Nina pepo la kukinai wanawake nikishafanya nao mapenzi, Mwamposa anawezaje kunisaidia?

Kama wewe Ni mkristo,,, imeandikwa 'Azinie na mwanamke Hana akili kbs afanya Jambo litakalo mwangamiza nafsi yake' pia imeandikwa Walevi hawataurithi Ufalme wa Mbinguni!!!! Chaguo Ni lako hapo mkuu
Dah sasa hapo mbingu kuiona ni ngumu
 
mwamposa ameharibu sana kizazi hiki, na moto anaoandaliwa ni wa peke yake huko jehanum.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…