Nina safari nje ya Dar kwa siku tatu, ningependa kupark gari JNIA ili nikirudi niichukue

Nina safari nje ya Dar kwa siku tatu, ningependa kupark gari JNIA ili nikirudi niichukue

1. Nenda Bank.
2. Chukua mkopo, weka dhamana ya hilo gari.
3. Fedha ya mkopo usiitumie, tena fungulia account kwenye bank hiyohiyo.
4. Safiri.
5. Baada ya kurudi, nenda bank, rudisha mkopo bila kuutumia.
6. Watakurudishia gari yako ikiwa salama salimini.

Imeisha hiyooooo....

Na riba yake pia unalipa sio?
 
Oysterbay Police Pana jengo jipya na la kisasa na parking nzuri nenda kaongee na Mkuu wa pale uone itakaaje kaaje Maana usalama upo wa kutosha ,
Note ukikutana na kamanda Kingai mkwepe ana njaa za Hapa na pale ataanza kukudalalia Ili utoe Cha juu na mjua yule mpuuzie
(Joke Kwa Kingai)
Ila ndio hivyo Mkuu!
 
Mkuu, kabla ya kukata kushoto kuingia JNIA ukitokea town kwa kupitia Pugu/Nyerere Road..... Sogea mbele kidogo kisha ingia kushoto kwenye hiyo Fuel Station, ongea na meneja pale kisha uipaki gari yako na utakua unalipia 5,000 kwa kila usiku pekee kwa walinzi, na mchana gari yako itakua salama sana pale.
Mimi nimefanya hivyo mara nyingi na siku zote nilikuta gari yangu salama pasipo na tatizo.
PUMA ENERGY.
 
Hela yako tu..
Lakini kwann usiliache kwako?
 
Ingawa mi Naona rahis ni kuipeleka Kwa ndugu, jamaa au Rafik na uipaki hapo kisha ukimuachia hata Elf 10 ya wese, parking au ya dharura. Kama una taka akufate siku ya kurudi pia anaweza kukufata airport na kukupeleka hom.
 
1. Nenda Bank.
2. Chukua mkopo, weka dhamana ya hilo gari.
3. Fedha ya mkopo usiitumie, tena fungulia account kwenye bank hiyohiyo.
4. Safiri.
5. Baada ya kurudi, nenda bank, rudisha mkopo bila kuutumia.
6. Watakurudishia gari yako ikiwa salama salimini.

Imeisha hiyooooo....
Benki wanachukuaga gari au kadi?
 
Oysterbay Police Pana jengo jipya na la kisasa na parking nzuri nenda kaongee na Mkuu wa pale uone itakaaje kaaje Maana usalama upo wa kutosha ,
Note ukikutana na kamanda Kingai mkwepe ana njaa za Hapa na pale ataanza kukudalalia Ili utoe Cha juu na mjua yule mpuuzie
(Joke Kwa Kingai)
Ila ndio hivyo Mkuu!
Shida yake apaki karibu na airport, asafiri, ili akirudi asipate tabu ya usafiri.

Siyo gari hana pakuiacha, kwa dar yote.
 
Nenda TAMESA pale jirani na Mkuki House kama unawnda Coca cola ya zamani, ulinzi ni 💯 na Bei ni Tsh 5,000/ per day, unaandikisha unaacha funguo, kurudi kuja kuchukua wanakupa Gate pass ya kutoke,
 
Tafuta mwanaume mmoja wa dar..mpe apigie misele mwambie akupe 50000 kwa siku..×3=150000 .

Mafuta juu yake...

ila akisepa nalo mazima au akilibomoa usiseme mimi ndo nimekushauri
Huu ushauri mbona kama wa kiboya sana?
 
Habari wakuu, kuna yeyote anayefahamu utaratibu na gharama za kufuata ili kupata long term parking katika uwanja wa kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA).

Nina safari nje ya Dar kwa siku tatu, na ningependa kupark gari pale ili nikirudi niichukue.
Mkuu pale kawaida ni 2k per hour.
Hvyo kwa siku ni 2000 × 24 = 48k
Kwa hizo siku 3 ni 48,000 × 3

But huwa wanatoa discount sijajua wanaangalia vigezo gani maana November mwaka jana nliondoka asubuhi saa10 nikapark gari pale, na nikarudi saa1 usiku lakini nlilipia 15k labda ufanye kuulizia...
 
1. Nenda Bank.
2. Chukua mkopo, weka dhamana ya hilo gari.
3. Fedha ya mkopo usiitumie, tena fungulia account kwenye bank hiyohiyo.
4. Safiri.
5. Baada ya kurudi, nenda bank, rudisha mkopo bila kuutumia.
6. Watakurudishia gari yako ikiwa salama salimini.

Imeisha hiyooooo....
Wanachukua gari au kadi ya gari?
 
Njoo upaki kwangu. Kuna nafasi kubwa sana, hata mabasi 10 yanaingia bila shida.
 
Back
Top Bottom