Nina shida ya millioni 30, naombeni mbinu ya kuzipata

Nina shida ya millioni 30, naombeni mbinu ya kuzipata

Ukiwa na 60miliion bola Utt na bond za benki kuu kuliko kujenga nyumba.

*Utt na bond za benki kuu ni liquid assets na nyumba ni illiquid assets Sasa ukitaka kuuza nyumba Yako ndani ya muda mfupi say 5 days unaweza shangaa ukauza kwa 40mil ila ukitaka kutoa pesa Yako UTT haitashuka dhamanj .

*umesema Kodi ya nyumba inakupa 500k Kila mwezi, how sure? ingia sokoni uone mziki Kuna miezi utakosa wapangaji so hautapata Tena 500k Kuna kufanya marekebisho ya nyumba Kuna kusumbuana kulipana kutoka kwa wapangaji na Kunawapangaji siyo wahaaminifu wanaweza kutoroka kwako bila kulipaa.. Kodi kwa UTT hakuna kitu kama hicho utapokea 500k each month kama mtumishi wa umma tarehe zikifika automatic pesa inaingia kwenye account Yako Haina haja ya kugombana na watu.

*Kati ya dhamana ya kuwa na BOND ya benkii kuu na nyumba.. ukienda benki kukopa mwenye bond mala nyingi anapewa mkopo kwa haraka sana kuliko mwenye nyumba.. dhamana ya financial assets huwezi kuilinganisha na nyumba.
Somo zuri sana
 
Inaonekana kuna tapeli kakuwin tayari, we kaweke hiyo 30m ili uwe unapata laki 5 kila mwezi.

Dezo mbaya sana.! Isitoshe ni ujinga yaani m30 ikuingizie laki 5

M30 unapata laki 5 kwa mwezi ni sawa na 17000 kwa siku.
Ukiongeza akili kidogo tu.

M30 unanunua bajaji 3 na chenji inabaki.

Bajaj 3 kila siku 15000 bajaj 1 × 3 = 45,000 per day.
Kwenye hiyo 45000 umepiga garama za uchakavu? Usimamizi nk?
Kama kweli itazaa 500k Kwenye UTT kwa mwezi nitashauri .. mdau u focus huko
 
Hesabu za kwenye mitandao ya kijamii hizi...yaani utoe 30m kwa ajili ya kununua bajaji madereva hawa wala ndumu walete kila siku 45,000 acha kuwapoteza watu...
Tena hiyo nimepiga hesabu minimum.!

Ukiamua kuwekeza kwenye biashara utaajir mpaka vichaa imladi wanakuletea pesa.

Nenda kawafanyie utafit madereva fuso, bus hauta amini lkn ndo wanakuendeshea biashara.
 
Tafuta eneo lima bange heka tano tu milion kama mbili gharama za ulimaji hivi kisha tafuta milioni mbili tena iweke ajiri ya kulitunza shamba, shamba la bange linatunzwa kitamaduni elewa kitamaduni, ukivuna hapo hiyo pesa unayoitaka ndogo
 
Nataka ninunue vipande UTT au niweke fixed account Ili nipate "mshahara" wa Kila mwezi kupitia gawio la mwezi.

Nikipata 500k kwenye gawio Kwa mwezi itatatosha maana tayari nina njia zingine za kuniingizia mia mbili mia tatu.

Nataka nikafanye mambo mengine huku nikiwa na sure na cashflow kwa ajili ya familia na watoto.

Natanguliza shukrani.
Tafuta eneo zuri fungua kibanda cha uwakala wa mitandao ya simu na bank mbalimbali kwa hiyo hela utapata si chini ya Milion 6 kwa mwezi kama utapata eneo zuri
 
Inaonekana kuna tapeli kakuwin tayari, we kaweke hiyo 30m ili uwe unapata laki 5 kila mwezi.

Dezo mbaya sana.! Isitoshe ni ujinga yaani m30 ikuingizie laki 5

M30 unapata laki 5 kwa mwezi ni sawa na 17000 kwa siku.
Ukiongeza akili kidogo tu.

M30 unanunua bajaji 3 na chenji inabaki.

Bajaj 3 kila siku 15000 bajaj 1 × 3 = 45,000 per day.
Cc: Kajala
 
Tena hiyo nimepiga hesabu minimum.!

Ukiamua kuwekeza kwenye biashara utaajir mpaka vichaa imladi wanakuletea pesa.

Nenda kawafanyie utafit madereva fuso, bus hauta amini lkn ndo wanakuendeshea biashara.
Narudia tena hizo biashara za kwenye mitandao na hesabu za humu jaribu kuwa na hilo Fusso uje na hesabu hapa za kwenye mitandao uone wastaafu wengi wanaingia kwenye hesabu zenu na kuishia kufa kwa Stroke maana hakuna hesabu za fedha mnazowapa baada ya kuwekeza huo uwekezaji wenu wa 45,000 tsh ilete bajaji moja kwa siku...
 
Tafuta eneo lima bange heka tano tu milion kama mbili gharama za ulimaji hivi kisha tafuta milioni mbili tena iweke ajiri ya kulitunza shamba, shamba la bange linatunzwa kitamaduni elewa kitamaduni, ukivuna hapo hiyo pesa unayoitaka ndogo
Aahaaaaa,sawa mkuu
 
Nataka ninunue vipande UTT au niweke fixed account Ili nipate "mshahara" wa Kila mwezi kupitia gawio la mwezi.

Nikipata 500k kwenye gawio Kwa mwezi itatatosha maana tayari nina njia zingine za kuniingizia mia mbili mia tatu.

Nataka nikafanye mambo mengine huku nikiwa na sure na cashflow kwa ajili ya familia na watoto.

Natanguliza shukrani.
Inamaana nikiweka 30M UTT naweza kupata 500K kwenye gawio kwa mwezi? Nijulishe.
 
Back
Top Bottom