Eng ibird
JF-Expert Member
- Nov 19, 2021
- 707
- 1,017
Mm nakuwa bdo nipo nao, sema swala la kubutua tena ndo linashndkanaWe umetisha noma sana natamani nitulie na demu kwa muda mrefu lakini nimeshindwa kabisa
Ukiendekeza mapenz ,unazdsha umaskini.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mm nakuwa bdo nipo nao, sema swala la kubutua tena ndo linashndkanaWe umetisha noma sana natamani nitulie na demu kwa muda mrefu lakini nimeshindwa kabisa
Sio pepo, Endelea ku explore hadi upate yenyewe.Yaani pisi hata iwe kali vipi nikiigonga mara mbili tu naiona ya kawaida sana,siitafuti tena mpaka initafute.
Huwa nashangaa kuona watu wapo kwenye mahusiano miezi kadhaa au miaka kadhaa,mnawezaje?
Nadhani hili ni pepo mnaosali kwa Mwamposa vipi hili linaweza kukemewa au ndio nitaambiwa acha uzinzi,
Ana mafuta flani hv anawekaga kwenye vichupa vidoogo vinaweza kukusaidia
Sent using Jamii Forums mobile app
Vitanisaidia nisiwakinai au kuacha uzinziAna mafuta flani hv anawekaga kwenye vichupa vidoogo vinaweza kukusaidia
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukisha yachukua kapake kwenye dushe na ulete mrejesho, imekata kuwakinai au umeacha kabisaVitanisaidia nisiwakinai au kuacha uzinzi
We to yeye ni mke wangu Leo ndio natambulisha rasmi mjue[emoji23][emoji23]usinizibie ridhiki
Hana mtoto, ni mtoto bikra kabisaHuyu ni Ke na ana mtoto anamnyonyesha, au naongopa? Ila usipige nyeto km mleta mada
Kifungu pleaseKama wewe Ni mkristo,,, imeandikwa 'Azinie na mwanamke Hana akili kbs afanya Jambo litakalo mwangamiza nafsi yake' pia imeandikwa Walevi hawataurithi Ufalme wa Mbinguni!!!! Chaguo Ni lako hapo mkuu
Ni salamu tu ninakupa mkuu.Ni kwa sababu hujapenda. Ukipenda,hiyo mbususu inabaki kuwa Kama kachumbari katika pilau (upendo).
Penda kwanza,hautamkinai mwanamke.
Mithali 6:32Kifungu please
Mwamposa hawezi kukusaidia.. Anae weza kukusaidia ni Yesu pekeeYaani pisi hata iwe kali vipi nikiigonga mara mbili tu naiona ya kawaida sana,siitafuti tena mpaka initafute.
Huwa nashangaa kuona watu wapo kwenye mahusiano miezi kadhaa au miaka kadhaa,mnawezaje?
Nadhani hili ni pepo mnaosali kwa Mwamposa vipi hili linaweza kukemewa au ndio nitaambiwa acha uzinzi,
Tena kiundwe kikosi Cha mizinga,Kabla ya kuliwa hakikisha umeshapata kiinua mgongo kabisaa😁😁😁Halaf hamtaki kupigwa mizinga kwa halii hii
Ili akiniacha nijiue kama jamaa wa chuo cha ushirikaHuna haja ya kwenda Kawe,Njia rahisi ya kusolve Hilo pepo Ni kumtumia pesa tu huyo demu automatically utajikuta unamuhitaji aje akuchetue maana pesa yako itakuuma ukirudia zoezi Mara mbili tatu utaanza kujenga bond nae unaanza kummiss...we mpe hela tu yaani
😂😂😂Hivi mdukuzi una Nia kweli ya kutoa Hilo pepo?We fanya hivyo utanishukuru baadae.......Ili akiniacha nijiue kama jamaa wa chuo cha ushirika
Dah sa itakuwaje?Basi niruhusu Mimi NIKUROGE utulie Kama hutojali🤗Nia ninayo joannah ila humu nimekosa solution ya kimantinki