Nina swali kwenu Wachungaji wenye ujuzi na Biblia (Imani)

Makanisa biashara
Biashara matangazo
Yale unayoona ni matangazo
We ulikuwepo wakati watu wakifunguliwa hayo unayosema kwanini mnatapelika kirahisi sana?
Yani mtu ametengeneza story tu anakuja anakusimulia na wewe unaamini hapohapo
 
Naunga mkono hoja ...nimesoma shuhuda nika baki na maswali mengi ...sina imani sana ila naamini mwenye kustahili sifa na utukufu ni moja tu MUNGU mwwnye enzi
 
Wakuu

Kwa sasa

Kuna msitari mwembamba unaotenganisha;- unabii au utabiri,uganga,miujiza na uponyaji wa Mungu mwenyewe,na makanisa ya kweli ambayo hatuna shaka nayo kuwa MUNGU NDIO ANATUMIKIWA!
 
Mgonjwa ndie umfuata daktari, ndio kanuni ya uponyaji
 
Makanisa biashara
Biashara matangazo
Yale unayoona ni matangazo
We ulikuwepo wakati watu wakifunguliwa hayo unayosema kwanini mnatapelika kirahisi sana?
Yani mtu ametengeneza story tu anakuja anakusimulia na wewe unaamini hapohapo
Penye feki na original ipo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…