Dennis R Shughuru
JF-Expert Member
- May 30, 2024
- 267
- 372
- Thread starter
- #121
Njia yangu ni tofauti na njia iliyozoeleka sitapitia mfumo uliopo ila ntakua Rais wa Tanzania sahivi ni ngumu kunielewa ila baadae utanielewaMimi nina ndoto kama ulizozonazo. Lkn kwa uoni wangu vinahitaji kuongezewa nyama.
Kwasasa nina miaka 50.
Tuungane, tutafute nafasi hizo kupitia vyama vilivyopo au tuanzishe kipya.
kama kipya una nguvu gani ya kupata wanachama 200 kwa mikoa 10 kwa wastani. Unai uwezo wa kupata walau kwa mikoa 5
Mabadiliko nchi hii hayatapitia mfumo uliopo yatakuja kwa mfumo mwingine kabisa