Nina nia ya kuwa Rais wa Tanzania

Nina nia ya kuwa Rais wa Tanzania

Uraisi hautaki hizo agenda zako tu mkuu, urais sifa yake nyingine ni KUJULIKANA.

Anza sasa kufanya vituko vituko vyenye akili na vyenye kujenga heshima yako, sio ufanye vituko vya kina Mwijaku.

Tofauti na hapo,anzia uwenyekiti wa mtaa kwanza safari ya kuwa rais sio haba tena kwa Tanzania ndio kimbembe.

CCM wana list ya rais hadi wa mwaka 2060 majina wameyapanga tu. Ni wewe uwashawishi wamtoe nani wakueke wewe ila Rais tayari wanae.
 
Lofa mfanyabiashara ndogo machinga eti utajenga viwanda laki moja

Una Hela za kujenga wewe

Hata ulichosoma hukuelewa hujui hata anayejenga viwanda nani ? Hata ukiwa Raisi

Hapo unaaibisha hicho kidigrii chako Koko kina jina refu lakini hamna kitu
Mimi nimemshangaa kweli yaani anavyotiririka kutaja idadi ya viwanda utadhani kujenga kiwanda ni sawa na kununua baiskeli au bodaboda.
Huyu dogo hata shule yake alienda kuhudhuria tu ili kuongeza miaka ya ukuaji.
 
Duniani kote viwanda ndo mkombozi wa watu ambao hawajasoma blue collar job
Viwandani machine operator ndo wanatakiwa kusomea ku-operate machine

Kama umeshawahi kufanya kazi kiwandani utanielewa
Wewe unaongelea wale vibarua wa kiwandani wanaolipwa mshahara wa elfu 5 kwa siku.
Sasa kwa akili yako wewe kibarua wa kiwandani na mmachinga wa kariakoo ni yupi anapata hela nyingi zaidi?
 
Acha ujinga mzee hujui hata Sheria zakua raisi halafu unataka uraisi boya wewe nyie ndio mnakuwaga mafisadi mkishaingia kwenye vyeo mwanzo mnajifanya mtasaidia wananchi raisi wa kweli kama magu alikua Hana mambo mengi anasema sitawaangusa tu basi Sasa wewe porojo nyingi hata form hujapewa kiufupi wewe tapeli kama wajinga wenzio wa ccm
 
Nina miaka 32, elimu bachelor of science economics population and development chuo mzumbe, kazi nayojishughulisha kwa sasa mfanyabiashara

Kama kisemavyo kichwa cha habari nina nia ya kuwa Rais wa Tanzania, kwanini nimeonyesha nia ni kupitia sababu zifuatazo
1- Serekali ya ccm imeishiwa mbinu kabisa za kuitoa nchi hapa ilipo mfano imeshindwa kubuni vyanzo vipya vya kodi na hii imepelekea kuongeza tozo na kodi kwa wananchi ambao tayari wana mzigo mkubwa tayari wa kodi na tozo, pia wanakopa sana jambo ambalo sio afya kwa uchumi

2- Upinzani hawana sera mbadala badala yake wameamua kuongea maneno matupu

Nini ntafanya kuitoa nchi hapa ilipo
i) kwa miaka 10 ntajenga viwanda zaidi ya laki 1 ndio laki moja
ii) kwa mda wa miaka 10 ntaongeza pato jipya lenye thamani ya usd billion 100 na zaidi fahamu hiki ni chanzo kipya
Kutakua na zone saba nchi nzima ambazo zitakua ni kitovu cha viwanda ili kupeleka maendeleo kila mahali ni kama zifuatazo;-
a-Wilaya ya mpanda na uvinza viwanda zaidi ya 20,000
b-Wilaya ya muleba na karagwe viwanda zaidi ya 20,000
c-Wilaya ya kishapu na shinyanga vijijini viwanda zaidi ya 20,000
d-Wilaya ya itigi na manyoni viwanda zaidi ya 20,000
e-Wilaya ya ruangwa na lindi vijijini viwanda zaidi ya 20,000
f-Wilaya ya mwanga na moshi vijijini viwanda zaidi ya 20,000
g-Wilya ya kibaha, chalinze, bagamoyo na mkurunga viwanda zaidi ya 30,000


iii) ntaondoa sektor ambazo sio rasmi (informal sector)kama wamachinga, wauza mitumba bodaboda n.k sababu wataajiriwa kwenye hivyo viwanda zaidi ya laki 1

iv) Nchi ikiwa na viwanda zaidi ya laki 1 hizi squatters na slum zitaondoka tu automatical sababu kutakua na hela ya kuziondoa na watu watakua na kazi za uhakika na hii itaenda sambamba na kupanga kisasa nchi nzima kisasa na nyumba na majengo yatakua na mfumo unao-fanana ili miji yetu ipendeze sio kila mtu anajenga jenga namna anavyotaka

"Hakuna jiwe litakakuwa juu ya jiwe lingine; jiunge turudishe madaraka kwa wananchi"
Hakika, nakuunga mkono. Ni kweli u-machinga na bodaboda siyo ajira mujarabu!
 
Nina miaka 32, elimu bachelor of science economics population and development chuo mzumbe, kazi nayojishughulisha kwa sasa mfanyabiashara

Kama kisemavyo kichwa cha habari nina nia ya kuwa Rais wa Tanzania, kwanini nimeonyesha nia ni kupitia sababu zifuatazo
1- Serekali ya ccm imeishiwa mbinu kabisa za kuitoa nchi hapa ilipo mfano imeshindwa kubuni vyanzo vipya vya kodi na hii imepelekea kuongeza tozo na kodi kwa wananchi ambao tayari wana mzigo mkubwa tayari wa kodi na tozo, pia wanakopa sana jambo ambalo sio afya kwa uchumi

2- Upinzani hawana sera mbadala badala yake wameamua kuongea maneno matupu

Nini ntafanya kuitoa nchi hapa ilipo
i) kwa miaka 10 ntajenga viwanda zaidi ya laki 1 ndio laki moja
ii) kwa mda wa miaka 10 ntaongeza pato jipya lenye thamani ya usd billion 100 na zaidi fahamu hiki ni chanzo kipya
Kutakua na zone saba nchi nzima ambazo zitakua ni kitovu cha viwanda ili kupeleka maendeleo kila mahali ni kama zifuatazo;-
a-Wilaya ya mpanda na uvinza viwanda zaidi ya 20,000
b-Wilaya ya muleba na karagwe viwanda zaidi ya 20,000
c-Wilaya ya kishapu na shinyanga vijijini viwanda zaidi ya 20,000
d-Wilaya ya itigi na manyoni viwanda zaidi ya 20,000
e-Wilaya ya ruangwa na lindi vijijini viwanda zaidi ya 20,000
f-Wilaya ya mwanga na moshi vijijini viwanda zaidi ya 20,000
g-Wilya ya kibaha, chalinze, bagamoyo na mkurunga viwanda zaidi ya 30,000


iii) ntaondoa sektor ambazo sio rasmi (informal sector)kama wamachinga, wauza mitumba bodaboda n.k sababu wataajiriwa kwenye hivyo viwanda zaidi ya laki 1

iv) Nchi ikiwa na viwanda zaidi ya laki 1 hizi squatters na slum zitaondoka tu automatical sababu kutakua na hela ya kuziondoa na watu watakua na kazi za uhakika na hii itaenda sambamba na kupanga kisasa nchi nzima kisasa na nyumba na majengo yatakua na mfumo unao-fanana ili miji yetu ipendeze sio kila mtu anajenga jenga namna anavyotaka

"Hakuna jiwe litakakuwa juu ya jiwe lingine; jiunge turudishe madaraka kwa wananchi"
Mkuu tangu uhuru viwanda vidogo na vikubwa jumla ni 98,678 so ww utawezaje kujenga laki moja kwa miaka 10 au unaota
 
Nina miaka 32, elimu bachelor of science economics population and development chuo mzumbe, kazi nayojishughulisha kwa sasa mfanyabiashara

Kama kisemavyo kichwa cha habari nina nia ya kuwa Rais wa Tanzania, kwanini nimeonyesha nia ni kupitia sababu zifuatazo
1- Serekali ya ccm imeishiwa mbinu kabisa za kuitoa nchi hapa ilipo mfano imeshindwa kubuni vyanzo vipya vya kodi na hii imepelekea kuongeza tozo na kodi kwa wananchi ambao tayari wana mzigo mkubwa tayari wa kodi na tozo, pia wanakopa sana jambo ambalo sio afya kwa uchumi

2- Upinzani hawana sera mbadala badala yake wameamua kuongea maneno matupu

Nini ntafanya kuitoa nchi hapa ilipo
i) kwa miaka 10 ntajenga viwanda zaidi ya laki 1 ndio laki moja
ii) kwa mda wa miaka 10 ntaongeza pato jipya lenye thamani ya usd billion 100 na zaidi fahamu hiki ni chanzo kipya
Kutakua na zone saba nchi nzima ambazo zitakua ni kitovu cha viwanda ili kupeleka maendeleo kila mahali ni kama zifuatazo;-
a-Wilaya ya mpanda na uvinza viwanda zaidi ya 20,000
b-Wilaya ya muleba na karagwe viwanda zaidi ya 20,000
c-Wilaya ya kishapu na shinyanga vijijini viwanda zaidi ya 20,000
d-Wilaya ya itigi na manyoni viwanda zaidi ya 20,000
e-Wilaya ya ruangwa na lindi vijijini viwanda zaidi ya 20,000
f-Wilaya ya mwanga na moshi vijijini viwanda zaidi ya 20,000
g-Wilya ya kibaha, chalinze, bagamoyo na mkurunga viwanda zaidi ya 30,000


iii) ntaondoa sektor ambazo sio rasmi (informal sector)kama wamachinga, wauza mitumba bodaboda n.k sababu wataajiriwa kwenye hivyo viwanda zaidi ya laki 1

iv) Nchi ikiwa na viwanda zaidi ya laki 1 hizi squatters na slum zitaondoka tu automatical sababu kutakua na hela ya kuziondoa na watu watakua na kazi za uhakika na hii itaenda sambamba na kupanga kisasa nchi nzima kisasa na nyumba na majengo yatakua na mfumo unao-fanana ili miji yetu ipendeze sio kila mtu anajenga jenga namna anavyotaka

"Hakuna jiwe litakakuwa juu ya jiwe lingine; jiunge turudishe madaraka kwa wananchi"
Nilivyoona umesoma uchumi nikajua fika concept ya demand and supply unaifahamu vilivyo.
1. Tuambie hivyo viwanda ni vya nini?.
2. Wateja wa bidhaa zitakazo zalishwa na hivyo viwanda ni kina nani?.
3. Nguvu ya ununuzi (Purchasing power) ya hao wateja wako ikoje?
4. Unafahamu maana ya viwanda 100K???????

Haiwezekani kwa uwezo wa uchumi wa Nchi yetu kujenga viwanda (VIWANDA) 100K kwa miaka 10 tu. andiko lako ni MYTH
 
Nilivyoona umesoma uchumi nikajua fika concept ya demand and supply unaifahamu vilivyo.
1. Tuambie hivyo viwanda ni vya nini?.
2. Wateja wa bidhaa zitakazo zalishwa na hivyo viwanda ni kina nani?.
3. Nguvu ya ununuzi (Purchasing power) ya hao wateja wako ikoje?
4. Unafahamu maana ya viwanda 100K???????

Haiwezekani kwa uwezo wa uchumi wa Nchi yetu kujenga viwanda (VIWANDA) 100K kwa miaka 10 tu. andiko lako ni MYTH
Kwako haiwezekani ila kwangu mimi inawezekana
 
Nina miaka 32, elimu bachelor of science economics population and development chuo mzumbe, kazi nayojishughulisha kwa sasa mfanyabiashara

Kama kisemavyo kichwa cha habari nina nia ya kuwa Rais wa Tanzania, kwanini nimeonyesha nia ni kupitia sababu zifuatazo
1- Serekali ya ccm imeishiwa mbinu kabisa za kuitoa nchi hapa ilipo mfano imeshindwa kubuni vyanzo vipya vya kodi na hii imepelekea kuongeza tozo na kodi kwa wananchi ambao tayari wana mzigo mkubwa tayari wa kodi na tozo, pia wanakopa sana jambo ambalo sio afya kwa uchumi

2- Upinzani hawana sera mbadala badala yake wameamua kuongea maneno matupu

Nini ntafanya kuitoa nchi hapa ilipo
i) kwa miaka 10 ntajenga viwanda zaidi ya laki 1 ndio laki moja
ii) kwa mda wa miaka 10 ntaongeza pato jipya lenye thamani ya usd billion 100 na zaidi fahamu hiki ni chanzo kipya
Kutakua na zone saba nchi nzima ambazo zitakua ni kitovu cha viwanda ili kupeleka maendeleo kila mahali ni kama zifuatazo;-
a-Wilaya ya mpanda na uvinza viwanda zaidi ya 20,000
b-Wilaya ya muleba na karagwe viwanda zaidi ya 20,000
c-Wilaya ya kishapu na shinyanga vijijini viwanda zaidi ya 20,000
d-Wilaya ya itigi na manyoni viwanda zaidi ya 20,000
e-Wilaya ya ruangwa na lindi vijijini viwanda zaidi ya 20,000
f-Wilaya ya mwanga na moshi vijijini viwanda zaidi ya 20,000
g-Wilya ya kibaha, chalinze, bagamoyo na mkurunga viwanda zaidi ya 30,000


iii) ntaondoa sektor ambazo sio rasmi (informal sector)kama wamachinga, wauza mitumba bodaboda n.k sababu wataajiriwa kwenye hivyo viwanda zaidi ya laki 1

iv) Nchi ikiwa na viwanda zaidi ya laki 1 hizi squatters na slum zitaondoka tu automatical sababu kutakua na hela ya kuziondoa na watu watakua na kazi za uhakika na hii itaenda sambamba na kupanga kisasa nchi nzima kisasa na nyumba na majengo yatakua na mfumo unao-fanana ili miji yetu ipendeze sio kila mtu anajenga jenga namna anavyotaka

"Hakuna jiwe litakakuwa juu ya jiwe lingine; jiunge turudishe madaraka kwa wananchi"
🤣🤣🤣 Naona umeshindwa kabla ya kuanza
 
Nina miaka 32, elimu bachelor of science economics population and development chuo mzumbe, kazi nayojishughulisha kwa sasa mfanyabiashara

Kama kisemavyo kichwa cha habari nina nia ya kuwa Rais wa Tanzania, kwanini nimeonyesha nia ni kupitia sababu zifuatazo
1- Serekali ya ccm imeishiwa mbinu kabisa za kuitoa nchi hapa ilipo mfano imeshindwa kubuni vyanzo vipya vya kodi na hii imepelekea kuongeza tozo na kodi kwa wananchi ambao tayari wana mzigo mkubwa tayari wa kodi na tozo, pia wanakopa sana jambo ambalo sio afya kwa uchumi

2- Upinzani hawana sera mbadala badala yake wameamua kuongea maneno matupu

Nini ntafanya kuitoa nchi hapa ilipo
i) kwa miaka 10 ntajenga viwanda zaidi ya laki 1 ndio laki moja
ii) kwa mda wa miaka 10 ntaongeza pato jipya lenye thamani ya usd billion 100 na zaidi fahamu hiki ni chanzo kipya

Kutakua na zone saba nchi nzima ambazo zitakua ni kitovu cha viwanda ili kupeleka maendeleo kila mahali ni kama zifuatazo;-
a-Wilaya ya mpanda na uvinza viwanda zaidi ya 20,000
b-Wilaya ya muleba na karagwe viwanda zaidi ya 20,000
c-Wilaya ya kishapu na shinyanga vijijini viwanda zaidi ya 20,000
d-Wilaya ya itigi na manyoni viwanda zaidi ya 20,000
e-Wilaya ya ruangwa na lindi vijijini viwanda zaidi ya 20,000
f-Wilaya ya mwanga na moshi vijijini viwanda zaidi ya 20,000
g-Wilya ya kibaha, chalinze, bagamoyo na mkurunga viwanda zaidi ya 30,000

Kutakua na factories ambazo zinazalisha bidhaa from scratch na sio assembly na vitakuwa ni vya ku-export kwenye soko la dunia
Primary industries
Steel
Aluminium
Leather
Plastic
Glass
Copper cable
Battery

Secondary industries
Automobile
Chipset
Home appliances
Smartphones
Clothes and apparel
Aeroplane
Pharmaceutical


Minimum wages itakua sh 10,000

iii) ntaondoa sektor ambazo sio rasmi (informal sector)kama wamachinga, wauza mitumba bodaboda n.k sababu wataajiriwa kwenye hivyo viwanda zaidi ya laki 1

iv) Nchi ikiwa na viwanda zaidi ya laki 1 hizi squatters na slum zitaondoka tu automatical sababu kutakua na hela ya kuziondoa na watu watakua na kazi za uhakika na hii itaenda sambamba na kupanga kisasa nchi nzima kisasa na nyumba na majengo yatakua na mfumo unao-fanana ili miji yetu ipendeze sio kila mtu anajenga jenga namna anavyotaka

"Hakuna jiwe litakakuwa juu ya jiwe lingine; jiunge turudishe madaraka kwa wananchi"
Ukitaka kuwa Rais wa JMT, usikipinge kwanza chama kilichoko madarakani kwa sababu baadhi ya watu waliomo kwenye chama hicho ndiyo wanaoweza kukuingiza kwenye Urais. Unatakiwa uchukue madaraka kwanza halafu baada ya hapo ndiyo uanze kusema mapungufu yake kwa kutumia SIASA; usikipinge
 
Back
Top Bottom