kingkimwe
JF-Expert Member
- Feb 12, 2015
- 1,839
- 2,481
1. Nenda Bank.
2. Chukua mkopo, weka dhamana ya hilo gari.
3. Fedha ya mkopo usiitumie, tena fungulia account kwenye bank hiyohiyo.
4. Safiri.
5. Baada ya kurudi, nenda bank, rudisha mkopo bila kuutumia.
6. Watakurudishia gari yako ikiwa salama salimini.
Imeisha hiyooooo....
Na riba yake pia unalipa sio?