1. Nenda Bank.
2. Chukua mkopo, weka dhamana ya hilo gari.
3. Fedha ya mkopo usiitumie, tena fungulia account kwenye bank hiyohiyo.
4. Safiri.
5. Baada ya kurudi, nenda bank, rudisha mkopo bila kuutumia.
6. Watakurudishia gari yako ikiwa salama salimini.
Imeisha hiyooooo....
PUMA ENERGY.Mkuu, kabla ya kukata kushoto kuingia JNIA ukitokea town kwa kupitia Pugu/Nyerere Road..... Sogea mbele kidogo kisha ingia kushoto kwenye hiyo Fuel Station, ongea na meneja pale kisha uipaki gari yako na utakua unalipia 5,000 kwa kila usiku pekee kwa walinzi, na mchana gari yako itakua salama sana pale.
Mimi nimefanya hivyo mara nyingi na siku zote nilikuta gari yangu salama pasipo na tatizo.
Yes chiefPUMA ENERGY.
Usije ukajikanyaga ukaeda Opposite na Puma pale GBP itakula kwako. Narudia Itakula Kwako.PUMA ENERGY.
2000 x Masaa 24 x Siku 3
= 144,000 🐒
Mkopo kama huo hauna riba eeeh!1. Zingatia hiyo reply hapo juu.
2. Nenda kaongee nao kuhusu Long-Term Parking (NB: Ulinzi na Usalama pale ni mdogo sana sawa na hakuna yaani.)
3. Tafuta Parking zenye ulinzi hasa Mjini kule kisha ukapaki. Kama una haraka sana nenda Benki.
Sio kweli.per hour ni shs 2,000 Tu. Piga hesabu zako ili ufanye right decision
Benki wanachukuaga gari au kadi?1. Nenda Bank.
2. Chukua mkopo, weka dhamana ya hilo gari.
3. Fedha ya mkopo usiitumie, tena fungulia account kwenye bank hiyohiyo.
4. Safiri.
5. Baada ya kurudi, nenda bank, rudisha mkopo bila kuutumia.
6. Watakurudishia gari yako ikiwa salama salimini.
Imeisha hiyooooo....
Shida yake apaki karibu na airport, asafiri, ili akirudi asipate tabu ya usafiri.Oysterbay Police Pana jengo jipya na la kisasa na parking nzuri nenda kaongee na Mkuu wa pale uone itakaaje kaaje Maana usalama upo wa kutosha ,
Note ukikutana na kamanda Kingai mkwepe ana njaa za Hapa na pale ataanza kukudalalia Ili utoe Cha juu na mjua yule mpuuzie
(Joke Kwa Kingai)
Ila ndio hivyo Mkuu!
Huu ushauri mbona kama wa kiboya sana?Tafuta mwanaume mmoja wa dar..mpe apigie misele mwambie akupe 50000 kwa siku..×3=150000 .
Mafuta juu yake...
ila akisepa nalo mazima au akilibomoa usiseme mimi ndo nimekushauri
Mkuu pale kawaida ni 2k per hour.Habari wakuu, kuna yeyote anayefahamu utaratibu na gharama za kufuata ili kupata long term parking katika uwanja wa kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA).
Nina safari nje ya Dar kwa siku tatu, na ningependa kupark gari pale ili nikirudi niichukue.
Kama ameweza kulipia tiketi ya ndege hii ndogo2000 x Masaa 24 x Siku 3
= 144,000 🐒
Wanachukua gari au kadi ya gari?1. Nenda Bank.
2. Chukua mkopo, weka dhamana ya hilo gari.
3. Fedha ya mkopo usiitumie, tena fungulia account kwenye bank hiyohiyo.
4. Safiri.
5. Baada ya kurudi, nenda bank, rudisha mkopo bila kuutumia.
6. Watakurudishia gari yako ikiwa salama salimini.
Imeisha hiyooooo....