Nina nia ya kuwa Rais wa Tanzania

Nina nia ya kuwa Rais wa Tanzania

Gharama za kujenga nyumba zitakua chini sana serekali kushirikiana, na sekta binafsi watajenga nyumba na kuwauzia watu wa hali ya chini na kipato cha kati- kipato cha juu watajenga wenyewe
 
Nina miaka 32, elimu bachelor of science economics population and development chuo mzumbe, kwenye uzi huu ntaelezea maono, mipango na sera niliyonayo juu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Wewe huna tofauti na CCM. Tena unaweza kuwa mbaya kuliko CCM. Tatizo la Tanzania litatuliwa na kuweka mfumo sahihi wa kuongoza nchi kwanza. I mean unatakiwa kufumua mfumo wote na kuanza kusuka upya ukizingatia kuwa nchi yetu ni kubwa sana na haiwezi kuendeshwa kutoka sehemu moja. Na pia uwe na mfumo mzuri wa kupata viongozi na kuwawajibisha.
 
1. Ujenzi vya vyuo vya VETA kwa kuanzia na ngazi ya Wilaya hadi ngazi Tarafa.
2. Wanafunzi wote wakimaliza kidato cha sita waende VETA mwaka mmoja kabla ya kwenda Chuo kikuu na wanafunzi wote wa sekondari waliokosa vyuo rasmi waende veta mwaka mmoja hadi mitatu kutokana na ufaulu wao (HAPA NDIPO TUNAPATA WAZALISHAJI WENYE UJUZI)

3. Kuipa dhamani Saiyansi kwa kuajiri waalimu wa Hesabu na Saiyansi wa kutosheleza mahitaji kwa asilimia 100% (kuanzia Msingi hadi Sekondari) kwani hao ndio wanaweza kufanya magezi ya viwanda kwa nchi yoyote duniani
4. Technologia kuwa kipaumbele katika kufanyaji kazi
5. Kuhakikisha huduma zote zinazotumiwa na wanachi zinakuwa na namba ya mawasiliano inayopokelewa (simu & Email) Hii itajumuisha ofisi zote kubwa za Serikali, Mahospitali, vyuo, mashule ya sekondari, wilayani , VITUO VYA POLISI nk nk[/QUOTE]
 
Wewe huna tofauti na CCM. Tena unaweza kuwa mbaya kuliko CCM. Tatizo la Tanzania litatuliwa na kuweka mfumo sahihi wa kuongoza nchi kwanza. I mean unatakiwa kufumua mfumo wote na kuanza kusuka upya ukizingatia kuwa nchi yetu ni kubwa sana na haiwezi kuendeshwa kutoka sehemu moja. Na pia uwe na mfumo mzuri wa kupata viongozi na kuwawajibisha.
Mfumo imara alafu unakua ombaomba
Kinaanza mfumo imara wa mapato ili nchi iache utegemezi wa mikopo, misaada na tozo zisizokua na kichwa na miguu

Na hakuna sehemu nimesema kwamba sitaweka mifumo imara ya uongozi
 
Mfumo imara alafu unakua ombaomba
Kinaanza mfumo imara wa mapato ili nchi iache utegemezi wa mikopo, misaada na tozo zisizokua na kichwa na miguu

Na hakuna sehemu nimesema kwamba sitaweka mifumo imara
Hayo mapato hutaweza kuyapata na kuya-hold kama mfumo ni mbovu. Nyumba nzuri hujengwa kwenye msingi imara. Kwani kusuka mfumo inachukuwa muda gani? Miezi sita umeshasuka na kazi inaanza. Hivi hujui moja ya udhaifu mkubwa wa mfumo wa sasa ni kuwa kudhibiti mapato na matumizi inakuwa ngumu sana?
 
Hayo mapato hutaweza kuyapata na kuya-hold kama mfumo ni mbovu. Nyumba nzuri hujengwa kwenye msingi imara. Kwani kusuka mfumo inachukuwa muda gani? Miezi sita umeshasuka na kazi inaanza. Hivi hujui moja ya udhaifu mkubwa wa mfumo wa sasa ni kuwa kudhibiti mapato na matumizi inakuwa ngumu sana?
Nikisaidie kuthibiti mapato hapa Tanzania sio ngumu hakuna utayari na nia ya dhati ya kufanya hivyo

Kazi ngumu sana ni kuifanya nchi iendelee kwa kutegemea vyanzo vyake vya mapato pasipo kutegemea misaada, na mikopo ya kausha damu na yenye masharti kandamizi
 
Nikisaidie kuthibiti mapato hapa Tanzania sio ngumu hakuna utayari na nia ya dhati ya kufanya hivyo

Kazi ngumu sana ni kuifanya nchi iendelee kwa kutegemea vyanzo vyake vya mapato pasipo kutegemea misaada, na mikopo ya kausha damu na yenye masharti kandamizi
Ni ngumu kwa sababu hata wewe rais uwe mkali namna gani, chini wanaunda mitandao kwa sababu wanakuogopa wewe tu uliye Dar. Ukiwapa wananchi nguvu ya kuchagua na kudhibiti viongozi wao locally, hali ya udhibiti inakuwa nzuri zaidi.
 
Ni ngumu kwa sababu hata wewe rais uwe mkali namna gani, chini wanaunda mitandao kwa sababu wanakuogopa wewe tu uliye Dar. Ukiwapa wananchi nguvu ya kuchagua na kudhibiti viongozi wao locally, hali ya udhibiti inakuwa nzuri zaidi.
Nimeongelea upande tu wa uchumi sitaki kuongelea upande wa uongozi kwa sababu nazojua ila baadae ntaongelea
Ni mbinu (strategy)tu
 
Sijaona unaadress Tatizo la matumizi ya serikali? Unaridhishwa na spending ya sasa?
 
Uchumi mzuri = uongozi mzuri.
Nchi zetu ukiwa na uongozi mzuri huku nchi ikiwa inategemea misaada na mikopo ili i-finance budget yake ni rahisi sana kwa hiyo nchi viongozi kuingia mikataba ya hovyo kwa mwavuli wa kuvutia waekezajj

Hakuna kitu kizuri kama financial freedom najua huwezi nielewa kwa sahivi
 
Back
Top Bottom