Nina soko Uingereza la maharage haya natafuta patner mwenye mtaji

Nina soko Uingereza la maharage haya natafuta patner mwenye mtaji

Mengi mno huko, wawest na wachina wanayo kuna aja gani kuagiza bongo ?
 
Mimi natafuta sana taarifa.

Tangu 2019 nina mwaliko kuhamia Norway, nawaza na kuwazua. Nimeshaitwa hadi basi. Woga wa kuanza upya. Nawaza what if nikichemsha narudije Bongo?😂
Umeniudhi wine yote imeisha...waha bwana..! Mie naenda soon.....
 
Mimi natafuta sana taarifa.

Tangu 2019 nina mwaliko kuhamia Norway, nawaza na kuwazua. Nimeshaitwa hadi basi. Woga wa kuanza upya. Nawaza what if nikichemsha narudije Bongo?😂
Fear for unknown. Mbona hili sio tatizo maana kufeli hata bongo waweza feli vilevile, wanasema mwanzo mgumu ni suala la mwezi 1 ugeni mwezi 2 mwenyeji. wewe kama unayo nia kapambane
 
Mkuu huna sababu ya kuwa na mbia. Pata confirmed order, waambie hao wazungu wako wakuletee Letter of credit (LC) ufanye mambo yako. Wewe unacheza na kufanya mambo na Benki yako tu. Usihangaike na mtu/watu.

FYI Coco beans in UK supermarkets cost £2.25 per kilo.
Haya maharage yapo katika maduka mengi ya wahindi pale Uingereza.

Nafikiri hao wazungu wana jambo lao kuhusu Maharage.

Watanzania wanapaswa kufanya utafiti wa bidhaa zipi za kilimo zalipa huko Ulaya.

Tuanze kufikiria kuuza bidhaa kama maparachichi, yakiwa manne kwenye mfuko yanagharimu kama pauni 2 mpaka 3.
 
Mkuu naomba uwaombe SCIENTIFIC NAME ya hili zao

Bila scientific name tutakua tunabuni tu maana unachoona kinafanana na hicho kumbe ni another class kwenye family of these mazao

Please waombe exact scientific name ya hili zao..from there anyone can grow 'em
Mimi nimeomba jina anakazania niangalie picha!!
Maharage kwa kiingereza ni Beans(naomba kusahihishwa)

Hapa bongo ukimwambia mtoto wa kazi akanunue MAHARAGE unaeleweka!! Lakini Ulaya ukienda supermarket ukauliza, “Do you sell beans?” Kitakachofuatia utakuuliza “What type of beans?”. Kusema kwa wanzetu just beans haijitoshelezi!
Kuna aina zaidi ya 400 za beans kwenye nchi za wenzetu. Mfano: Runner beans, broad beans, Black beans, Lima beans, kidney beans, chickpeas…n.k

Kwa mzungu hawezi kusema tu “beans”. Lazima hawe more specific ili haeleweke. Wanaosema beans tu kwenye nchi za watu ni wageni(hapa siongelei cooked) kabla hawajaelewa mazingira!!!
Sasa labda hawa wazungu wake walisema kwa kiswahili “maharage”. Lakini kama walitumia kiingireza lazima wanakuwa specific. Ndio walivyozoea!!

Halafu mtu akisema kuna watu wanatafu bidhaa fulani ili kuuza ulaya. Fanya research kwanza badala ya kudandia tu. Siku nyingine utakuja kuambiwa tuna tafuta nyama ya kitimoto kuuza Saudi Arabia na wewe ukadandia tu. Baadae unaishia kutibu maumivu kama kimya kimya kwa kuona aibu!!
 
Kwa kuwasaidia wale ambao ni wavivu kufanya uchunguzi! Wazungu wa uingereza hawali hayo maharage yaliyopo kwenye picha(Naomba kusahihishwa)
Beans zinazoliwa sana na wazungu. Hapa ninaongelea ambazo zinaliwa kila siku ambazo wenyewe wana zi include kwenye “5 a day”!! Ni beans zinazotumiwa kwenye baked beans(eg Navy/haricot), green beans nk.
Na kuna nyingine ambazo zinatumiwa sana na minority kwenye vyakula kama “rice and peas”, chilli con carne….Hizi aina za haya maharage zinazotumiwa kwenye hivi vyakula, yamejaa sana kwenye maduka ya wahindi na hayatumiki/nunuliwi sana kiivyo!!
Labda waliopo Uingereza watusaidie.
 
Huyo kwenda nje ni kama mimi kwenda sokoni kununua mchicha
Huyo unayesema anasafiri sana hajui hayo maharage kwenye picha hayaliwi na wazungu wa Uingereza!!

Hajui Ulaya kuna zaidi ya aina 400 za beans.Na ukisema beans peke yake haueleweki!!
 
Huyo unayesema anasafiri sana hajui hayo maharage kwenye picha hayaliwi na wazungu wa Uingereza!!

Hajui Ulaya kuna zaidi ya aina 400 za beans.Na ukisema beans peke yake haueleweki!!
Nadhani umejimix mkuu... ulichoandika na yy mbona havina mfanano
 
Back
Top Bottom