Nina soko Uingereza la maharage haya natafuta patner mwenye mtaji

Nina soko Uingereza la maharage haya natafuta patner mwenye mtaji

Kulima hayo maharage sio tatizo kubwa..wasiwasi ni uhakika wa hilo soko.

Kuna wahamasishaji walikuja na ushauri wa ufugaji wa sungura pamoja na ahadi za kuwanunua wote, watu tukajituma na sungura wakafunguka kama kawaida yao.
Mwisho wa siku wanunuzi waliingia mitini.
Ilibidi tujifunze kula sungura.
Mkuu solo kubwa si ni Zanzibar at I!!!
 
Ila sio Tani mkuu Ni Kama gunia kadhaa wanaweza kukutafutia
Mwaka 2015 kuna mdada anaishi Uk akatutaftia soko la mchicha...bas kwenye group la watu 200 tukakubaliana kkla mtu alime eka 2...huwez amin zile eka ilionekana ni chache mnooo kusafirisha....so kuexport mzigo nje sio shughyli za kitoto...lazima uwe fresh sana kifedha!
 
Hujaona picha mzee
Mkuu kama kweli yupo serious Na pia hao wazungu. Hauwezi kutumia picha tu kama kigezo.

Mfano:
Picha ya pili; Mimi naweza kutafuta tani za matani za cranberry beans halafu baadae nikaambiwa hapa wanataka pinto au borlotti beans.
Baadhi ya maharage yanafanana sana. Kama wapo serious na biashara ingebidi wawe more specific zaidi ya picha!!
 
Kulima hayo maharage sio tatizo kubwa..wasiwasi ni uhakika wa hilo soko.

Kuna wahamasishaji walikuja na ushauri wa ufugaji wa sungura pamoja na ahadi za kuwanunua wote, watu tukajituma na sungura wakafunguka kama kawaida yao.
Mwisho wa siku wanunuzi waliingia mitini.
Ilibidi tujifunze kula sungura.
Pole sana Mkuu.
Soma, Jaribu kufanya research kwanza na ingia makubaliano kwenye makarasi pia.
Kwenye mitandao kuna utapeli sana.
Mfano huyo wa sungura inawezeka alipata “soko” kwenye mitandao. Mwisho wa siku wakamwomba pesa za lawyers kutengeneza contract na shippings. Baada ya kumla na kugundua ametapeliwa. Akaingia mitini kimya kimya kutibu majeraha badala ya kurudi kwako na kukiri aliingizwa cha kike!!

Hata hii ya maharage kuna harufu ya utapeli…hata jina la hayo maharage wameshindwa kuweka!!
 
Kuna jamaa alikuwa anakuja kijijini kwetu uku sumbawanga kununua paka.paka wakawa fursa kila akija anakuja na bei ya juu.paka wakaadimika ikabidi vijana waanze kuwatafuta vijiji vya jirani.nako paka wakaisha nakumbuka alipokuja tena alikuja na oda ya paka 10000.kwa ofa ya sh.80000 kila paka mmoja.vijana wakazunguka vijiji karibu 7 paka wanapatikana 2 Mara 3.akatokea Mzee mmoja akasema Kuna bibi mmoja anafuga paka na yupo kwenye pori fulan HV kila paka ni anauza 50000 .watu ni kuvamia pori na kwenda kununua paka.wakarudi na paka kijijini kumsubiria mnunuzi.ni takribani siku ya tatu mnunuzi hajatokea kumbe mnunuzi alikuwa anakuja kununua na kuwatunza kijiji kilichopo kando ya pori...sa HV watu wapo wanazurura na mapaka mtaani paka ni wengi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] duhhhh
 
Hata utapeli huwa unapita njia hizo hizo.. Hizo karanga isije kuwa ilikuwa ni kipengere tu!
Siyo kila kitu ni utapeli mkuu, wanaofanya biashaara za kimataifa wanajua, kabla hujaanza kununua mzigo kuna agreement mnaingia na mengine mengi mkuu...
 
Duuh..
Haya Maharage nakula sana haipiti wiki...
Yanaitwa Borlotti beans au Rosecoco beans

1622897631521.png
 
Mtu mwaminifu hawezi kuweka VPN katika simu yake,

Shitukeni mtaibiwaaaaa.
 
Siyo kila kitu ni utapeli mkuu, wanaofanya biashaara za kimataifa wanajua, kabla hujaanza kununua mzigo kuna agreement mnaingia na mengine mengi mkuu...
Mkuu.
Hata jina ameshindwa kuweka zaidi ya picha!
Yeye mwenyewe hapo kwenye “agreement” ndio atakqpoliwa na Wapopo!!
 
Mipumbavu ilijazwa ujinga sana na mwendazake...
kila mtu akisema nimepata channel ya biashara ya vitu fulani... tayari unaonekana Tapeli
Aisee... Tulirudishwa nyuma karne nzima.........
 
Yaani utatapeliwa vipi maharage au mahindi au mchele mpaka unamuona mtu tapeli
si ni yeye ndio mwenye hela wewe una mzigo wa kuuza
Au wewe ndio tapeli uuze mawe kwenye magunia..
Pumbaaaaafu.......
 
Sisi kila kitu kuingiza siasa.
Wewe mtu anataka tani kwa matani ya maharage hata jina ameshindwa kuweka. Halafu sisi tunao hoji ni wapumbavu!!
 
Sio kwa kuuita kila mtu Tapeli kwa kila kitu
Mfahamisheni haya maharage yanaitwa hivi... na kuna jamii nyingi za haya maharage zinafana sio kukimbiliaa ooohhh hujui jina lake basi wewe ni tapeli.........
 
Yaani utatapeliwa vipi maharage au mahindi au mchele mpaka unamuona mtu tapeli
si ni yeye ndio mwenye hela wewe una mzigo wa kuuza
Au wewe ndio tapeli uuze mawe kwenye magunia..
Pumbaaaaafu.......
Wewe inawezeka ni mshamba hata 419 scam hujawai kuisikia!!
 
Hahaaaa....
Penal code of fraud crime in Nigeria kifungu 419..
kama ulikuwa hujui 419 imetokea wapi..........
 
Back
Top Bottom