Kwanza pole sana kaka mkubwa, katika maisha iyo ni changamoto mojawapo ambayo itakuafanya akili izidi kukomaa katika kujipanga kimaisha.
Tukirejea katika swala lako mi ningekushauri ufanye biashara ya kukodisha baiskeli kama mazingira uliyopo hakuna msongamano wa vyombo vya moto.
NAMAANISHA;
Kwa mfano ungekua unaishi mikoa ambayo kuna tatizo la usafiri au hakuna msongamano wa vyombo vya moto, ningekushauri kwa hizo laki 3 ununue baiskeli za kawaida za shilingi elfu 60. Ambapo katika laki tatu utapata baiskeli 5 kwaajili ya kukodisha.
TANGA- BAISKELI 500/= Kwa saa moja
so 5 x 500 = 2,500/= kwa saa moja.
chukulia umekodisha kwa masaa 8
2,500 X 8 = 20,000 /DAY
Fanya kazi week end pumzika
20000 x 26 =52,0,000/= / month
may-july miezi 2 kama chuo kina funguliwa mwanzo mwa mwezi may. ila kama mwishoni inamaana ni miezi 3
520,000 x 3 =1,560,000/=
NADHANI ADA IMESHAPATIKANA HAPO NA PESA YA KUANZIA MAISHA.
MTAZAMO:
Huu ni mfano tuu wa kitu unachoweza kufanya ili uweze kupata kile unachohitaji, ndugu yangu unaweza ukalitafakari hili wazo kisha ukalirudisha katika uhalisia wa eneo unaloishi kwa kuangalia wakazi wanamahitaji gani muhimu ambayo kwao ni shida, hapo ndipo utapata wazo linaloweza kukukwamua na pia likawa endelevu hata kama utakua upo chuo lakini bado utapata pesa ndogo ndogo za kununulia sabuni na materials nyingine.
nadhani umenielewa ndugu.
ASANTE
Tukirejea katika swala lako mi ningekushauri ufanye biashara ya kukodisha baiskeli kama mazingira uliyopo hakuna msongamano wa vyombo vya moto.
NAMAANISHA;
Kwa mfano ungekua unaishi mikoa ambayo kuna tatizo la usafiri au hakuna msongamano wa vyombo vya moto, ningekushauri kwa hizo laki 3 ununue baiskeli za kawaida za shilingi elfu 60. Ambapo katika laki tatu utapata baiskeli 5 kwaajili ya kukodisha.
TANGA- BAISKELI 500/= Kwa saa moja
so 5 x 500 = 2,500/= kwa saa moja.
chukulia umekodisha kwa masaa 8
2,500 X 8 = 20,000 /DAY
Fanya kazi week end pumzika
20000 x 26 =52,0,000/= / month
may-july miezi 2 kama chuo kina funguliwa mwanzo mwa mwezi may. ila kama mwishoni inamaana ni miezi 3
520,000 x 3 =1,560,000/=
NADHANI ADA IMESHAPATIKANA HAPO NA PESA YA KUANZIA MAISHA.
MTAZAMO:
Huu ni mfano tuu wa kitu unachoweza kufanya ili uweze kupata kile unachohitaji, ndugu yangu unaweza ukalitafakari hili wazo kisha ukalirudisha katika uhalisia wa eneo unaloishi kwa kuangalia wakazi wanamahitaji gani muhimu ambayo kwao ni shida, hapo ndipo utapata wazo linaloweza kukukwamua na pia likawa endelevu hata kama utakua upo chuo lakini bado utapata pesa ndogo ndogo za kununulia sabuni na materials nyingine.
nadhani umenielewa ndugu.
ASANTE