Nina shida ya millioni 30, naombeni mbinu ya kuzipata

Nina shida ya millioni 30, naombeni mbinu ya kuzipata

Narudia tena hizo biashara za kwenye mitandao na hesabu za humu jaribu kuwa na hilo Fusso uje na hesabu hapa za kwenye mitandao uone wastaafu wengi wanaingia kwenye hesabu zenu na kuishia kufa kwa Stroke maana hakuna hesabu za fedha mnazowapa baada ya kuwekeza huo uwekezaji wenu wa 45,000 tsh ilete bajaji moja kwa siku...
Hapana utakua umesoma haraka, kwa m30 nilisema inanunua bajaj 3 na chenji inabak.

Hizo bajaji 3 nimeweka kila bajaji rejesho la 15 elfu badala ya 20 elfu ambayo kwa bajaji 3 unaingiza 45 elfu kwa siku halafu kwa mwezi unapata 1,350,000.

Cancel hiyo 350,000 kwa ajili ya weekly service n. K unabakiwa na m1 nzima kwa mwezi tofauti na laki 5
 
Nataka ninunue vipande UTT au niweke fixed account Ili nipate "mshahara" wa Kila mwezi kupitia gawio la mwezi.

Nikipata 500k kwenye gawio Kwa mwezi itatatosha maana tayari nina njia zingine za kuniingizia mia mbili mia tatu.

Nataka nikafanye mambo mengine huku nikiwa na sure na cashflow kwa ajili ya familia na watoto.

Natanguliza shukrani.
Fanya mawasiliano na JITU BANDIA Atakupa mwongozo
 
Kwenye hiyo 45000 umepiga garama za uchakavu? Usimamizi nk?
Kama kweli itazaa 500k Kwenye UTT kwa mwezi nitashauri .. mdau u focus huko
Mara mia niizike huko kuliko kuiweka benk ili niwe napata riba, kwangu mimi naona ni udumavu wa ubongo.

Ngoja nikuuzie idea ukienda kuifanyia kazi 95% unatoboa.

Nakuuzia sikupi bure.!
note: utanilipa baada ya kufanikiwa sana.
Kama upo tayari gonga like ili twende sawa.!! [emoji817]
 
Ni
Mara mia niizike huko kuliko kuiweka benk ili niwe napata riba, kwangu mimi naona ni udumavu wa ubongo.

Ngoja nikuuzie idea ukienda kuifanyia kazi 95% unatoboa.

Nakuuzia sikupi bure.!
note: utanilipa baada ya kufanikiwa sana.
Kama upo tayari gonga like ili twende sawa.!! [emoji817]
Nishagonga like
 
Kuna utajiri mkubwa sana katika mifugo.
Nini cha kufanya,
Kama upo jijini, toka nje ya mji/mkoani, nunua tu ng'ombe tudogo tunato gharimu laki 2.5 kushuka chini mpaka twa laki moja.
Sijajua utapata kiasi gani kulingana na mtaji wako, then tafuta kijana mdogo awachunge huku unawalisha supplements like mashudu, pumba na madini.
Maximum baada ya miaka 2 utawauza si chini ya mil 1.
Wewe ni another rich man in town.

Kumbuka, unaweza kuchanganyia na mbuzi ambao nao wana super profit pia hasa miaka hii mboga itokanayo na damu supply imekua ndogo kuliko demand.

Kila la kheri, copy maana soon nafuta.
Sasa unafuta ili iweje?
Yaani hili ndiyo wazo unahangaisha watu unasema utafuta?
Halafu inaonekana wazo lenyewe hujawahi kulifanyia kazi ukajua ghalama za uendeshaji zitakuwaje ndani ya hiyo miaka 2.
Ni wazo la kawaida na siyo wazo bora sana hata utishie watu eti unalifuta.
 
Sasa unafuta ili iweje?
Yaani hili ndiyo wazo unahangaisha watu unasema utafuta?
Halafu inaonekana wazo lenyewe hujawahi kulifanyia kazi ukajua ghalama za uendeshaji zitakuwaje ndani ya hiyo miaka 2.
Ni wazo la kawaida na siyo wazo bora sana hata utishie watu eti unalifuta.
Sawa,
 
Kuna utajiri mkubwa sana katika mifugo.
Nini cha kufanya,
Kama upo jijini, toka nje ya mji/mkoani, nunua tu ng'ombe tudogo tunato gharimu laki 2.5 kushuka chini mpaka twa laki moja.
Sijajua utapata kiasi gani kulingana na mtaji wako, then tafuta kijana mdogo awachunge huku unawalisha supplements like mashudu, pumba na madini.
Maximum baada ya miaka 2 utawauza si chini ya mil 1.
Wewe ni another rich man in town.

Kumbuka, unaweza kuchanganyia na mbuzi ambao nao wana super profit pia hasa miaka hii mboga itokanayo na damu supply imekua ndogo kuliko demand.

Kila la kheri, copy maana soon nafuta.
Shukrani mkuu
 
Nataka ninunue vipande UTT au niweke fixed account Ili nipate "mshahara" wa Kila mwezi kupitia gawio la mwezi.

Nikipata 500k kwenye gawio Kwa mwezi itatatosha maana tayari nina njia zingine za kuniingizia mia mbili mia tatu.

Nataka nikafanye mambo mengine huku nikiwa na sure na cashflow kwa ajili ya familia na watoto.

Natanguliza shukrani.
Mkuu, mbona hii simple sana.

Huku Tanga, kule kwenye jimbo la Mwana FA (Muheza), nasikia kuna babu mmoja ana beberu lake kubwa mithili ya nyati.

Ukitaka utajiri, hilo beberu linakuzagamua kila ijumaa. Yani hiyo mill 30 mbona ndogo.

Tena likikuzagamua likakutoa damu hela zinaongezeka maradufu.

Karibu nikupeleke mkuu.

Vijana wa siku hizi sijui mmekuaje! Yani unakuja huku jukwaani unawaomba kabisa wadau wakupe mbinu ya kupata kiasi hicho cha fedha bila kukitolea jasho! Kweli?

So sad.
 
Shukrani mkuu
Amina, nikuondoe wasiwasi.
Am among doing this, I have witnessed the success.!
Running cost is not huge to extend ukapata loss.
Hawa ni wanyama wanakula nyasi ambazo ni costless tofauti na wanyama wengine.
In addition, hata ng'ombe wa maziwa analipa kuliko kufuga kuku na nguruwe.
We are making stories, can be helpful or not.!
 
Mkuu, mbona hii simple sana.

Huku Tanga, kule kwenye jimbo la Mwana FA (Muheza), nasikia kuna babu mmoja ana beberu lake kubwa mithili ya nyati.

Ukitaka utajiri, hilo beberu linakuzagamua kila ijumaa. Yani hiyo mill 30 mbona ndogo.

Tena likikuzagamua likakutoa damu hela zinaongezeka maradufu.

Karibu nikupeleke mkuu.

Vijana wa siku hizi sijui mmekuaje! Yani unakuja huku jukwaani unawaomba kabisa wadau wakupe mbinu ya kupata kiasi hicho cha fedha bila kukitolea jasho! Kweli?

So sad.
Mkuu shukrani Kwa ushauri wako,
Je wewe ashawahi kukuzagamua!?
 
Hapana utakua umesoma haraka, kwa m30 nilisema inanunua bajaj 3 na chenji inabak.

Hizo bajaji 3 nimeweka kila bajaji rejesho la 15 elfu badala ya 20 elfu ambayo kwa bajaji 3 unaingiza 45 elfu kwa siku halafu kwa mwezi unapata 1,350,000.

Cancel hiyo 350,000 kwa ajili ya weekly service n. K unabakiwa na m1 nzima kwa mwezi tofauti na laki 5
Haa OK sawa wapo watakaofanya hizo wacha sisi wazee wa boda to boda tuendelee na harakati zetu...
 
Sasa unafuta ili iweje?
Yaani hili ndiyo wazo unahangaisha watu unasema utafuta?
Halafu inaonekana wazo lenyewe hujawahi kulifanyia kazi ukajua ghalama za uendeshaji zitakuwaje ndani ya hiyo miaka 2.
Ni wazo la kawaida na siyo wazo bora sana hata utishie watu eti unalifuta.
Hahah yaan anachekesha,hajui presha ya biashara ya vyombo vya moto..mara mia uweke huko UTT u relax kwa kwel,hata ukifa kizaz chako kitaendelea kujichukulia faida,na kizaz na kizaz ,no kutoa pesa,ni kuchukua faida tu,without presha and stress
 
Back
Top Bottom