Nina shida ya kufa mtu..........!!!!!!!!!

Nina shida ya kufa mtu..........!!!!!!!!!

....ni mmwaminifu sana kukopa nakopa kulipa nalipa
ninashida ya kufa mtu, naombeni mnikopeshe milioni mbili
kuhusu namna ya kurejesha tutaongea nikishakopeshwa

Copy kwa mabilionea wa chit chat Bishanga, watu8, Chimbuvu, Madame B, Arushaone, Baba V, Manoah......
Slave kama unayo naomba sitegemei kama utanikopesha wewe
Rejao ulilalamika ulipokosekana kwenye list ya mabilionea means pesa unazo
sitegemei jibu la "sina" kutoka kwenu kama mnaninyima ninyimeni tu
Ahsanteni.

Mbona hujafa sasa kama una shida ya kufa mtu?
 
mke wangu Evelyn Salt ujue unanipa aibu kujiombeleza vi million viwili.
embu chukua kadi yangu ya CRDB ipo pale katika droo ya kabati ya nguo zangu ukavute hizo pesa.
utaingiza pass ni 98989

R.i.p shida.....
ahsante baby Slave
 
Last edited by a moderator:
....ni mmwaminifu sana kukopa nakopa kulipa nalipa
ninashida ya kufa mtu, naombeni mnikopeshe milioni mbili
kuhusu namna ya kurejesha tutaongea nikishakopeshwa

Copy kwa mabilionea wa chit chat Bishanga, watu8, Chimbuvu, Madame B, Arushaone, Baba V, Manoah......
Slave kama unayo naomba sitegemei kama utanikopesha wewe
Rejao ulilalamika ulipokosekana kwenye list ya mabilionea means pesa unazo
sitegemei jibu la "sina" kutoka kwenu kama mnaninyima ninyimeni tu
Ahsanteni.

Nasubiri ukifa ntatoa rambirambi mil. 3.5
 
Back
Top Bottom