Nina pesa nyingi kuzidi baba zenu

Nina pesa nyingi kuzidi baba zenu

Nyie masikini Mimi ni mtoto mdogo sana ila pesa zangu ni nyingi kuzidi hata za baba zenu na mtaumia sana na utajiri wangu sababu nyie ni mafukara tafuteni hela sio mnakaakaa kizembe humu Mimi ndio tajiri wenu nyie mafukara mnabidi mnipigie magoti Leo nitarisha masikini kwenye sikukuu ya maulid mnakaribishwa masikini wote maana mnanjaa sanaa
Huku sio Facebook
 
Nitarisha❌
Nitalisha☑️,,,Alafu kuna Mpuuzi atakuja kusema maskini wewe,,,Tafuta Hela"
 
Back
Top Bottom