Kilimbatzz
JF-Expert Member
- Feb 11, 2023
- 9,134
- 14,593
- Thread starter
- #61
Ni mwalimu nipo TanganyikaMkuu kwa Sasa unajishughurisha na mambo Gani ? umeoa? Unasoma? what your financial stability?.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni mwalimu nipo TanganyikaMkuu kwa Sasa unajishughurisha na mambo Gani ? umeoa? Unasoma? what your financial stability?.
Duh!nimeshangaa pia ili upate 500000 kama gawio la mwezi inatakiwa uweke si chini ya 60 millions
Aahaaaaa,wazo zuriOdds 30 tu
Ukiwa na 60miliion bola Utt na bond za benki kuu kuliko kujenga nyumba.Swali wakuu, hiyo milion 60,
Ukijenga nayo nyumba 1 yenye vyumba 10 huko mtaani Kisha unapata kodi ya laki 5 maana kila room elfu 50
Na ukiiweka huko kwenye forex kama kununua Bind au UTT kisha unapata faida laki 5 kila mwezi
Ipi upande mzuri?
Je kodi ya nyumba laki 5 au Faida ya gawio kaki 5?
Sent from my SM-J730F using JamiiForums mobile app
Sasa hapo chance ya kutoboa IPONi mwalimu nipo Tanganyika
Hapo umenena vyemaa.Gawio ni zuri mkuu,huko kwenye nyumba kila baada ya muda utahitaji kufanya service..na pia haitakupa guarantee ya vyumba vyote kumi kuwa na wapangangaji miezi yote..
🤔🤔🤔🤔🤔Sasa hapo chance ya kutoboa IPO
kwenye mshahara wako Kila mwezi uwe unaulima 100k unaweka UTT.
Then tafuta black dili kama option ya pili.
Tafuta humu humu nyuzi zake zipoMm nataka kujua vizuri kuhusu utt
BettingNataka ninunue vipande UTT au niweke fixed account Ili nipate "mshahara" wa Kila mwezi kupitia gawio la mwezi.
Nikipata 500k kwenye gawio Kwa mwezi itatatosha maana tayari nina njia zingine za kuniingizia mia mbili mia tatu.
Nataka nikafanye mambo mengine huku nikiwa na sure na cashflow kwa ajili ya familia na watoto.
Natanguliza shukrani.
Naomba oddsBetting
Jumamosi asubuhi nitafuteNaomba odds
Gawio ni zuri mkuu,huko kwenye nyumba kila baada ya muda utahitaji kufanya service..na pia haitakupa guarantee ya vyumba vyote kumi kuwa na wapangangaji miezi yote..Swali wakuu, hiyo milion 60,
Ukijenga nayo nyumba 1 yenye vyumba 10 huko mtaani Kisha unapata kodi ya laki 5 maana kila room elfu 50
Na ukiiweka huko kwenye forex kama kununua Bind au UTT kisha unapata faida laki 5 kila mwezi
Ipi upande mzuri?
Je kodi ya nyumba laki 5 au Faida ya gawio kaki 5?
Sent from my SM-J730F using JamiiForums mobile app
Umesema ni mwalimu,kwa nini usichukue mkopo hata mil 15, then hyo 15 nyingine udundulize then utumbukize huko UTT.🤔🤔🤔🤔🤔
Wazo zuri Asante mkuu
Sawa,nitalifanyia kazi Hilo jamboGawio ni zuri mkuu,huko kwenye nyumba kila baada ya muda utahitaji kufanya service..na pia haitakupa guarantee ya vyumba vyote kumi kuwa na wapangangaji miezi yote..
Umesema ni mwalimu,kwa nini usichukue mkopo hata mil 15, then hyo 15 nyingine udundulize then utumbukize huko UTT.
UTT ni bonge la investment. Ninashangaa ni watanzania wachache mnoo wako aware na haya mambo.Sawa,nitalifanyia kazi Hilo jambo
Kiwanja hapo vipi?Swali wakuu, hiyo milion 60,
Ukijenga nayo nyumba 1 yenye vyumba 10 huko mtaani Kisha unapata kodi ya laki 5 maana kila room elfu 50
Na ukiiweka huko kwenye forex kama kununua Bind au UTT kisha unapata faida laki 5 kila mwezi
Ipi upande mzuri?
Je kodi ya nyumba laki 5 au Faida ya gawio kaki 5?
Sent from my SM-J730F using JamiiForums mobile app
Hesabu za kwenye mitandao ya kijamii hizi...yaani utoe 30m kwa ajili ya kununua bajaji madereva hawa wala ndumu walete kila siku 45,000 acha kuwapoteza watu...Inaonekana kuna tapeli kakuwin tayari, we kaweke hiyo 30m ili uwe unapata laki 5 kila mwezi.
Dezo mbaya sana.! Isitoshe ni ujinga yaani m30 ikuingizie laki 5
M30 unapata laki 5 kwa mwezi ni sawa na 17000 kwa siku.
Ukiongeza akili kidogo tu.
M30 unanunua bajaji 3 na chenji inabaki.
Bajaj 3 kila siku 15000 bajaj 1 × 3 = 45,000 per day.
Kwenye fursa wabongo Huwa hatuitaniUTT ni bonge la investment. Ninashangaa ni watanzania wachache mnoo wako aware na haya mambo.
Haha dah sisi watu wa kamari tunaona pesa ni simpo tuIyo mbona mkeka mmoja tu.
Kwamba atafute odds japo ya 1.02Haha dah sisi watu wa kamari tunaona pesa ni simpo tu