Nina pesa nyingi kuzidi baba zenu

😝😝😝😝😝Watu wana depression Nchi hii


Utanyooka tu
 
Muhimu mkuu huku sio fb anatakiwa kujua Hilo so ili ajuewatu hawataki ujinga uliona Uzi wake soma then hakuna kureply ili ajue huku sio Kwa mafara
 

Attachments

  • Screenshot_20240916-092552.jpg
    587.2 KB · Views: 2
Tatizo la afya ya akili linazidi kukuwa hapa nchini. Ona huyu jobless anavyotukana watu huku jukwaani.
 
Msipoteze muda kubishana na mtu ambaye dishi linaonekana limeyumba. Hakuna tajiri anayepiga makelele na kutukana watu kwenye mitandao. Mtu anayefanya hivyo kama si tapeli ni muhuni au chizi.
 
dogo unalazimisha umaarufu eeh
 
Unake
ra ss mgese wewe, weny pesa hawajitangazi, yaan dogo unatumia nguvu nyingi kutrend kama dotto magari
 
Tajir nifanyie kdg nikapate launch 0762481738
 
Uchizi wa salio la Mil 1.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…