Dennis R Shughuru
JF-Expert Member
- May 30, 2024
- 267
- 372
- Thread starter
- #101
Lazima kutakua na mipango miji, nikimaanisha nchi nzima itapangaliwa hakutakua na squatter zilizotokana na ujenzi holela
Miji itakua na public garden tofauti na sasa hivi miji haina public garden, ni vurugu vurugu
Miji itakua na public garden tofauti na sasa hivi miji haina public garden, ni vurugu vurugu