babu M
JF-Expert Member
- Mar 4, 2010
- 5,222
- 3,173
Nionyeshe ni kipi akifanani? Ni wapi nimejimix?Nadhani umejimix mkuu... ulichoandika na yy mbona havina mfanano
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nionyeshe ni kipi akifanani? Ni wapi nimejimix?Nadhani umejimix mkuu... ulichoandika na yy mbona havina mfanano
babu M ! Alianzia hapa...sasa angalia na ww ulichoandika...na angalua convo zetu mimi na yeye na ulichoreplyMimi natafuta sana taarifa.
Tangu 2019 nina mwaliko kuhamia Norway, nawaza na kuwazua. Nimeshaitwa hadi basi. Woga wa kuanza upya. Nawaza what if nikichemsha narudije Bongo?😂
Hahaaa kumbe thread imegeuka utapeli tena?? Dah😀😀My apologies, nilidhania unamwongelea CHIMULENGE alianzisha hii thread yenye harufu ya utapeli!!
Kuna maharage ya nyama au kispanyola sijakimaster vizuri?Kwa kuwasaidia wale ambao ni wavivu kufanya uchunguzi! Wazungu wa uingereza hawali hayo maharage yaliyopo kwenye picha(Naomba kusahihishwa)
Beans zinazoliwa sana na wazungu. Hapa ninaongelea ambazo zinaliwa kila siku ambazo wenyewe wana zi include kwenye “5 a day”!! Ni beans zinazotumiwa kwenye baked beans(eg Navy/haricot), green beans nk.
Na kuna nyingine ambazo zinatumiwa sana na minority kwenye vyakula kama “rice and peas”, chilli con carne….Hizi aina za haya maharage zinazotumiwa kwenye hivi vyakula, yamejaa sana kwenye maduka ya wahindi na hayatumiki/nunuliwi sana kiivyo!!
Labda waliopo Uingereza watusaidie.
Hiyo kali madaba hayo meupe na mabaka meusi yanaitwa maharage ya mzungu, silver land wanatoa mbegu halafu wananunua kilo 1 sh 4500 kwa mkulima (bei ya 2019).Nadhan linaitwa jicho la mke mwenza
- Huyu(Chimulenge) alianzisha huu uzi ameshindwa hata kusema jina la hizo beans!Hahaha kumbe thread imegeuka utapeli tena?? Dah😀😀
Yapo Kama hayo
Njiapanda
Singida
Muuzaji kanipa namba yake ukitaka kutafutiwa semaView attachment 1808992
Huyu ni mbabaishaji tena mvivu wa google ili haweze kuwadanganya watu vizuri.ndege JOHN Mtafuta soko ni mbambaishaji, Anatafuta mbia mwenye mtaji kivipi ! Kama mzungu anataka bidhaa na bidha ipo c aje na hela achukue mzigo !
Hiyo kali madaba hayo meupe na mabaka meusi yanaitwa maharage ya mzungu, silver land wanatoa mbegu halafu wananunua kilo 1 sh 4500 kwa mkulima (bei ya 2019).
Maharage haya yana kazi nyingi sana viwandani tofauti na wengi wamekariri kupika tu . Food industry yanatumika kutengeneza biscuits, bites, bakery, milk, unga lishe etc kuna mzungu Kilimanjaro ni specialist wa kuzalisha aina za maharage ya kipee duniani huwa anayapeleka France baadhi yanatumika kutibu mbwa
Niko nasubiria uzi wako wa safari za ughaibuniHuyo kwenda nje ni kama mimi kwenda sokoni kununua mchicha
Duh...ughaibun ya wapi mkuu? Nilimanisha ngariba....mm hata eapot siijuiNiko nasubiria uzi wako wa safari za ughaibuni
Kulima maharage si sawa na kufuga sungura.Watanzania wangapi wanakula sungura. Maharage yanaliwa na watu wengi sio sawa na sungura.Kulima hayo maharage sio tatizo kubwa..wasiwasi ni uhakika wa hilo soko.
Kuna wahamasishaji walikuja na ushauri wa ufugaji wa sungura pamoja na ahadi za kuwanunua wote, watu tukajituma na sungura wakafunguka kama kawaida yao.
Mwisho wa siku wanunuzi waliingia mitini.
Ilibidi tujifunze kula sungura.
😹Kulima hayo maharage sio tatizo kubwa..wasiwasi ni uhakika wa hilo soko.
Kuna wahamasishaji walikuja na ushauri wa ufugaji wa sungura pamoja na ahadi za kuwanunua wote, watu tukajituma na sungura wakafunguka kama kawaida yao.
Mwisho wa siku wanunuzi waliingia mitini.
Ilibidi tujifunze kula sungura.
Kuna sehem nimeyaona bt sijajua unahitaji kiasi gan na utanunua kwa sh ngapiMimi kuna jamaa yangu anaishi Johernesburg anahitaji maharage meupe, Kama kuna mtu humu anajua wapi tunaweza kuyapata kwa wingi anijulishe.
Debe 30000 kama upo teyari nistueKuna sehem nimeyaona bt sijajua unahitaji kiasi gan na utanunua kwa sh ngapi
hahahahaa pitishia na chapati mkuuKuna jamaa alikuwa anakuja kijijini kwetu uku sumbawanga kununua paka.paka wakawa fursa kila akija anakuja na bei ya juu.paka wakaadimika ikabidi vijana waanze kuwatafuta vijiji vya jirani.nako paka wakaisha nakumbuka alipokuja tena alikuja na oda ya paka 10000.kwa ofa ya sh.80000 kila paka mmoja.vijana wakazunguka vijiji karibu 7 paka wanapatikana 2 Mara 3.akatokea Mzee mmoja akasema Kuna bibi mmoja anafuga paka na yupo kwenye pori fulan HV kila paka ni anauza 50000 .watu ni kuvamia pori na kwenda kununua paka.wakarudi na paka kijijini kumsubiria mnunuzi.ni takribani siku ya tatu mnunuzi hajatokea kumbe mnunuzi alikuwa anakuja kununua na kuwatunza kijiji kilichopo kando ya pori...sa HV watu wapo wanazurura na mapaka mtaani paka ni wengi.
Biashara kama hizi zinahitaji mikataba ili ikitokea mmoja kaingia mitini basi inabidia alipe fidiaKulima hayo maharage sio tatizo kubwa..wasiwasi ni uhakika wa hilo soko.
Kuna wahamasishaji walikuja na ushauri wa ufugaji wa sungura pamoja na ahadi za kuwanunua wote, watu tukajituma na sungura wakafunguka kama kawaida yao.
Mwisho wa siku wanunuzi waliingia mitini.
Ilibidi tujifunze kula sungura.
Kwenye ku export mzigo sisi tuna vipengele vingi na kila kimoja kinataka uwe na pesa hapo kwa papo.Mwaka 2015 kuna mdada anaishi Uk akatutaftia soko la mchicha...bas kwenye group la watu 200 tukakubaliana kkla mtu alime eka 2...huwez amin zile eka ilionekana ni chache mnooo kusafirisha....so kuexport mzigo nje sio shughyli za kitoto...lazima uwe fresh sana kifedha!
Yote hayo tulielezwa mkuu...Kwenye ku export mzigo sisi tuna vipengele vingi na kila kimoja kinataka uwe na pesa hapo kwa papo.
Mfano mlipotaka kupeleka mchicha kama mteja wenu alitaka ajue ubora wa mchicha mngetafuta Quality Certificate, weight certificate, mngelipa kilimo,Kodi, gharama za packing na stuffing za mchicha na pesa ya kumlipa clearing and Fowarding agent atakaye peleka kontena bandari na kuwafanyia booking ya meli na kusafirisha mpaka UK.