Siamini hilo ila nadhani hutokea kwa wengi hii, ukishalala nae unamuona normal tu aniiHili pepo hili mkuu si bure
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siamini hilo ila nadhani hutokea kwa wengi hii, ukishalala nae unamuona normal tu aniiHili pepo hili mkuu si bure
Bora uwe mlevi afu tuwe wote tunalewa afu nakukokota tunarudi homeNikiacha uzinzi ntakuwa mlevi
Kama wewe Ni mkristo,,, imeandikwa 'Azinie na mwanamke Hana akili kbs afanya Jambo litakalo mwangamiza nafsi yake' pia imeandikwa Walevi hawataurithi Ufalme wa Mbinguni!!!! Chaguo Ni lako hapo mkuuNikiacha uzinzi ntakuwa mlevi
Dah sasa hapo mbingu kuiona ni ngumuKama wewe Ni mkristo,,, imeandikwa 'Azinie na mwanamke Hana akili kbs afanya Jambo litakalo mwangamiza nafsi yake' pia imeandikwa Walevi hawataurithi Ufalme wa Mbinguni!!!! Chaguo Ni lako hapo mkuu
Ni rahisi Sana,,,, mche MUNGU ukajitenge na uovuDah sasa hapo mbingu kuiona ni ngumu
mwamposa ameharibu sana kizazi hiki, na moto anaoandaliwa ni wa peke yake huko jehanum.Yaani pisi hata iwe kali vipi nikiigonga mara mbili tu naiona ya kawaida sana,siitafuti tena mpaka initafute.
Huwa nashangaa kuona watu wapo kwenye mahusiano miezi kadhaa au miaka kadhaa,mnawezaje?
Nadhani hili ni pepo mnaosali kwa Mwamposa vipi hili linaweza kukemewa au ndio nitaambiwa acha uzinzi,
Weeeee nan kasemaAhaaa tukifika home ni kulala mzungu wa nne
Afukuze hilo pepo kwanza,vinginevyo sitaoa ntazidi kuwa mzinzi tu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]yaan mwamposa akusaidie uendelee kuzini?
Sent using Jamii Forums mobile app
Nnachokupendea ukiwa kwny I'd Hii huwa ujivungi kwenye suala la ukweli na uwazi[emoji4]Mi mwenyewe nilikuwa ivo ila ukija penda kweli utatulia(najua mtashangaa kweli[emoji57])
Kwamba mtoa mada anakwea Sana minazi ndo maana[emoji1787]Acha punyeto kijana
Kinachowabakiza ni mambo mengine sio sexMbona kuna washikaji wapo na wapenzi miezi na miaka na hawajaoana,wanawezaje