Nina pesa nyingi kuzidi baba zenu

Juice world

JF-Expert Member
Joined
Jun 7, 2022
Posts
1,982
Reaction score
2,706
Nyie masikini Mimi ni mtoto mdogo sana ila pesa zangu ni nyingi kuzidi hata za baba zenu na mtaumia sana na utajiri wangu sababu nyie ni mafukara tafuteni hela sio mnakaakaa kizembe humu Mimi ndio tajiri wenu nyie mafukara mnabidi mnipigie magoti Leo nitarisha masikini kwenye sikukuu ya maulid mnakaribishwa masikini wote maana mnanjaa sanaa
 
Tajirisha ukoo wenu, mtutishe zaidi. Wenye fedha huwa hawasemi, mambo yao ndiyo yanatufanya sie unaotuita masikini tuwaite matajiri. Swine !!
 
Umeko
Sa Kiki fb wakalidharau unatafuta Kiki jf mmh labda wajinga wakupekiki
 
Sawa tajiri, kwani nani aliyekataa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…