Nina shilingi milioni 64, niwekeze kwenye biashara gani kati ya hizi?

Nina shilingi milioni 64, niwekeze kwenye biashara gani kati ya hizi?

Hongera sana kwanza kwa kukusanya hiyo 65m. Ushauri wangu kwanza achana na wazo la ku invest Dodoma.

Nenda Dar chukua viwanja viwili maeneo ya Goba au madale jenga apartment zako mbili hata za vyumba vitatu vitatu. Trust me unakula hela ukiwa umekaa.

Shida ya hizi investment zingine inabidi ukimbizane sana lkn investment ya nyumba ukishamaliza ujenzi hela inakukuta umekaa.
Hawezi goba na madake sqm 1 sio chini ya 45,000 mpaka 50,000 yaani 20x 20 ni 20m, anabakia na 44m, hii haitoshi kujenga na kumaliza....
 
Ukweli mchungu huu.
Nimewahi kufanya kazi kwa Watanzania mabilionea wenye makampuni yao makubwa.

Lifestyle yao ni noma yaani ni zaidi ya bandidu na huwa hawamwamini mtu hata awe mama au baba yake mzazi.
Unakuta ana wafanyakazi wake kuanzia mameneja hadi vibarua wamewaajiri na kila siku wanatumiwa report zote kuanzia production hadi sales lakini utawakuta saa kumi na moja alfajiri wameshaamka wako barabarani kwenda kukagua processes za biashara zinavyokwenda,bila kuwa hivi huwezi kuwa tajiri.
Very true ...lazima uwe imara kweli kweli ukileta uzungu uzungu kwenye biashara za kitanzania hutoboi coz ukizubaa tuu unaibiwa

Wafanyakazi wengi ni wapigaji ..nao wana chase dreams zao
 
Asante kwa wazo.
64m napata Fuso la kuanzia? Na je, Fuso moja inaweza nipa return nzuri ya kuonekana? Unaweza nipa insights zaidi?
Gari sikushauri tena hiyo ya mizigo? Utafilisika fastaa yalishanikuta
 
Yeah, lodge mbili inaweza kuwa exagregation kidogo. Ila nimepata point yake, wacha nifanye utafiti
Kwa kuanzia lodge ya room 5 hadi 7, room ziwe safiiiiiiiii

Kwa Dodoma bei ya 35 hadi 40k per night maana yake hukosi kukunja 150 hadi 200 on average kwa siku

Inalipa
 
Kwa kuanzia lodge ya room 5 hadi 7, room ziwe safiiiiiiiii

Kwa Dodoma bei ya 35 hadi 40k per night maana yake hukosi kukunja 150 hadi 200 on average kwa siku

Inalipa
Aisee mbona kama unataka kumwingiza mwenzio chaka, Mil 32 ujenge lodge ya room 5-7 room ya kulipa 35k-40k unaijenga total 32Mil? Is it possible mkuu hebu kuwa realistic!!!
 
Aisee mbona kama unataka kumwingiza mwenzio chaka, Mil 32 ujenge lodge ya room 5-7 room ya kulipa 35k-40k unaijenga total 32Mil? Is it possible mkuu hebu kuwa realistic!!!
Kakwambia ana 32? Mbona mawazo yenu yanakuwa fixated kwenye hela aliyotaja...he is not dying or stop working today, hiyo hela aliyosema inatosha kuanzishia ujenzi, maisha yanaendelea hajafa
 
Habarini wakuu.

Natumaini mnaendelea vizuri na maandalizi ya sikukuu.

Bila kuwachosha sana, nimeweza ku save jumla ya shilingi milioni 64 hadi sasa, kiasi hiki nimeweza kukisave kuanzia mwezi April mwaka huu kutoka kwenye mshahara wangu. Nipo mkoa wa Dodoma.

So far, nimefikiria kuwekeza katika mojawapo ya mambo yafuatayo:

1. Ninunue eneo la shamba kubwa maeneo ya Dodoma nje ya mji au Dodoma vijijini kisha nianzishe kama ranchi hivi ya ufugaji wa mbuzi.

Nimefikiria mbuzi kwa sababu kwa utafiti wangu wa muda mfupi nimeona kuwa mbuzi hawana complications nyingi kulinganisha na wanyama wengine wa kufuga, na pia kuna fursa zaidi kwa mbuzi nchini, na demand ambayo haijawa satsified.

Lengo la hii ni baadae niweze kuwa na kiwanda kabisa cha kuchinja na kuprocess nyama ya mbuzi, na kuweza hata kuuza ndani na nje ya nchi products za nyama ya mbuzi.

2. Nifungue park kwa ajili ya michezo ya watoto kwa Dodoma. Moja ya gaps ambazo nimeziona Dodoma ni kukosekana kwa eneo zuri la maana kwa ajili ya michezo ya watoto na watu kupumzika pia.

Hapa nafikiria ninunue eneo Dodoma then nilitengeneze vizuri na kuweka michezo ya watoto (indoor na outdoor) ya kutosha, pamoja na kutengeneza garden nzuri ya kuvutia kwa ajili ya watu na familia zao kupumzika na kupigia picha.

Kwa nje kwenye ukuta nawaza pia kuwe na frame kadhaa ambazo nitakodisha kwa watu waweke maduka ya vyakula, vinywaji, na vitu vya watoto.

3. Nifungue kiwanda cha maji ya kunywa yale ya kwenye dispenser kwa ajili ya matumizi ya majumbani na maofisini. Nimeona gap pia hapa kwa sababu makampuni yaliyopo hapa Dodoma kwa hii huduma hayatoshelezi mahitaji kwa kiasi kikubwa, mara nyingi sana unakuta yanapotea sokoni kwa muda fulani (no consistency of supply).

4. Ninunue kiwanja saizi ya kati maeneo ambayo sasa hivi ndo yanajengeka (eg Ilazo, NALA) halafu nipige vyumba vya low-cost (behewa style), niweke hapo vyumba kadhaa, then nipangishe nile kodi kila mwezi hata 50K kwa kila room. Baadae kadri ninavyopata mpunga zaidi, niongeze idadi ya vyumba zaidi na zaidi.

Wenye uzoefu wa biashara na ideas na mnaoifahamu Dodoma, niambieni hapo nianze na ipi kati ya hizo kwa mtaji huu nilionao (milioni 64), au hata idea nyingine ambayo sijaitaja hapo juu.

Mimi maisha yangu yote nimeajiriwa tu hadi sasa (nina umri wa miaka 35). Sijawahi kufanya buashara hata ya kuingiza shs 500. Nimeona ni bora pia niangalie upande huu wa business pia maana siwezi ajiriwa milele, na pia kama mjuavyo hizi ajira zetu, leo ipo kesho haipo hasa huku private sector.

Natanguliza shukrani.
Unaweza pia kufikiria Pharmacy
 
Habarini wakuu.

Natumaini mnaendelea vizuri na maandalizi ya sikukuu.

Bila kuwachosha sana, nimeweza ku save jumla ya shilingi milioni 64 hadi sasa, kiasi hiki nimeweza kukisave kuanzia mwezi April mwaka huu kutoka kwenye mshahara wangu. Nipo mkoa wa Dodoma.

So far, nimefikiria kuwekeza katika mojawapo ya mambo yafuatayo:

1. Ninunue eneo la shamba kubwa maeneo ya Dodoma nje ya mji au Dodoma vijijini kisha nianzishe kama ranchi hivi ya ufugaji wa mbuzi.

Nimefikiria mbuzi kwa sababu kwa utafiti wangu wa muda mfupi nimeona kuwa mbuzi hawana complications nyingi kulinganisha na wanyama wengine wa kufuga, na pia kuna fursa zaidi kwa mbuzi nchini, na demand ambayo haijawa satsified.

Lengo la hii ni baadae niweze kuwa na kiwanda kabisa cha kuchinja na kuprocess nyama ya mbuzi, na kuweza hata kuuza ndani na nje ya nchi products za nyama ya mbuzi.

2. Nifungue park kwa ajili ya michezo ya watoto kwa Dodoma. Moja ya gaps ambazo nimeziona Dodoma ni kukosekana kwa eneo zuri la maana kwa ajili ya michezo ya watoto na watu kupumzika pia.

Hapa nafikiria ninunue eneo Dodoma then nilitengeneze vizuri na kuweka michezo ya watoto (indoor na outdoor) ya kutosha, pamoja na kutengeneza garden nzuri ya kuvutia kwa ajili ya watu na familia zao kupumzika na kupigia picha.

Kwa nje kwenye ukuta nawaza pia kuwe na frame kadhaa ambazo nitakodisha kwa watu waweke maduka ya vyakula, vinywaji, na vitu vya watoto.

3. Nifungue kiwanda cha maji ya kunywa yale ya kwenye dispenser kwa ajili ya matumizi ya majumbani na maofisini. Nimeona gap pia hapa kwa sababu makampuni yaliyopo hapa Dodoma kwa hii huduma hayatoshelezi mahitaji kwa kiasi kikubwa, mara nyingi sana unakuta yanapotea sokoni kwa muda fulani (no consistency of supply).

4. Ninunue kiwanja saizi ya kati maeneo ambayo sasa hivi ndo yanajengeka (eg Ilazo, NALA) halafu nipige vyumba vya low-cost (behewa style), niweke hapo vyumba kadhaa, then nipangishe nile kodi kila mwezi hata 50K kwa kila room. Baadae kadri ninavyopata mpunga zaidi, niongeze idadi ya vyumba zaidi na zaidi.

Wenye uzoefu wa biashara na ideas na mnaoifahamu Dodoma, niambieni hapo nianze na ipi kati ya hizo kwa mtaji huu nilionao (milioni 64), au hata idea nyingine ambayo sijaitaja hapo juu.

Mimi maisha yangu yote nimeajiriwa tu hadi sasa (nina umri wa miaka 35). Sijawahi kufanya buashara hata ya kuingiza shs 500. Nimeona ni bora pia niangalie upande huu wa business pia maana siwezi ajiriwa milele, na pia kama mjuavyo hizi ajira zetu, leo ipo kesho haipo hasa huku private sector.

Natanguliza shukrani.
Bro mimi nimejenga nyumba za kupangisha kwa sasa nina wapangaji 12 natamani nitume excel sheet humu uone sema ntakuwa nimewakosea heshima wapangaji wangu kuwaanika ila nimegundua nguvu nilizotumia kujenga hizi nyumba ningejenga Lodge hata mbili haki ya nani ningeishi kibosi kabisa.

Kwa sababu mtu anaeishi kwenye nyumba ya kupanga kwa 150,000 kwa mwezi ujue anaishi kwa 3,000 kwa siku tofauti na lodge. ANYWAY hela zote zinaenda kwenye Ada za watoto nimepata eneo zuri la lodge nafanya masahihisho nitarudi kutoa report humu ikiisha
 
Kakwambia ana 32? Mbona mawazo yenu yanakuwa fixated kwenye hela aliyotaja...he is not dying or stop working today, hiyo hela aliyosema inatosha kuanzishia ujenzi, maisha yanaendelea hajafa
Kwa hiyo akianzisha ujenzi hiyo 64 ikaisha bila jengo kukamilika na kutumika, hilo jengo linakuwa asset?

Mweleze mleta maada; ana maanisha kuwa anataka biashata ambayo atawekeza 64Mil na itaanza kuleta returns baada ya kuiwekeza...sio tena aweke 64mil halafu aaNe tena kutafuta 40Mil kukamilisha mradi ili ndo uanE kutela returns!!!
 
Bro mimi nimejenga nyumba za kupangisha kwa sasa nina wapangaji 12 natamani nitume excel sheet humu uone sema ntakuwa nimewakosea heshima wapangaji wangu kuwaanika ila nimegundua nguvu nilizotumia kujenga hizi nyumba ningejenga Lodge hata mbili haki ya nani ningeishi kibosi kabisa.
Kwa sababu mtu anaeishi kwenye nyumba ya kupanga kwa 150,000 kwa mwezi ujue anaishi kwa 3,000 kwa siku tofauti na lodge. ANYWAY hela zote zinaenda kwenye Ada za watoto nimepata eneo zuri la lodge nafanya masahihisho nitarudi kutoa report humu ikiisha
Lodge uipatie location around stand au bar kubwa kubwa hiziii...!!
 
Kwa hiyo akianzisha ujenzi hiyo 64 ikaisha bila jengo kukamilika na kutumika, hilo jengo linakuwa asset?

Mweleze mleta maada; ana maanisha kuwa anataka biashata ambayo atawekeza 64Mil na itaanza kuleta returns baada ya kuiwekeza...sio tena aweke 64mil halafu aaNe tena kutafuta 40Mil kukamilisha mradi ili ndo uanE kutela returns!!!
Case closed

Alishasema wazo la lodge amelielewa na analifanyia kazi, kwani akitafuta mil.40 kuongezea kwenye mil.64 aliyo nayo tatizo nini?
 
Back
Top Bottom