Offshore Seamen
JF-Expert Member
- Mar 9, 2018
- 5,489
- 14,091
Mkuu umemaliza kila kitu wahindi wanatumia Letter of Credit sio cash kama sisi huku.Mkuu huna sababu ya kuwa na mbia. Pata confirmed order, waambie hao wazungu wako wakuletee Letter of credit (LC) ufanye mambo yako. Wewe unacheza na kufanya mambo na Benki yako tu. Usihangaike na mtu/watu.
FYI Coco beans in UK supermarkets cost £2.25 per kilo.
Kuna wahindi na wafanyabiashara wengine wa kibongo siku hizi hawahangaiki na cash wanatumia Letter of Credit kwa benki zao kubwa na Wana export na import mizigo mpaka ya billions of money.Yote hayo tulielezwa mkuu...
NitakuchekiMiaka mitatu nyuma nimewahi fanya kazi na wazungu fulani toka Uingereza ya kununua karanga, tulipomaliza waliondoka, last week walinichek wanataka haya maharage.
Wao hawataki kuja huku, wanataka tani na tani za haya maharage baada ni biashara endelevu.
Kwa hiyo natafuta mbia mwenye mtaji.
Tafadhari tuwasiliane kwa maelezo zaidi.
0622723082
View attachment 1811264
Kuna ombwe sana aiseKuna wahindi na wafanyabiashara wengine wa kibongo siku hizi hawahangaiki na cash wanatumia Letter of Credit kwa benki zao kubwa na Wana export na import mizigo mpaka ya billions of money.
Sema sisi waswahili benki zetu haziweka nguvu kuwasapoti wamatumbi kwenye International Trade. Sisi packages zetu ni zile za weka,toa,junior account na promotion za kutumia visa card ushinde kirikuu.
pole sana kaka😀😀😂Kulima hayo maharage sio tatizo kubwa..wasiwasi ni uhakika wa hilo soko.
Kuna wahamasishaji walikuja na ushauri wa ufugaji wa sungura pamoja na ahadi za kuwanunua wote, watu tukajituma na sungura wakafunguka kama kawaida yao.
Mwisho wa siku wanunuzi waliingia mitini.
Ilibidi tujifunze kula sungura.
Duh eka 400 na bado zikawa ndogo, si mchezo, sasa sisi wenye vihekari 15-20 wala tusithubutu..Mwaka 2015 kuna mdada anaishi Uk akatutaftia soko la mchicha...bas kwenye group la watu 200 tukakubaliana kkla mtu alime eka 2...huwez amin zile eka ilionekana ni chache mnooo kusafirisha....so kuexport mzigo nje sio shughyli za kitoto...lazima uwe fresh sana kifedha!
Rose cockKuna jina lake nimesahau...naskia yana rojo balaa
Yanaitwa Rose koko[emoji3][emoji3] kuna jina la kibongo bongo yanajina lake nimesahau...ohh kumbe yanaitwa pinto
Mkuu upo mkoa gani?Miaka mitatu nyuma nimewahi fanya kazi na wazungu fulani toka Uingereza ya kununua karanga, tulipomaliza waliondoka, last week walinichek wanataka haya maharage.
Wao hawataki kuja huku, wanataka tani na tani za haya maharage baada ni biashara endelevu.
Kwa hiyo natafuta mbia mwenye mtaji.
Tafadhari tuwasiliane kwa maelezo zaidi.
0622723082
View attachment 1811264