Nina shilingi milioni 64, niwekeze kwenye biashara gani kati ya hizi?

Nina shilingi milioni 64, niwekeze kwenye biashara gani kati ya hizi?

Naona uanze na kununua eneo nje ya mji kidogo ufanye ufugaji hata huo wa mbuzi ila unaweza kuweka aina nyingine ya mifugo kama kuku wa mayai pamoja na nguruwe km imani inaruhusu. Note usimamizi wako muhimu sana
 
Habarini wakuu. Natumaini mnaendelea vizuri na maandalizi ya sikukuu.

Bila kuwachosha sana, nimeweza ku save jumla ya shilingi milioni 64 hadi sasa, kiasi hiki nimeweza kukisave kuanzia mwezi April mwaka huu kutoka kwenye mshahara wangu. Nipo mkoa wa Dodoma.

So far, nimefikiria kuwekeza katika mojawapo ya mambo yafuatayo:

1. Ninunue eneo la shamba kubwa maeneo ya Dodoma nje ya mji au Dodoma vijijini kisha nianzishe kama ranchi hivi ya ufugaji wa mbuzi.

Nimefikiria mbuzi kwa sababu kwa utafiti wangu wa muda mfupi nimeona kuwa mbuzi hawana complications nyingi kulinganisha na wanyama wengine wa kufuga, na pia kuna fursa zaidi kwa mbuzi nchini, na demand ambayo haijawa satsified.

Lengo la hii ni baadae niweze kuwa na kiwanda kabisa cha kuchinja na kuprocess nyama ya mbuzi, na kuweza hata kuuza ndani na nje ya nchi products za nyama ya mbuzi.

2. Nifungue park kwa ajili ya michezo ya watoto kwa Dodoma. Moja ya gaps ambazo nimeziona Dodoma ni kukosekana kwa eneo zuri la maana kwa ajili ya michezo ya watoto na watu kupumzika pia.

Hapa nafikiria ninunue eneo Dodoma then nilitengeneze vizuri na kuweka michezo ya watoto (indoor na outdoor) ya kutosha, pamoja na kutengeneza garden nzuri ya kuvutia kwa ajili ya watu na familia zao kupumzika na kupigia picha.

Kwa nje kwenye ukuta nawaza pia kuwe na frame kadhaa ambazo nitakodisha kwa watu waweke maduka ya vyakula, vinywaji, na vitu vya watoto.

3. Nifungue kiwanda cha maji ya kunywa yale ya kwenye dispenser kwa ajili ya matumizi ya majumbani na maofisini. Nimeona gap pia hapa kwa sababu makampuni yaliyopo hapa Dodoma kwa hii huduma hayatoshelezi mahitaji kwa kiasi kikubwa, mara nyingi sana unakuta yanapotea sokoni kwa muda fulani (no consistency of supply).

4. Ninunue kiwanja saizi ya kati maeneo ambayo sasa hivi ndo yanajengeka (eg Ilazo, NALA) halafu nipige vyumba vya low-cost (behewa style), niweke hapo vyumba kadhaa, then nipangishe nile kodi kila mwezi hata 50K kwa kila room. Baadae kadri ninavyopata mpunga zaidi, niongeze idadi ya vyumba zaidi na zaidi.

Wenye uzoefu wa biashara na ideas na mnaoifahamu Dodoma, niambieni hapo nianze na ipi kati ya hizo kwa mtaji huu nilionao (milioni 64), au hata idea nyingine ambayo sijaitaja hapo juu.

Mimi maisha yangu yote nimeajiriwa tu hadi sasa (nina umri wa miaka 35). Sijawahi kufanya buashara hata ya kuingiza shs 500. Nimeona ni bora pia niangalie upande huu wa business pia maana siwezi ajiriwa milele, na pia kama mjuavyo hizi ajira zetu, leo ipo kesho haipo hasa huku private sector.

Natanguliza shukrani.
😂😂😂😂
 
We usijaribu hii biashara tafadhari...

Jenga nyumba ya wapangaji au fuga mbuzi maana bei zake zinapaa kila siku
Hahahaha...!! Sawa mkuu, inaonekana hii biashara ya usafirishaji ni kichaa tupu, maana wengi wenye uzoefu nayo wamenishauri niachane nayo kwanza inahitaji usimamizi wa karibu sana na ina headache. Asante.
 
Dodoma kina uhitaji mkubwa sana wa mbao za aina zote. Nunua eneo lako labda (40*40)m halafu nenda iringa katafute mbao(kama unapasulisha mwenyewe au unanunua) itakulipa sana
Asante sana mkuu kwa ushauri, wacha nifanye utafiti zaidi kuhusu hii.
 
Naona uanze na kununua eneo nje ya mji kidogo ufanye ufugaji hata huo wa mbuzi ila unaweza kuweka aina nyingine ya mifugo kama kuku wa mayai pamoja na nguruwe km imani inaruhusu. Note usimamizi wako muhimu sana
Asante sana mkuu. Naendelea kufuatilia zaidi kuhusu ufugaji hasa wa mbuzi, na tayari nimepanga kwenda kuwatembelea wafugaji kadhaa kujifunza kwa vitendo.
 
Habarini wakuu. Natumaini mnaendelea vizuri na maandalizi ya sikukuu.

Bila kuwachosha sana, nimeweza ku save jumla ya shilingi milioni 64 hadi sasa, kiasi hiki nimeweza kukisave kuanzia mwezi April mwaka huu kutoka kwenye mshahara wangu. Nipo mkoa wa Dodoma.

So far, nimefikiria kuwekeza katika mojawapo ya mambo yafuatayo:

1. Ninunue eneo la shamba kubwa maeneo ya Dodoma nje ya mji au Dodoma vijijini kisha nianzishe kama ranchi hivi ya ufugaji wa mbuzi.

Nimefikiria mbuzi kwa sababu kwa utafiti wangu wa muda mfupi nimeona kuwa mbuzi hawana complications nyingi kulinganisha na wanyama wengine wa kufuga, na pia kuna fursa zaidi kwa mbuzi nchini, na demand ambayo haijawa satsified.

Lengo la hii ni baadae niweze kuwa na kiwanda kabisa cha kuchinja na kuprocess nyama ya mbuzi, na kuweza hata kuuza ndani na nje ya nchi products za nyama ya mbuzi.

2. Nifungue park kwa ajili ya michezo ya watoto kwa Dodoma. Moja ya gaps ambazo nimeziona Dodoma ni kukosekana kwa eneo zuri la maana kwa ajili ya michezo ya watoto na watu kupumzika pia.

Hapa nafikiria ninunue eneo Dodoma then nilitengeneze vizuri na kuweka michezo ya watoto (indoor na outdoor) ya kutosha, pamoja na kutengeneza garden nzuri ya kuvutia kwa ajili ya watu na familia zao kupumzika na kupigia picha.

Kwa nje kwenye ukuta nawaza pia kuwe na frame kadhaa ambazo nitakodisha kwa watu waweke maduka ya vyakula, vinywaji, na vitu vya watoto.

3. Nifungue kiwanda cha maji ya kunywa yale ya kwenye dispenser kwa ajili ya matumizi ya majumbani na maofisini. Nimeona gap pia hapa kwa sababu makampuni yaliyopo hapa Dodoma kwa hii huduma hayatoshelezi mahitaji kwa kiasi kikubwa, mara nyingi sana unakuta yanapotea sokoni kwa muda fulani (no consistency of supply).

4. Ninunue kiwanja saizi ya kati maeneo ambayo sasa hivi ndo yanajengeka (eg Ilazo, NALA) halafu nipige vyumba vya low-cost (behewa style), niweke hapo vyumba kadhaa, then nipangishe nile kodi kila mwezi hata 50K kwa kila room. Baadae kadri ninavyopata mpunga zaidi, niongeze idadi ya vyumba zaidi na zaidi.

Wenye uzoefu wa biashara na ideas na mnaoifahamu Dodoma, niambieni hapo nianze na ipi kati ya hizo kwa mtaji huu nilionao (milioni 64), au hata idea nyingine ambayo sijaitaja hapo juu.

Mimi maisha yangu yote nimeajiriwa tu hadi sasa (nina umri wa miaka 35). Sijawahi kufanya buashara hata ya kuingiza shs 500. Nimeona ni bora pia niangalie upande huu wa business pia maana siwezi ajiriwa milele, na pia kama mjuavyo hizi ajira zetu, leo ipo kesho haipo hasa huku private sector.

Natanguliza shukrani.
Hongera mkuu una kazi nzuri sana .
mm bdo sina mishe ila nimebobea kwenye uchumi ningependa kukushauri katka hya yafuatayo ukayafanyie tafiti kwa kina mkuu

1.Angalia location nzuri then nunua ardhi thamani ya ardhi ikipanda uje upush mbeleni.pindi unasubili thamani yake ipande hyo maeneo uwe unafanyia shughuli mbalimbali ikiwemo ufugaki wa samaki ,kilimo na mifugo.
2. wekeza kiasi cha fedha kwenye hati fungani UTT,NBC ,nk kwa usalama wa mtaji wako, hii mifuko inasaidia kuepukana na risk prone za biashara

3.Tafuta kibali ,fanya tafiti ingia kwenye biashara ya ukopeshaji wa fedha

4. Wekeza kwenye biashara za starehe mfano lodge,bar,kigrosali cha vinwaji hapa kwanje unaweza weka na mashine za kamali,kubeti.

5.kule songwe /chunya ukijenga plants kila mteja anapoleta mzigo wa marudio ya dhahabu kuchenjua kwako anakulipa 3M costant. umiliki wa plant hauna risk sana ukilinganisha na ununuzi wa madini na kuendesha gharama za uchimbaji.

6.Tafuta vijana wa train ,ama jiridhishe na mazao ambayo sokoni bei yake iko juu then ingia kununua mazao ya kilimo. mfano wakulima kipindi cha mavuno bei huwa chini sana but soon baada ya mavuno kuisha bei za mazao huwa juu sana. so nakushauri nunua mazao kwa wakulima ,store then push huo mtaji wako utakua sana.

ni hayo tu chief
 
Hahahaha...!! Sawa mkuu, inaonekana hii biashara ya usafirishaji ni kichaa tupu, maana wengi wenye uzoefu nayo wamenishauri niachane nayo kwanza inahitaji usimamizi wa karibu sana na ina headache. Asante.
Kuna uncle wangu alikufa kwa pressure kisa gari lake moja lilipiga mzinga na lingine likahitaji kushushwa engine, kuagiza engine ikakamatwa bandarini.....kufupisha habari hapo awali hakuwa na BP lakini ili muua 😥😥😥
 
Habarini wakuu. Natumaini mnaendelea vizuri na maandalizi ya sikukuu.

Bila kuwachosha sana, nimeweza ku save jumla ya shilingi milioni 64 hadi sasa, kiasi hiki nimeweza kukisave kuanzia mwezi April mwaka huu kutoka kwenye mshahara wangu. Nipo mkoa wa Dodoma.

So far, nimefikiria kuwekeza katika mojawapo ya mambo yafuatayo:

1. Ninunue eneo la shamba kubwa maeneo ya Dodoma nje ya mji au Dodoma vijijini kisha nianzishe kama ranchi hivi ya ufugaji wa mbuzi.

Nimefikiria mbuzi kwa sababu kwa utafiti wangu wa muda mfupi nimeona kuwa mbuzi hawana complications nyingi kulinganisha na wanyama wengine wa kufuga, na pia kuna fursa zaidi kwa mbuzi nchini, na demand ambayo haijawa satsified.

Lengo la hii ni baadae niweze kuwa na kiwanda kabisa cha kuchinja na kuprocess nyama ya mbuzi, na kuweza hata kuuza ndani na nje ya nchi products za nyama ya mbuzi.

2. Nifungue park kwa ajili ya michezo ya watoto kwa Dodoma. Moja ya gaps ambazo nimeziona Dodoma ni kukosekana kwa eneo zuri la maana kwa ajili ya michezo ya watoto na watu kupumzika pia.

Hapa nafikiria ninunue eneo Dodoma then nilitengeneze vizuri na kuweka michezo ya watoto (indoor na outdoor) ya kutosha, pamoja na kutengeneza garden nzuri ya kuvutia kwa ajili ya watu na familia zao kupumzika na kupigia picha.

Kwa nje kwenye ukuta nawaza pia kuwe na frame kadhaa ambazo nitakodisha kwa watu waweke maduka ya vyakula, vinywaji, na vitu vya watoto.

3. Nifungue kiwanda cha maji ya kunywa yale ya kwenye dispenser kwa ajili ya matumizi ya majumbani na maofisini. Nimeona gap pia hapa kwa sababu makampuni yaliyopo hapa Dodoma kwa hii huduma hayatoshelezi mahitaji kwa kiasi kikubwa, mara nyingi sana unakuta yanapotea sokoni kwa muda fulani (no consistency of supply).

4. Ninunue kiwanja saizi ya kati maeneo ambayo sasa hivi ndo yanajengeka (eg Ilazo, NALA) halafu nipige vyumba vya low-cost (behewa style), niweke hapo vyumba kadhaa, then nipangishe nile kodi kila mwezi hata 50K kwa kila room. Baadae kadri ninavyopata mpunga zaidi, niongeze idadi ya vyumba zaidi na zaidi.

Wenye uzoefu wa biashara na ideas na mnaoifahamu Dodoma, niambieni hapo nianze na ipi kati ya hizo kwa mtaji huu nilionao (milioni 64), au hata idea nyingine ambayo sijaitaja hapo juu.

Mimi maisha yangu yote nimeajiriwa tu hadi sasa (nina umri wa miaka 35). Sijawahi kufanya buashara hata ya kuingiza shs 500. Nimeona ni bora pia niangalie upande huu wa business pia maana siwezi ajiriwa milele, na pia kama mjuavyo hizi ajira zetu, leo ipo kesho haipo hasa huku private sector.

Natanguliza shukrani.

Fungua mgawaha wa standard unaeza kutumia hta milion 30 na nyengine ukasave
Tafuta eneo ambalo ni standard kma hospital au eneo tu lenye mkusanyiko wa watu tafuta vijana baadh na cashier mmoja niamini utaingiza sio chini ya milion au zaid ikiwa utapta eneo zuri

Engine funguo kampuni za mikopo ya kulipa kwa riba unamueka mtu wa kumuamini unapga hela
Nunua gari ifanye ubber huku unaenda na shughuli zako kwa sku hukosi buku 40

Angalia chepes kwako ni mawazo tu
 
Hiyo namba 4 itakufaa sana, hakuna tena mjadala uzi ufute tu.
 
Kuna biashara ya kipuuzi ila inampunga balaa CHAKULA cha mifugo#asante
 
Back
Top Bottom