Nina nyumba uswahilini inatengeneza Tsh. 40,000/- kwa mwezi, niendelee au napoteza muda?

Hii hesabu haina ukweli labda umeamua kupotosha ama haujui


Utt wanatoa faida ya asilimia moja kwa mwezi kwa kiwango ulichowekeza
Hivyo hiyo million tano utapata elfu hamsini na sio elfu sitini uliyoandika

Mi mwenyewe nikajua kuna benki huko inatoa riba kwa bei kubwa na hamniambii
 
Ii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…