Ana ndoto kubwa kuliko hata akili yakeKila kitu nikuthubutu Una ndoto kubwa Sana .
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ana ndoto kubwa kuliko hata akili yakeKila kitu nikuthubutu Una ndoto kubwa Sana .
Duniani kote viwanda ndo mkombozi wa watu ambao hawajasoma blue collar jobzipi hizo?
Hujamaliza pia kujibu maswali yote
Hujajibu swali. Unaleta porojo.Duniani kote viwanda ndo mkombozi wa watu ambao hawajasoma blue collar job
Viwandani machine operator ndo wanatakiwa kusomea ku-operate machine
Kama umeshawahi kufanya kazi kiwandani utanielewa
Ahsante kwa kushirikiHujajibu swali. Unaleta porojo.
Haya kajinoe zaidi bado hujaiva vizuri
Ahsante kwa kushirikiAcha bangi
Huwezi kuwa rais kirahisi rahisi namna hiyo, wakati hata matakwa ya kikatiba ya mtu kuwa rais huyajui.Nina miaka 32,
Unafahamu taratibu za kugombea urais Tanzania? Wewe ni mwanachama wa chama gani cha siasa?Lengo langu ni kuwa Rais na sio nafasi nyingine
Hakuna linaloshindikana hapa dunianiUnafahamu taratibu za kugombea urais Tanzania? Wewe ni mwanachama wa chama gani cha siasa?
Si unafahamu katiba ya sasa hairuhusu mgombea binafsi?
Ulitakiwa ujkite kwanza kwenye kubadili haya mazingira na mfumo ambao hauwezi kutupatia viongozi bora bali bora viongozi! Especially under this current constitution.
We unataka kuwa raisi kuendeleza ujinga wa porojo za maneno matamu ya kwenye makabrasha huku matendo ni ufisadi?
Katiba naijua vizuri tu ila jua mimi ntakua raisHuwezi kuwa rais kirahisi rahisi namna hiyo, wakati hata matakwa ya kikatiba ya mtu kuwa rais huyajui.
Ahsante kwa maoni yakoKwa katiba yetu umri wa kuwa Rais ni miaka 40, kwa sasa endelea kutembea na birika la kahawa na kashata uuzie wateja
Sawa Sasa tunapitaje pitaje mkuuNina miaka 32, elimu bachelor of science economics population and development chuo mzumbe, kazi nayojishughulisha kwa sasa mfanyabiashara
Kama kisemavyo kichwa cha habari nina nia ya kuwa Rais wa Tanzania, kwanini nimeonyesha nia ni kupitia sababu zifuatazo
1- Serekali ya ccm imeishiwa mbinu kabisa za kuitoa nchi hapa ilipo mfano imeshindwa kubuni vyanzo vipya vya kodi na hii imepelekea kuongeza tozo na kodi kwa wananchi ambao tayari wana mzigo mkubwa tayari wa kodi na tozo, pia wanakopa sana jambo ambalo sio afya kwa uchumi
2- Upinzani hawana sera mbadala badala yake wameamua kuongea maneno matupu
Nini ntafanya kuitoa nchi hapa ilipo
i) kwa miaka 10 ntajenga viwanda zaidi ya laki 1 ndio laki moja
ii) kwa mda wa miaka 10 ntaongeza pato jipya lenye thamani ya usd billion 100 na zaidi fahamu hiki ni chanzo kipya
Kutakua na zone saba nchi nzima ambazo zitakua ni kitovu cha viwanda ili kupeleka maendeleo kila mahali ni kama zifuatazo;-
a-Wilaya ya mpanda na uvinza
b-Wilaya ya muleba na karagwe
c-Wilaya ya kishapu na shinyanga vijijini
d-Wilaya ya itigi na manyoni
e-Wilaya ya ruangwa na lindi vijijini
f-Wilaya ya mwanga na moshi vijijini
g-Wilya ya kibaha, chalinze, bagamoyo na mkurunga
iii) ntaondoa sektor ambazo sio rasmi kama wamachinga, wauza mitumba bodaboda n.k sababu wataajiriwa kwenye hivyo viwanda zaidi ya laki 1
iv) Nchi ikiwa na viwanda zaidi ya laki 1 hizi squatters na slum zitaondoka sababu nchi nzima itapangwa kisasa na upya na itakua ni kosa kujenga bila kibali
"Hakuna jiwe litakakuwa juu ya jiwe lingine"
Utaona na kila update nitatoa hapa kwenye uziSawa Sasa tunapitaje pitaje mkuu
sawa karibu uje ujaze fomu ya maadiliNina miaka 32, elimu bachelor of science economics population and development chuo mzumbe, kazi nayojishughulisha kwa sasa mfanyabiashara
Kama kisemavyo kichwa cha habari nina nia ya kuwa Rais wa Tanzania, kwanini nimeonyesha nia ni kupitia sababu zifuatazo
1- Serekali ya ccm imeishiwa mbinu kabisa za kuitoa nchi hapa ilipo mfano imeshindwa kubuni vyanzo vipya vya kodi na hii imepelekea kuongeza tozo na kodi kwa wananchi ambao tayari wana mzigo mkubwa tayari wa kodi na tozo, pia wanakopa sana jambo ambalo sio afya kwa uchumi
2- Upinzani hawana sera mbadala badala yake wameamua kuongea maneno matupu
Nini ntafanya kuitoa nchi hapa ilipo
i) kwa miaka 10 ntajenga viwanda zaidi ya laki 1 ndio laki moja
ii) kwa mda wa miaka 10 ntaongeza pato jipya lenye thamani ya usd billion 100 na zaidi fahamu hiki ni chanzo kipya
Kutakua na zone saba nchi nzima ambazo zitakua ni kitovu cha viwanda ili kupeleka maendeleo kila mahali ni kama zifuatazo;-
a-Wilaya ya mpanda na uvinza
b-Wilaya ya muleba na karagwe
c-Wilaya ya kishapu na shinyanga vijijini
d-Wilaya ya itigi na manyoni
e-Wilaya ya ruangwa na lindi vijijini
f-Wilaya ya mwanga na moshi vijijini
g-Wilya ya kibaha, chalinze, bagamoyo na mkurunga
iii) ntaondoa sektor ambazo sio rasmi kama wamachinga, wauza mitumba bodaboda n.k sababu wataajiriwa kwenye hivyo viwanda zaidi ya laki 1
iv) Nchi ikiwa na viwanda zaidi ya laki 1 hizi squatters na slum zitaondoka sababu nchi nzima itapangwa kisasa na upya na itakua ni kosa kujenga bila kibali
"Hakuna jiwe litakakuwa juu ya jiwe lingine"
Viongozi waliopo hawana maadili yeyote yalesawa karibu uje ujaze fomu ya maadili
Ahsante kwa kushirikiHuna Akili Dogo
Nikukumbushe wewe na wenzako wenye akili mmeshindwa kuitoa kwenye umaskini mkubwa vijana hawana kazi kimbilio lao ni kuwa wamachinga, bodaboda na kubetAna ndoto kubwa kuliko hata akili yake