Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 19,644
- 40,546
- Thread starter
- #121
Daaah mkuu kuna kitu unacho hapo ila naona umeongea kwa summary sana..Humu watu wamekomaa na " jina lina reflect image yako" mbona kuna watu wanajiita chma ch mapinduzi ila mapinduzi hatuyaoni.
"Words has power" ndio ila sio kwenye mafanikio. Kwenye mafanikio ni Mindset yako, Support, right people and doing what you love
Sio ukijiita Bill gates ndo utakua tahiri
Nakuomba kwa muda fafanua kidogo hapo mkuu