Nina safari ya kuelekea Marekani, nawaombeni ambae ameshawahi kufika anipe elimu

spoke my ndio nn ?
 

[emoji23][emoji23][emoji23]si ungetaja tu rais kama ulisahau kusema US na wewe,, ungewaambia naenda kwa trump
 
Mkuu umeendaa pesa Kia's gan ili tukupe connection Nina ajent anaweza kukusindikiza!
 
[emoji23][emoji23][emoji23]si ungetaja tu rais kama ulisahau kusema US na wewe,, ungewaambia naenda kwa trump
Wazo sasa lilikua hamna kichwan nikaishia kulaumu tu nani alileta hili neno marekani walah! Nikaangalia huku na huku hakuna anayeniangalia huyo nikaamua kufuata watu hapo hata cjui naelekea wap yaaan akili inafanya kazi visivyokawaida mamaae hata ningekutana na nyoka siku ile nisingemjua ooh! Nawaza tu sasa nafanyaje??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…