Al-mukheef
JF-Expert Member
- Feb 2, 2025
- 3,727
- 3,777
HeheheMimi niliposoma heading nikawa nishajua nini kimeandikwa, sasa kuja kusoma uzi nikajikuta naomba tu Mungu anisamehe kwa yale mawazo mabaya nilio kuanayo...😜
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HeheheMimi niliposoma heading nikawa nishajua nini kimeandikwa, sasa kuja kusoma uzi nikajikuta naomba tu Mungu anisamehe kwa yale mawazo mabaya nilio kuanayo...😜
Pimbi kama pimbi😁
🤔🤔🤔 kumbe Evelyn Salt ni bro?
Yaah
Pimbi kwenye moja na mbiliPimbi kama pimbi😁
Pimbi kwenye moja na mbili
Wewe hupendi vitu vikubwa vyeusi? Mimi na mleta mada tunapenda vitu sawa
Dudu kubwa na nyeusii tiii.... vp unapenda mkuu....!!?Asamaleko wadau
Mimi nina hii tabia ya kupenda vitu vikubwa na vyeusi. Pengine kama inakuwa na sababu fulani naweza kupata jibu hapa.
Tangu enzi nanunuliwa mavazi nilikuwa napenda sana nguo nyeusi,
Viatu ndiyo kabisa..
Lakini pia tangu nimeanza kuwa mimi Mfumo wa maisha yangu haujawahi kubadilika kwenye hii hali.
Yaani kamavazi napenda yale makubwaa halafu ni meusi kuanzia suruali hadi flana.
Simu pia napenda iwe kubwaa halafu nyeusi, hata kama ni kitochi napenda kutumia zile kubwa zinazosemwa ni za wakulima.
Mwanamke pia napenda Awe mkuubwa halafu mweusi.
Chombo cha usafiri pia (pikipiki) napenda iwe kubwa halafu nyeusi (niliwahi kumiliki sina kwa sasa)
kwa ujumla hii hali ninayo karibia kwenye kila kitu.
Sio tatizo kwangu ila nataka nijuwe tu pengine kuna kitu kinasababisha hiyo hali.
Dudu kubwa na nyeusii tiii.... vp unapenda mkuu....!!?
Dudu gani?Dudu kubwa na nyeusii tiii.... vp unapenda mkuu....!!?
😂😂😂😂Dudu gani?
Dudu gani?
Ngoja aje nimsikilize, pengine nikauvaa uGENTAMYCINE kwa dakika chache.Itakua na maanisha washa eti loooh kijana wetu maskini 🥲
Mkuu hii ni dhihaka usikubali kinukishe asee.😆Ngoja aje nimsikilize, pengine nikauvaa uGENTAMYCINE kwa dakika chache.
Sema mkuu na wewe ni ibilisi mtu nishakustukia.Mkuu hii ni dhihaka usikubali kinukishe asee.😆
Mimi nimefanya nini tena bwashee 😆Sema mkuu na wewe ni ibilisi mtu nishakustukia.
Poa Kiongozi nitaingia huko, kama sitapata majibu ya kuridhasha hapafuatilia huko mitandaoni kwanini watu wanapenda rangi mbali mbali...
hiyo ya ukubwa nayo utaipatia maelezo pia...
psychology ina kila kitu
Wewe ndiyo umemsemea jamaa, wewe tena ndiyo unaniambia nikinukishe.Mimi nimefanya nini tena bwashee 😆
Yani wewe useme unapenda vitu vikubwa vyeusi halafu unilaumu mimi?