Nina pepo la kukinai wanawake nikishafanya nao mapenzi, Mwamposa anawezaje kunisaidia?

Nina pepo la kukinai wanawake nikishafanya nao mapenzi, Mwamposa anawezaje kunisaidia?

Yaani pisi hata iwe kali vipi nikiigonga mara mbili tu naiona ya kawaida sana,siitafuti tena mpaka initafute.

Huwa nashangaa kuona watu wapo kwenye mahusiano miezi kadhaa au miaka kadhaa,mnawezaje?

Nadhani hili ni pepo mnaosali kwa Mwamposa vipi hili linaweza kukemewa au ndio nitaambiwa acha uzinzi,
Sio pepo, Endelea ku explore hadi upate yenyewe.
 
Kama wewe Ni mkristo,,, imeandikwa 'Azinie na mwanamke Hana akili kbs afanya Jambo litakalo mwangamiza nafsi yake' pia imeandikwa Walevi hawataurithi Ufalme wa Mbinguni!!!! Chaguo Ni lako hapo mkuu
Kifungu please
 
Huna haja ya kwenda Kawe,Njia rahisi ya kusolve Hilo pepo Ni kumtumia pesa tu huyo demu automatically utajikuta unamuhitaji aje akuchetue maana pesa yako itakuuma ukirudia zoezi Mara mbili tatu utaanza kujenga bond nae unaanza kummiss...we mpe hela tu yaani
 
Yaani pisi hata iwe kali vipi nikiigonga mara mbili tu naiona ya kawaida sana,siitafuti tena mpaka initafute.

Huwa nashangaa kuona watu wapo kwenye mahusiano miezi kadhaa au miaka kadhaa,mnawezaje?

Nadhani hili ni pepo mnaosali kwa Mwamposa vipi hili linaweza kukemewa au ndio nitaambiwa acha uzinzi,
Mwamposa hawezi kukusaidia.. Anae weza kukusaidia ni Yesu pekee

Choko wewee..
 
Kama uliumizwa sana na mapenzi ndivyo inavyo kuaga mkuu,
 
Huna haja ya kwenda Kawe,Njia rahisi ya kusolve Hilo pepo Ni kumtumia pesa tu huyo demu automatically utajikuta unamuhitaji aje akuchetue maana pesa yako itakuuma ukirudia zoezi Mara mbili tatu utaanza kujenga bond nae unaanza kummiss...we mpe hela tu yaani
Ili akiniacha nijiue kama jamaa wa chuo cha ushirika
 
Mkuu unakutana na low value women ambao ukiachana na sex hana kingine chochote cha kuongezea katika maisha yako ushauri wangu badili maeneo yako ya mawindo kutana na wanawake unaeza ukapiga nae hata stori nyingine za maisha akakuongezea kitu sio kugegedana tu apo lazima utatulia
 
Back
Top Bottom