Nina shilingi milioni 64, niwekeze kwenye biashara gani kati ya hizi?

Wazo lako la kwanza ni zuri ongeza na nguruwe a.k.a kitimoto utanufaika sana kwani soko lao ni kubwa sana
 
Njoo korogwe tanga, wekeza kwenye mashamba ya mkonge...... Utanishukuru baadae

Kabisa kaka Wazo zuri na Ema zangu 60 nishamaliza kulisafisha Alhamdulilah nasubiri Mvua ziishe nikatandaze Mkonge inshallah
 
Ya mbuzi ndo Anza nayo,kumbuka pia kibanda Cha mfugaji hapo,mawazo Yako ni mazuri yote,Mimi nipo Dodoma kwa muda mrefu Hilo la sehemu ya watoto ni muhimu pia!
 
Vipi kuhusu spear parts ikoje hii
 
Jenga Lodge!!! Hiyo hela inatosha Sana, Tena hata lodge mbili, ulifanya hivyo matunda utayaona mapema sana.
Watu mna masihara sana, milioni 64 ijenge standard lodge mbili kweli??? Kwa uzoefu wangu hata Moja standard haijengi, acheni utani...
 
Anzisha kiwanda cha misumari mkoa wowote ndani ya inchi hela hiyo inatosha
 
mi niko mwanza nataka ninaujuzi wa biashara ya viazi ulaya vya jumla kutoa kenya nyombe na bukoba lakin mtaji ndio sina. NAOMBENI KUFAAMISHWA SEHEMU YA KUKOPA MILIONI 10 au 15 alaf ntalejesha kwa liba Naombeni msahada hapo je ntakopa wapi???? au kama mtu anamtaji aje tufanye maana inafaida saana kwa maelezo zaidi nichek 0767845301
 
Fanya biashara hii hutojutia maisha yako milele Geita MPUNGA vijijini una 70000 junia njoo chukua junia za kutosha subiri a mwezi wa 12 karibu na Christmas mchele Kilo 2500-2800 we kila junia ukipewa 150000 utakuwa na faida ya 80000 kwa kila junia hahahaaaa njoo uone matajiri vijijini japo sio matajiri Sana ila ni matajiri
 
Ahahaha, nimecheka hapo kwenye "uganga", biashara ni noma aiseh[emoji23].
 
Mwanza unapanga kufanyia baishara soko gani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…