Nina nia ya kuwa Rais wa Tanzania

Nina nia ya kuwa Rais wa Tanzania

Watanzania wengi tumejawa na kukatishana tamaa negativity mtu katoa malengo yake na mbona binafsi ninaona ana hoja!!!

Ko suluhisho letu ni kuendelea kukaa huku hatufanyi chochote huku tukitegemea muujiza au?? Ni nafikiri tunahitaji mtu mwenye uthubutu na nia ya kuimprove na kuitoa Tanzania kutoka kutegemea kodi tu na misaada kutoka nje na tujitegemee sisi wenyewe kwa kua na teknolojia na viwanda vyetu wenyewe

Mi binafsi naona yuko sahihi kwasababu mwisho wa siku kila kitu kinaanza na nia na baada ya hapo ndo inafuata namna ya utekelezaji wa hiyo nia

Mwisho Nina swali kwa mtoa mada unafikiria kuja na mkakati gani wa kutengeneza Tanzania ya viwanda ili vidumu make kujenga viwanda sio mwisho tu suluhisho unahitaji soko,mtaji n.k na vingine vingi make hata hapo nyuma viwanda vilikuwepo vingi lakini mpaka sasa havifanyi kazi kwa asilimia kubwa.
 
Watanzania wengi tumejawa na kukatishana tamaa negativity mtu katoa malengo yake na mbona binafsi ninaona ana hoja!!!

Ko suluhisho letu ni kuendelea kukaa huku hatufanyi chochote huku tukitegemea muujiza au?? Ni nafikiri tunahitaji mtu mwenye uthubutu na nia ya kuimprove na kuitoa Tanzania kutoka kutegemea kodi tu na misaada kutoka nje na tujitegemee sisi wenyewe kwa kua na teknolojia na viwanda vyetu wenyewe

Mi binafsi naona yuko sahihi kwasababu mwisho wa siku kila kitu kinaanza na nia na baada ya hapo ndo inafuata namna ya utekelezaji wa hiyo nia

Mwisho Nina swali kwa mtoa mada unafikiria kuja na mkakati gani wa kutengeneza Tanzania ya viwanda ili vidumu make kujenga viwanda sio mwisho tu suluhisho unahitaji soko,mtaji n.k na vingine vingi make hata hapo nyuma viwanda vilikuwepo vingi lakini mpaka sasa havifanyi kazi kwa asilimia kubwa.
Shida hapa sii kukatishana tamaa,je kwanza tunajua shida yetu ni nini? Binafsi nimechukulia mawazo yake positive ila pia mengi kati ya maswali yangu hajajibu hata swali la kipimo cha umadhubuti wa kukabilia na hoja kinzani,na jinsi ya kuichukulia mitazamo tofauti.
 
Watanzania wengi tumejawa na kukatishana tamaa negativity mtu katoa malengo yake na mbona binafsi ninaona ana hoja!!!

Ko suluhisho letu ni kuendelea kukaa huku hatufanyi chochote huku tukitegemea muujiza au?? Ni nafikiri tunahitaji mtu mwenye uthubutu na nia ya kuimprove na kuitoa Tanzania kutoka kutegemea kodi tu na misaada kutoka nje na tujitegemee sisi wenyewe kwa kua na teknolojia na viwanda vyetu wenyewe

Mi binafsi naona yuko sahihi kwasababu mwisho wa siku kila kitu kinaanza na nia na baada ya hapo ndo inafuata namna ya utekelezaji wa hiyo nia

Mwisho Nina swali kwa mtoa mada unafikiria kuja na mkakati gani wa kutengeneza Tanzania ya viwanda ili vidumu make kujenga viwanda sio mwisho tu suluhisho unahitaji soko,mtaji n.k na vingine vingi make hata hapo nyuma viwanda vilikuwepo vingi lakini mpaka sasa havifanyi kazi kwa asilimia kubwa.
Shida hapa sii kukatishana tamaa,je kwanza tunajua shida yetu ni nini? Binafsi nimechukulia mawazo yake positive ila pia mengi kati ya maswali yangu hajajibu hata swali la kipimo cha umadhubuti wa kukabilia na hoja kinzani,na jinsi ya kuichukulia mitazamo tofauti kwa umakini.
 
Shida hapa sii kukatishana tamaa,je kwanza tunajua shida yetu ni nini? Binafsi nimechukulia mawazo yake positive ila pia mengi kati ya maswali yangu hajajibu hata swali la kipimo cha umadhubuti wa kukabilia na hoja kinzani,na jinsi ya kuichukulia mitazamo tofauti.
Approach yangu haiwezi kuwa approach yako kila mtu ana-approach yake hata nchi zilizoendelea zimetumia approach tofauti tofauti
 
Uongo wamapema asubuhi kabla hapajakucha,ila hujasema kama mabomba yatatoa maziwa🤣
Changamoto kubwa uliyonayo ni ushamba na hujatembea kuna miji ukienda ya ulaya na asia kwa nchi kama japan au korea huwezi kuta mjini una vumbi au matope ni pavement au lami sehemu zote za mjini

Ukienda miji kama london, tokyo, melbourne, toronto n.k seolu ni ngumu sana kukutana na mavumbi kama ilivyo miji yetu kama wao wameweza kwanini sisi tushindwe kuifanya miji yetu isiwe na mavumbi kama ilivyo sasa

Changamoto kubwa ya afrika watu wana exposure ndogo sana
 
Watanzania wengi tumejawa na kukatishana tamaa negativity mtu katoa malengo yake na mbona binafsi ninaona ana hoja!!!

Ko suluhisho letu ni kuendelea kukaa huku hatufanyi chochote huku tukitegemea muujiza au?? Ni nafikiri tunahitaji mtu mwenye uthubutu na nia ya kuimprove na kuitoa Tanzania kutoka kutegemea kodi tu na misaada kutoka nje na tujitegemee sisi wenyewe kwa kua na teknolojia na viwanda vyetu wenyewe

Mi binafsi naona yuko sahihi kwasababu mwisho wa siku kila kitu kinaanza na nia na baada ya hapo ndo inafuata namna ya utekelezaji wa hiyo nia

Mwisho Nina swali kwa mtoa mada unafikiria kuja na mkakati gani wa kutengeneza Tanzania ya viwanda ili vidumu make kujenga viwanda sio mwisho tu suluhisho unahitaji soko,mtaji n.k na vingine vingi make hata hapo nyuma viwanda vilikuwepo vingi lakini mpaka sasa havifanyi kazi kwa asilimia kubwa.
Katika vitu ambavyo haviwezi nizuia ni hii negative ya watanzania nawajua vizuri sana mfano nimesema baadae baada ya kuboresha shule na hospital serekali itajitahidi sana kuweka pavement kwenye maeneo ya mjini ili kusiwe na vumbi mtu anakukebehi anasahau ukienda ulaya au nchi za asia kama south na japan miji yao haina vumbi sasa kama wao wameweza kwanini sis tushindwe

Kuhusu viwanda kutakau na government agency itakayovipambania viwanda kwa njia zifuatazo
  • Kuhakikisha viwanda vinapata raw material
  • Kuhakikisha viwanda vinapata machine zinazotumika viwandani
  • Kuhakikisha viwanda vinapata skilled labour
  • Kuhakikisha bidhaa zinazozalishwa Tanzania zinakua na bei ndogo kwenyw soko la dunia ili ziuzike
  • Kuhakikisha bidhaa zinazozalishwa Tanzania zinakua na ubora ili ziuzike kwenye soko la dunia
 
Changamoto kubwa uliyonayo ni ushamba na hujatembea kuna miji ukienda ya ulaya na asia kwa nchi kama japan au korea huwezi kuta mjini una vumbi au matope ni pavement au lami sehemu zote za mjini

Ukienda miji kama london, tokyo, melbourne, toronto n.k seolu ni ngumu sana kukutana na mavumbi kama ilivyo miji yetu kama wao wameweza kwanini sisi tushindwe kuifanya miji yetu isiwe na mavumbi kama ilivyo sasa

Changamoto kubwa ya afrika watu wana exposure ndogo sana
Poa ulaya umefika wewe tu na unahitaji kuja kuwakamata masikio mbumbumbu wa bongo,hadi hapo ndio maana ulikimbia kujibu maswali yangu,inatosha sihitaji hata kusumbuka na wewe.
 
Katika vitu ambavyo haviwezi nizuia ni hii negative ya watanzania nawajua vizuri sana mfano nimesema baadae baada ya kuboresha shule na hospital serekali itajitahidi sana kuweka pavement kwenye maeneo ya mjini ili kusiwe na vumbi mtu anakukebehi anasahau ukienda ulaya au nchi za asia kama south na japan miji yao haina vumbi sasa kama wao wameweza kwanini sis tushindwe

Kuhusu viwanda kutakau na government agency itakayovipambania viwanda kwa njia zifuatazo
  • Kuhakikisha viwanda vinapata raw material
  • Kuhakikisha viwanda vinapata machine zinazotumika viwandani
  • Kuhakikisha viwanda vinapata skilled labour
  • Kuhakikisha bidhaa zinazozalishwa Tanzania zinakua na bei ndogo kwenyw soko la dunia ili ziuzike
  • Kuhakikisha bidhaa zinazozalishwa Tanzania zinakua na ubora ili ziuzike kwenye soko la dunia
Kupitia mikopo siyo au kodi za vichwa
 
Hongera mdogo wangu ,ukiwa raisi anzisha wizara ya kilevi na ulevi staarabika niko hapa kuwa waziri chini ya uongozi wako mkuu
 
Poa ulaya umefika wewe tu na unahitaji kuja kuwakamata masikio mbumbumbu wa bongo,hadi hapo ndio maana ulikimbia kujibu maswali yangu,inatosha sihitaji hata kusumbuka na wewe.
Kama unashangaa mji mzima kupigwa pavement hilo sio kosa langu ni lako

Nikusaidie florence walipiga pavement mji wao mzima mwaka 1339 kama unashangaa leo hii 2024 mji mzima kupigwa pavement pole
 
Nakupongeza kwa nia uliyonayo,
Lakini inapaswa ujue kila ndoto inahitaji mchakato/hatua ili kuikamilisha.

Ndoto ili itimie ni step, Start moving now.
Kila unachokiona hapo chini kina mpango mkakati wake;
i) kupima nchi nzima na kuzalisha umeme megawats 300,000 (gigawatts 300)
ii) kuanzisha viwanda zaidi ya laki 1
 
Ahsante kwa maoni yako
Lengo la kuleta huu uzi umu ni lipi kana hutaki kujadiliana na watu masuala ya msingi kama.

Utakuwaje Rais bila kuwa vyama vya siasa na hapo juu umesema ni kupitia movement za wananchi ambazo nadhani namaanisha power of influence, sawa hao wananchi wanakufahamu wewe kama nani kwasasa na huo ushawishi utatoa wapi.? utajibu short.

Umeulizwa hio hela ya kujenga viwanda laki moja hujibu , kwanini usingeishi nayo tu hii nia yako kama hutaki majadiliano
 
Lengo la kuleta huu uzi umu ni lipi kana hutaki kujadiliana na watu masuala ya msingi kama.

Utakuwaje Rais bila kuwa vyama vya siasa na hapo juu umesema ni kupitia movement za wananchi ambazo nadhani namaanisha power of influence, sawa hao wananchi wanakufahamu wewe kama nani kwasasa na huo ushawishi utatoa wapi.? utajibu short.

Umeulizwa hio hela ya kujenga viwanda laki moja hujibu , kwanini usingeishi nayo tu hii nia yako kama hutaki majadiliano
Sidhani kama ni kosa kukuambia ahsante kwa maoni yako
 
Hata hao walijuja na point hizihizi... Sahivi Tunabuluzika

Lakini pambania ndoto, Inawezekana Tu
 
Nina miaka 32, elimu bachelor of science economics population and development chuo mzumbe, kwenye uzi huu ntaelezea maono, mipango na sera niliyonayo juu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Watu wengi wananiuliza unawezaje kugombea na wakati una miaka 32 huku katiba ikitaka mtu awe na miaka 40, na wengine wanasema nina ndoto za alinacha, wengine una matatizo ya akili
Jibu ni kwamba hii movement ina-malengo ya mda mrefu nikimaanisha itachukua mda ili itimie sio jambo la leo au kesho na mimi sina uhusiano wowote na chama cha siasa

PROBLEM STATEMENT
Changamoto kubwa inayoikumba Tanzania na nchi nyingi za Afrika ni kama zifuatazo;-
i) Uwepo wa walipa kodi wachache sababu watu wengi wanajihusisha na informal sekta kwa hiyo wengi hawalipi income tax na kodi nyingine.

ii) Kwa sababu kuna walipakodi wachache imepelekea nchi nyingi kuongeza kodi kwenye vyanzo vilevile na hii imepelekea kuumiza wananchi wengi.

iii) Kiwango cha kodi kinachoongezeka hakiendani na ongezeko kubwa la watu na mahitaji yao hivyo kuwepo kwa deficit kwenye budget.

iv) Kwa sababu wigo wa kodi ni mdogo imezilazimu nchi nyingi za africa ikiwemo Tanzania kukopa ili waweze ku-finance budget zao na kuleta changamoto nyingine ya madeni.


SULUHISHO
kujenga viwanda vingi


TANZANIA MODERN ECONOMY OUTLOOK
VISION

  • To become the largest economy in Africa in term of industrial output, gdp, and ppp
MISSION
  • To invest heavily on industrilization as a way of achieving economy supremacy

Kama kisemavyo kichwa cha habari nina nia ya kuwa Rais wa Tanzania, kwanini nimeonyesha nia ni kupitia sababu zifuatazo;-
i) Kupanga nchi nzima kisasa na kuzalisha umeme wa megawatts 300,000 za haraka ndani ya miaka 2
ii)Kwa miaka 10 serekali itajenga viwanda zaidi ya laki 1 ndio laki moja, na kila kimoja kitaajiri wafanyakazi kiwango cha chini wafanyakazi 500 (wa kiwandani na ofisini) na kuendelea
100,000*500= 50,000,000 (watu million hamsini)


Kutakua na zone saba nchi nzima ambazo zitakua ni kitovu cha viwanda ili kupeleka maendeleo kila mahali ni kama zifuatazo;-
a-Wilaya ya mpanda na uvinza viwanda zaidi ya 20,000
b-Wilaya ya muleba na karagwe viwanda zaidi ya 20,000
c-Wilaya ya kishapu na shinyanga vijijini viwanda zaidi ya 20,000
d-Wilaya ya itigi na manyoni viwanda zaidi ya 20,000
e-Wilaya ya ruangwa na lindi vijijini viwanda zaidi ya 20,000
f-Wilaya ya mwanga na moshi vijijini viwanda zaidi ya 20,000
g-Wilya ya kibaha, chalinze, bagamoyo na mkurunga viwanda zaidi ya 30,000
Kutakua na factories ambazo zinazalisha bidhaa from scratch na sio assembly na vitakuwa ni vya ku-export kwenye soko la dunia
Primary industries

  • Steel
  • Aluminium
  • Leather
  • Plastic
  • Glass
  • Copper cable
  • Battery
Secondary industries
  • Automobile
  • Chipset
  • Home appliances
  • Smartphones
  • Clothes and apparel
  • Aeroplane
  • Pharmaceutical

Minimum wages itakua sh 10,000 na kuendelea kwa mwezi

NINI KIFANYIKE ILI VIWANDA VIWEZE KUDUMU NA KUTEKA SOKO LA DUNIA
Ntaanzisha government agency itakayovipambania viwanda vilivyopo Tanzania ili viteke soko la dunia, na itakua inafanya kazi zifuatazo;-

  • Kutafuta vyanzo vipya vya umeme na kuhakikisha umeme unakua mwingi sana na wa bei nafuu
  • Kuhakikisha viwanda vinapata raw material hili jukumu hataachiwa mwenye kiwanda pekee yake
  • Kuhakikisha viwanda vinapata machine zinazotumika viwandani hili jukumu hataachiwa mwenye kiwanda pekee yake
  • Kuhakikisha viwanda vinapata skilled labour hili jukumu hataachiwa mwenye kiwanda pekee yake
  • Kuhakikisha bidhaa zinazozalishwa Tanzania zinakua na bei ndogo kwenye soko la dunia ili ziuzike
  • Kuhakikisha bidhaa zinazozalishwa Tanzania zinakua na ubora ili ziuzike kwenye soko la dunia
FAIDA ZA VIWANDA LAKI MOJA KWA NCHI YA TANZANIA
a) Serekali itakuwa na uwezo wa kukusanya moja kwa moja usd billion 100 (Tsh trillion 250,000,000,000,000) kutoka kwenye viwanda tu; hapo sijaongelea sektor nyingine ambazo kupitia multiplier zitaguswa na viwanda indirect na zitaongeza pato la nchi

b) Viwanda Vitakuwa vinamilikiwa na familia tofauti tofauti za wazawa (watanzania), kwa gharama kubwa sana serekali itawapigania kwa nguvu zote wazawa kumiliki viwanda lengo ni uchumi kumilikiwa na wazawa na sio wageni

c) Viwanda vitaondoa sekta ambazo sio rasmi (informal sector)kama wamachinga, wauza mitumba bodaboda n.k sababu wataajiriwa kwenye hivyo viwanda zaidi ya laki 1
Njia ya kuwaondoa wamachinga, wauza mitumba, bodaboda, wapiga debe ni kujenga viwanda vingi ili waajiriwe na wawe na uhakika wa pension wanapofikia miaka 60 na zaidi
Sasa hivi watu wanaojihusisha na sekta ambayo sio rasmi hawana pension au akiba yeyote itakayowasaidia pale watakapokua wazee

d) Nchi ikiwa na viwanda zaidi ya laki 1 hizi squatters na slum zitaondoka tu automatical sababu kutakua na hela ya kuziondoa na watu watakua na kazi za uhakika na hii itaenda sambamba na kupanga kisasa nchi nzima kisasa na nyumba na majengo yatakua na mfumo unao-fanana ili miji yetu ipendeze sio kila mtu anajenga jenga namna anavyotaka

e) Kutakua na wigo mkubwa wa walipa kodi sababu watu wengi watakua wanajihusisha na kazi rasmi

f) Miradi yote mikubwa ya ujenzi itajengwa na kampuni za wazawa; najua hawana uzoefu ila serekali itawawezesha wawe na uzoefu kikubwa ni ela kubakia hapa hapa nchini

g) Gharama za kujenga nyumba zitakua chini sana serekali kushirikiana, na sekta binafsi watajenga nyumba na kuwauzia watu wa hali ya chini na kipato cha kati- kipato cha juu watajenga wenyewe



Karibu tuandike historia mpya ya Tanzania nchi itakayokua na uchumi mkubwa Afrika nzima
Usirudie kuandika maandishi yenye rangi rangi ni Uxee….
Kwanza huwezi kua rais uanekuandikia vitu vya marangi rangi kama kindergaten

Ebu endelea kukua akili yako bado ww pamoja na hawa waliokupa like
 
Back
Top Bottom