungu Si kama za WANADAMU,Kwa hiyo Gwajiboy vipi? (I mentioned it with due all of respect)
Vilaza wengi hukoMizizi ya CCM iko Songea Kwa Mdhamini wa Chama Mzee Mustafa Songambele π
Vilaza wengi hukoMizizi ya CCM iko Songea Kwa Mdhamini wa Chama Mzee Mustafa Songambele π
Kama ulimsikia JK pale Lupaso msibani kwa Ben alisema 1995 ilishasemwa na mwalimu akitoka Ben ni JK 2005 kisha....πMustafa naniii? Wewe Yohanaaa Mbatizajiiiiiiiii
Ni Yeye au Tumsubirie mwingine?
Mimi namjua ajaye kwasababu niliambiwa na Mzee Kingunge akiwa nyumbani kwake pale Victoria nyumba yake ikitazamana na Shule ya Msingi Makumbusho miaka hiyooooo mara tu baada ya JK kushika usukani.Baaaaaas,huyo ndiyo ajaye
Na iwe hivyo Oct 2025!!!Yeaahh..... ewian oyvih tco 5202.
Mtaje pleaseMimi namjua ajaye kwasababu niliambiwa na Mzee Kingunge akiwa nyumbani kwako pale Victoria nyumba yake ikitazamana na Shule ya Msingi Makumbusho miaka hiyooooo mara tu baada ya JK kushika usukani.
How can you name the obvious?Mtaje please
Shule ya Msingi Makumbusho πMimi namjua ajaye kwasababu niliambiwa na Mzee Kingunge akiwa nyumbani kwako pale Victoria nyumba yake ikitazamana na Shule ya Msingi Makumbusho miaka hiyooooo mara tu baada ya JK kushika usukani.
Mmemkataa mtu yule kabisa?Mungu hufanya majira na wafalme. Mungu hufanya yale soote hatuyawazi wala hatuyafikirii.
Namuona Mungu wa Tanzania πΉπΏ Mungu wa Baba Yetu Nyerere anajambo lake anajambo lake sio wanadam wala sio mwingine ila mtoto amekimbiziwa Misri.
View attachment 3228392
Uko nyuma sana! Wenzio washapanga na haipanguki, Tulikuonya ukatupuuzaWakianzisha huo utaratibu wajue ndio utakuwa utaratibu rasmi,nimeona Chadomo wamezusha kwenye account zao huko Twitter.
Ngoja tusubirie tuone.
It's a day dreamI will be the happiest person on earth if your dream would be materialized
Amin Amin nawaambia mmoja wenu atanisalitiUko nyuma sana! Wenzio washapanga na haipanguki, Tulikuonya ukatupuuza
Endelea kuwewesekaAmin Amin nawaambia mmoja wenu atanisaliti
Hakunaga mtume hata mmoja aliyemuhisi Yuda Iskarioti π
Sugu amemaliza ziara ya vijijini? πEndelea kuweweseka