Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahsante kwa kushirikiSwali la msingi,umeoa/kuolewa? Je umeimudu familia Yako? Kama familia huimudu,nchi utakufa?
Unaandika BP au Project ya Chuo? Mbona kama unaota hivi....! Endelea kuota tu....hakuna kitu kama hichoNina miaka 32, elimu bachelor of science economics population and development chuo mzumbe, kazi nayojishughulisha kwa sasa mfanyabiashar...
Watanzania kila kitu kwao ni porojo ili hali nchi ipo kwenye dimbwi la umaskini kwa miaka zaidi ya 60 tokea uhuru na kila siku wanalalamika unawaambia tufanye hivi wanakuambia ni porojoSawa ila umejieleza kwa porojo kama m-CCM tu.
Kwako ndo hakipo kwangu kipo na kwenye huu uzi utajionea mwenyeweUnaandika BP au Project ya Chuo? Mbona kama unaota hivi....! Endelea kuota tu....hakuna kitu kama hicho
Bado u-mchanga kiasi.Kuakua ujionee nini maana ya porojo zako.Have a little bit of time.Watanzania kila kitu kwao ni porojo ili hali nchi ipo kwenye dimbwi la umaskini kwa miaka zaidi ya 60 tokea uhuru na kila siku wanalalamika unawaambia tufanye hivi wanakuambia ni porojo
Atanung'unika unamu-underrate!Unatuchosha tu....tutolee wehu wako!!
Picha yake akiwa kwenye pozi la kujenga viwanda na kuwaondoa machnga na wauza mitumba?Kapicha Kako tafadhali
Ahsante kwa kushirikiUnatuchosha tu....tutolee wehu wako!!
Na,utoe ahadi kwamba mara nyingine utaandika kwa kufuata kanuni za uandishi.Ahsante kwa kushiriki
Hakuna ulazima huo jamiiforumNa,utoe ahadi kwamba mara nyingine utaandika kwa kufuata kanuni za uandishi.
Alikudanganya nani?Hakuna ulazima huo jamiiforum
Lengo la uzi sio kuongelea uandishi siwezi poteza nguvu kuongelea jambo ambalo sio lengo la uziAlikudanganya nani?
Kuwa na viwanda tu hakutoshi kukufanya wewe uwe tajiri, naomba utuambie utazalisha nn na soko lako litakuwa wapiNina miaka 32, elimu bachelor of science economics population and development chuo mzumbe, kazi nayojishughulisha kwa sasa mfanyabiashara
Kama kisemavyo kichwa cha habari nina nia ya kuwa Rais wa Tanzania, kwanini nimeonyesha nia ni kupitia sababu zifuatazo
1- Serekali ya ccm imeishiwa mbinu kabisa za kuitoa nchi hapa ilipo mfano imeshindwa kubuni vyanzo vipya vya kodi na hii imepelekea kuongeza tozo na kodi kwa wananchi ambao tayari wana mzigo mkubwa tayari wa kodi na tozo, pia wanakopa sana jambo ambalo sio afya kwa uchumi
2- Upinzani hawana sera mbadala badala yake wameamua kuongea maneno matupu
Nini ntafanya kuitoa nchi hapa ilipo
i) kwa miaka 10 ntajenga viwanda zaidi ya laki 1 ndio laki moja
ii) kwa mda wa miaka 10 ntaongeza pato jipya lenye thamani ya usd billion 100 na zaidi fahamu hiki ni chanzo kipya
Kutakua na zone saba nchi nzima ambazo zitakua ni kitovu cha viwanda ili kupeleka maendeleo kila mahali ni kama zifuatazo;-
a-Wilaya ya mpanda na uvinza viwanda zaidi ya 20,000
b-Wilaya ya muleba na karagwe viwanda zaidi ya 20,000
c-Wilaya ya kishapu na shinyanga vijijini viwanda zaidi ya 20,000
d-Wilaya ya itigi na manyoni viwanda zaidi ya 20,000
e-Wilaya ya ruangwa na lindi vijijini viwanda zaidi ya 20,000
f-Wilaya ya mwanga na moshi vijijini viwanda zaidi ya 20,000
g-Wilya ya kibaha, chalinze, bagamoyo na mkurunga viwanda zaidi ya 30,000
iii) ntaondoa sektor ambazo sio rasmi (informal sector)kama wamachinga, wauza mitumba bodaboda n.k sababu wataajiriwa kwenye hivyo viwanda zaidi ya laki 1
iv) Nchi ikiwa na viwanda zaidi ya laki 1 hizi squatters na slum zitaondoka tu automatical sababu kutakua na hela ya kuziondoa na watu watakua na kazi za uhakika na hii itaenda sambamba na kupanga kisasa nchi nzima kisasa na nyumba na majengo yatakua na mfumo unao-fanana ili miji yetu ipendeze sio kila mtu anajenga jenga namna anavyotaka
"Hakuna jiwe litakakuwa juu ya jiwe lingine; jiunge turudishe madaraka kwa wananchi"