Nina tatizo la uume kusimama mara kwa mara?

Nina tatizo la uume kusimama mara kwa mara?

una umri gan?? Hilo si tatzo bali n ww kuweka hisia za ngono acha kufkr mapz mara kwa mara au kuangalia wanawake maungo yao bac wala hutapata hali hiyo,,,,,mm mwnyw nksema niwaze mambo ya mapz bac uume lazma utacmama uume kamwe hausimami bila hisia fahamu hilo na hisia kuna omon inayofanya kaz ya kuleta msisimko lakn taarfa hadi itoke kwny ubongo so achana na ujinga huo
 
wadau, huu uume wangu umekua ukisimama kila mara, after ever few minutes lazima usimame, nikiona mwanamke mrembo tu, unasimama mpaka unauma, yaanimpaka naona hata aibu kusimama kama nilikau nimekaa in a public place..Ni taizo gani, hii ni kawaida, nitumie dawa gani upunguze kusimama?? kama ni tendo la ngono huwa nina kwenda round tano na kuendelea nahisi sipo sawa kiafya

Nilipata Sakramenti ya Kipaimara St. Joseph Cathedral 1988 na ni huko ndio tulipewa mafundisho ya BALEHE na CHANGAMOTO ZAKE. Naona dogo hukuandaliwa katika hili na umechelewa kubalehe.

Kwa kifupi hiyo ni kawaida ya balehe kwa mwanaume
 
Ahaaaaa! Sasa nimekuelewa. Hii ni janja yako ya kuopoa magumegume ya MMU yaliyoshindikana. Umejua ukijitangaza hivyo mengi yataku-PM, safi sana kijana. Ulivyojibaini hujui kutongoza ukaaplai mbinu...BRAVO
 
Uume wangu huwa unasimama ovyo pindi ninapoongea na msichana,hivyo kunipelekea kuwa na aibu hasa katika sherehe,JE TATIZO NI NINI?KARIBUNI WAKUU
 
Mie husimama tu, sio lazima niongeapo na msichana wala mvulana, tatizo nini?
 
Back
Top Bottom