Nina nia ya kuwa Rais wa Tanzania

Nina nia ya kuwa Rais wa Tanzania

Huwezi kuwa Rais kwasababu uandishi wako unakusaliti. Unachanganya lugha kama mwehu. Halafu unazijua MW 300,000 za umeme au umekurupuka tu? Bwawa la Nyerere linalotutoa jasho ni MW 2100. Viwanda laki 1 ukivijengea ndotoni ni sahihi. Kwa katiba ya TZ huwezi kuwa Rais bila chama cha siasa. Na hadi uwe Rais lazima uwe umepita kwenye nyadhifa mbalimbali.. wewe hata uenyekiti wa mtaa haupo.
 
Huwezi kuwa Rais kwasababu uandishi wako unakusaliti. Unachanganya lugha kama mwehu. Halafu unazijua MW 300,000 za umeme au umekurupuka tu? Bwawa la Nyerere linalotutoa jasho ni MW 2100. Viwanda laki 1 ukivijengea ndotoni ni sahihi. Kwa katiba ya TZ huwezi kuwa Rais bila chama cha siasa. Na hadi uwe Rais lazima uwe umepita kwenye nyadhifa mbalimbali.. wewe hata uenyekiti wa mtaa haupo.
Na sio megawatts 300,000 nilikosea ni 1,000,000 (gigawatts 1000)
Ahsante kwa kushiriki na lazima niwe Rais
 
Usirudie kuandika maandishi yenye rangi rangi ni Uxee….
Kwanza huwezi kua rais uanekuandikia vitu vya marangi rangi kama kindergaten

Ebu endelea kukua akili yako bado ww pamoja na hawa waliokupa like
Ahsante kwa kushiriki
We tukana matusi yote kamwe huwezi badilisha nia yangu
 
Nina miaka 32, elimu bachelor of science economics population and development chuo mzumbe, kwenye uzi huu ntaelezea maono, mipango na sera niliyonayo juu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Watu wengi wananiuliza unawezaje kugombea na wakati una miaka 32 huku katiba ikitaka mtu awe na miaka 40, na wengine wanasema nina ndoto za alinacha, wengine una matatizo ya akili
Jibu ni kwamba hii movement ina-malengo ya mda mrefu nikimaanisha itachukua mda ili itimie sio jambo la leo au kesho na mimi sina uhusiano wowote na chama cha siasa

PROBLEM STATEMENT
Changamoto kubwa inayoikumba Tanzania na nchi nyingi za Afrika ni kama zifuatazo;-
i) Uwepo wa walipa kodi wachache sababu watu wengi wanajihusisha na informal sekta kwa hiyo wengi hawalipi income tax na kodi nyingine.

ii) Kwa sababu kuna walipakodi wachache imepelekea nchi nyingi kuongeza kodi kwenye vyanzo vilevile na hii imepelekea kuumiza wananchi wengi.

iii) Kiwango cha kodi kinachoongezeka hakiendani na ongezeko kubwa la watu na mahitaji yao hivyo kuwepo kwa deficit kwenye budget.

iv) Kwa sababu wigo wa kodi ni mdogo imezilazimu nchi nyingi za africa ikiwemo Tanzania kukopa ili waweze ku-finance budget zao na kuleta changamoto nyingine ya madeni.


SULUHISHO
kujenga viwanda vingi


TANZANIA MODERN ECONOMY OUTLOOK
VISION

  • To become the largest economy in Africa in term of industrial output, gdp, and ppp
MISSION
  • To invest heavily on industrilization as a way of achieving economy supremacy

Kama kisemavyo kichwa cha habari nina nia ya kuwa Rais wa Tanzania, kwanini nimeonyesha nia ni kupitia sababu zifuatazo;-
i) Kupanga nchi nzima kisasa na kuzalisha umeme wa megawatts 300,000 za haraka ndani ya miaka 2
ii)Kwa miaka 10 serekali itajenga viwanda zaidi ya laki 1 ndio laki moja, na kila kimoja kitaajiri wafanyakazi kiwango cha chini wafanyakazi 500 (wa kiwandani na ofisini) na kuendelea
100,000*500= 50,000,000 (watu million hamsini)


Kutakua na zone saba nchi nzima ambazo zitakua ni kitovu cha viwanda ili kupeleka maendeleo kila mahali ni kama zifuatazo;-
a-Wilaya ya mpanda na uvinza viwanda zaidi ya 20,000
b-Wilaya ya muleba na karagwe viwanda zaidi ya 20,000
c-Wilaya ya kishapu na shinyanga vijijini viwanda zaidi ya 20,000
d-Wilaya ya itigi na manyoni viwanda zaidi ya 20,000
e-Wilaya ya ruangwa na lindi vijijini viwanda zaidi ya 20,000
f-Wilaya ya mwanga na moshi vijijini viwanda zaidi ya 20,000
g-Wilya ya kibaha, chalinze, bagamoyo na mkurunga viwanda zaidi ya 30,000
Kutakua na factories ambazo zinazalisha bidhaa from scratch na sio assembly na vitakuwa ni vya ku-export kwenye soko la dunia
Primary industries

  • Steel
  • Aluminium
  • Leather
  • Plastic
  • Glass
  • Copper cable
  • Battery
Secondary industries
  • Automobile
  • Chipset
  • Home appliances
  • Smartphones
  • Clothes and apparel
  • Aeroplane
  • Pharmaceutical

Minimum wages itakua sh 10,000 na kuendelea kwa mwezi

NINI KIFANYIKE ILI VIWANDA VIWEZE KUDUMU NA KUTEKA SOKO LA DUNIA
Ntaanzisha government agency itakayovipambania viwanda vilivyopo Tanzania ili viteke soko la dunia, na itakua inafanya kazi zifuatazo;-

  • Kutafuta vyanzo vipya vya umeme na kuhakikisha umeme unakua mwingi sana na wa bei nafuu
  • Kuhakikisha viwanda vinapata raw material hili jukumu hataachiwa mwenye kiwanda pekee yake
  • Kuhakikisha viwanda vinapata machine zinazotumika viwandani hili jukumu hataachiwa mwenye kiwanda pekee yake
  • Kuhakikisha viwanda vinapata skilled labour hili jukumu hataachiwa mwenye kiwanda pekee yake
  • Kuhakikisha bidhaa zinazozalishwa Tanzania zinakua na bei ndogo kwenye soko la dunia ili ziuzike
  • Kuhakikisha bidhaa zinazozalishwa Tanzania zinakua na ubora ili ziuzike kwenye soko la dunia
FAIDA ZA VIWANDA LAKI MOJA KWA NCHI YA TANZANIA
a) Serekali itakuwa na uwezo wa kukusanya moja kwa moja usd billion 100 (Tsh trillion 250,000,000,000,000) kutoka kwenye viwanda tu; hapo sijaongelea sektor nyingine ambazo kupitia multiplier zitaguswa na viwanda indirect na zitaongeza pato la nchi

b) Viwanda Vitakuwa vinamilikiwa na familia tofauti tofauti za wazawa (watanzania), kwa gharama kubwa sana serekali itawapigania kwa nguvu zote wazawa kumiliki viwanda lengo ni uchumi kumilikiwa na wazawa na sio wageni

c) Viwanda vitaondoa sekta ambazo sio rasmi (informal sector)kama wamachinga, wauza mitumba bodaboda n.k sababu wataajiriwa kwenye hivyo viwanda zaidi ya laki 1
Njia ya kuwaondoa wamachinga, wauza mitumba, bodaboda, wapiga debe ni kujenga viwanda vingi ili waajiriwe na wawe na uhakika wa pension wanapofikia miaka 60 na zaidi
Sasa hivi watu wanaojihusisha na sekta ambayo sio rasmi hawana pension au akiba yeyote itakayowasaidia pale watakapokua wazee

d) Nchi ikiwa na viwanda zaidi ya laki 1 hizi squatters na slum zitaondoka tu automatical sababu kutakua na hela ya kuziondoa na watu watakua na kazi za uhakika na hii itaenda sambamba na kupanga kisasa nchi nzima kisasa na nyumba na majengo yatakua na mfumo unao-fanana ili miji yetu ipendeze sio kila mtu anajenga jenga namna anavyotaka

e) Kutakua na wigo mkubwa wa walipa kodi sababu watu wengi watakua wanajihusisha na kazi rasmi

f) Miradi yote mikubwa ya ujenzi itajengwa na kampuni za wazawa; najua hawana uzoefu ila serekali itawawezesha wawe na uzoefu kikubwa ni ela kubakia hapa hapa nchini

g) Gharama za kujenga nyumba zitakua chini sana serekali kushirikiana, na sekta binafsi watajenga nyumba na kuwauzia watu wa hali ya chini na kipato cha kati- kipato cha juu watajenga wenyewe



Karibu tuandike historia mpya ya Tanzania nchi itakayokua na uchumi mkubwa Afrika nzima
Ni vzr kuwa na maono makubwa, lakini ungeanza kutuambia mpaka hapo ulipo, umeishafsnya nini? Au unatafuta tu ajira ya mshahara mnono?mbele ya kitita anacholipwa raisi, hata kila za anaweza SEMA, mkinichagua, nitaifanya TZ iwe kama America, UK, au, Canada! Wakati hata ghetto analoishi halina hata AC!
Yaani, hujawahi kujenga chochote, lakini unataka tukupe nchi uijenge! Seriously!
Vijana kama, Mero,au Fernandez wa Nala, au Gibson kawago, au Mond, wakisema tuwape nchi sawa, maana kwa nguvu zao tu wameweza kutengeneza biashara kubwa zinazotoa ajira, lakini hawa wengine, wana elimu tu, hawajawahi hata kutengeneza, andiko kusaidia kijiji au kata, au, mtaa, hawajawahi, hata kuwa viongozi wa kata na mtaa, au, ksmpuni kubwa, ila wanataka tuwaaamini watafanya maajabu wakiingia ikulu! Kama ni hivyo kila MTU anaweza kuifsnya bongo itiririke maziwa na asali!
 
Ni vzr kuwa na maono makubwa, lakini ungeanza kutuambia mpaka hapo ulipo, umeishafsnya nini? Au unatafuta tu ajira ya mshahara mnono?mbele ya kitita anacholipwa raisi, hata kila za anaweza SEMA, mkinichagua, nitaifanya TZ iwe kama America, UK, au, Canada! Wakati hata ghetto analoishi halina hata AC!
Yaani, hujawahi kujenga chochote, lakini unataka tukupe nchi uijenge! Seriously!
Vijana kama, Mero,au Fernandez wa Nala, au Gibson kawago, au Mond, wakisema tuwape nchi sawa, maana kwa nguvu zao tu wameweza kutengeneza biashara kubwa zinazotoa ajira, lakini hawa wengine, wana elimu tu, hawajawahi hata kutengeneza, andiko kusaidia kijiji au kata, au, mtaa, hawajawahi, hata kuwa viongozi wa kata na mtaa, au, ksmpuni kubwa, ila wanataka tuwaaamini watafanya maajabu wakiingia ikulu! Kama ni hivyo kila MTU anaweza kuifsnya bongo itiririke maziwa na asali!
Ahsante kwa kushiriki kamwe hakuna mtu atakayenirudisha nyuma ongea mpaka kilugha chako ponda unavyojua, tukana unavyoweza ila kamwe siwezi acha adhma yangu

Kwani hao wakina fernandez, mond wamekatazwa kutangaza nia waambie watangaze
 
Changamoto kubwa inayoikumba Tanzania na nchi nyingi za Afrika ni kama zifuatazo;-
i) Uwepo wa walipa kodi wachache sababu watu wengi wanajihusisha na informal sekta kwa hiyo wengi hawalipi income tax na kodi nyingine.

ii) Kwa sababu kuna walipakodi wachache imepelekea nchi nyingi kuongeza kodi kwenye vyanzo vilevile na hii imepelekea kuumiza wananchi wengi.

iii) Kiwango cha kodi kinachoongezeka hakiendani na ongezeko kubwa la watu na mahitaji yao hivyo kuwepo kwa deficit kwenye budget.

iv) Kwa sababu wigo wa kodi ni mdogo imezilazimu nchi nyingi za africa ikiwemo Tanzania kukopa ili waweze ku-finance budget zao na kuleta changamoto nyingine ya madeni.
 
Ni vzr kuwa na maono makubwa, lakini ungeanza kutuambia mpaka hapo ulipo, umeishafsnya nini? Au unatafuta tu ajira ya mshahara mnono?mbele ya kitita anacholipwa raisi, hata kila za anaweza SEMA, mkinichagua, nitaifanya TZ iwe kama America, UK, au, Canada! Wakati hata ghetto analoishi halina hata AC!
Yaani, hujawahi kujenga chochote, lakini unataka tukupe nchi uijenge! Seriously!
Vijana kama, Mero,au Fernandez wa Nala, au Gibson kawago, au Mond, wakisema tuwape nchi sawa, maana kwa nguvu zao tu wameweza kutengeneza biashara kubwa zinazotoa ajira, lakini hawa wengine, wana elimu tu, hawajawahi hata kutengeneza, andiko kusaidia kijiji au kata, au, mtaa, hawajawahi, hata kuwa viongozi wa kata na mtaa, au, ksmpuni kubwa, ila wanataka tuwaaamini watafanya maajabu wakiingia ikulu! Kama ni hivyo kila MTU anaweza kuifsnya bongo itiririke maziwa na asali!
Hana akili ya kujibu hoja yoyote huyu
 
Kila unachokiona hapo chini kina mpango mkakati wake;
i) kupima nchi nzima na kuzalisha umeme megawats 300,000 (gigawatts 300)
ii) kuanzisha viwanda zaidi ya laki 1
Nmemaanisha fuata alichokushauri mdau hapo juu, Anzia huku chini ( kwenye jamii )

Huo ndio mchakato wa kukufikisha unapoptaka.
 
Nmemaanisha fuata alichokushauri mdau hapo juu, Anzia huku chini ( kwenye jamii )

Huo ndio mchakato wa kukufikisha unapoptaka.
Ushauri wa kukatisha tamaa kamwe siwezi uchukua
Wananchi wanataka umaskin uondoke na sio kitu kingine
 
Ushauri wa kukatisha tamaa kamwe siwezi uchukua
Wananchi wanataka umaskin uondoke na sio kitu kingine
Doh! Kuanza kuchukua hatua ni kukatishwa tamaa ?

Nadhani kuna tatizo sehemu hasa kwenye uelewa wako, Sasa ndugu unakatishwaje tamaa kirahisi namna hii utaweza kusimama kweli kuwa raisi ?
 
Hongera kwa nia nzuri.

Maswali yangu kwako kupima uwezo wako!

1. Utafanikishaje ujenzi wa viwanda laki 1 ndani ya miaka 10 tu?

2. Utafanikishaje sekta zisizo rasmi kuajiliwa kwenye viwanda wakati hawana ujuzi wa kufanya kazi kwenye viwanda?
Kasema Karibu tujenge historia ya nchi yetu! Nadhani unatakiwa utoe majibu mwenyewe ya Maswali haya kuonyesha kweli una Nia ya kushiriki kujenga historia ya nchi na si kumkatisha tamaa mleta mada.
 
Huo umeme wa GW 1000 ndio umeme ambao US anazalisha sasa Kwa mwaka, Tanzania hatuna hata GW 2 kwenye gridi ya Taifa,Kwa nchi kama TZ siku ukisikia tuna GW 10 kwenye gridi ya Taifa ujue tumetoka kundi la third word countries, hauko serious wewe
 
Unafikiri kuwa rais ni sawa na kubeti, rais huandaliwa. Lakini pia kitrndo cha kuja kucomet jf nia yako ya kuwa rais kinakuondolea kabia sifa za rais unaonekana bado una waza kitotototo
 
Back
Top Bottom