Ni vzr kuwa na maono makubwa, lakini ungeanza kutuambia mpaka hapo ulipo, umeishafsnya nini? Au unatafuta tu ajira ya mshahara mnono?mbele ya kitita anacholipwa raisi, hata kila za anaweza SEMA, mkinichagua, nitaifanya TZ iwe kama America, UK, au, Canada! Wakati hata ghetto analoishi halina hata AC!
Yaani, hujawahi kujenga chochote, lakini unataka tukupe nchi uijenge! Seriously!
Vijana kama, Mero,au Fernandez wa Nala, au Gibson kawago, au Mond, wakisema tuwape nchi sawa, maana kwa nguvu zao tu wameweza kutengeneza biashara kubwa zinazotoa ajira, lakini hawa wengine, wana elimu tu, hawajawahi hata kutengeneza, andiko kusaidia kijiji au kata, au, mtaa, hawajawahi, hata kuwa viongozi wa kata na mtaa, au, ksmpuni kubwa, ila wanataka tuwaaamini watafanya maajabu wakiingia ikulu! Kama ni hivyo kila MTU anaweza kuifsnya bongo itiririke maziwa na asali!