Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pole sana na Hongera kwa kuonesha kutokataa tamaa.
Ningekushauri ufuate Proper Channel kuomba Msaada.
Naamini wafadhili wa kukulipia ada utawapata, watu hawaaminiki nowdays,watu watajuaje kama wewe sio Tapeli?
Ungeanza na kwenda ITV could be the best step
kijana ulifanikiwa?Ndugu Wanajamvi,,
Poleni na majukumu.
Historia:
Mimi ni kijana umri 25. Nilimaliza kidato cha 4 mwaka 2010. Nikafaulu na kuchaguliwa kujiunga form 5 (2011) Azania boys. Comb: PCB. Mlezi aliyekuwa ananisomesha alifariki 2009 mwaka 1 kabla ya kumaliza o'level.
Kwa neema nikafanikiwa kuanza form 5. Hata hivyo nililazimika kuacha kutokana na kushindwa kulipa ada na michango mbalimbali ya shule. Hata hivyo nikajiapizia kuendelea na masomo.
Update: Hivi karibuni nimejaribu kufuatilia MUHAS nikaambiwa nafasi zipo za kujiunga kama nikitumia cheti cha form 4 kupitia diploma. Kilichonikatisha tamaa ni ada yao yaani Tshs. 1,114,400 kwa mwaka na kozi hiyo itachukua miaka 3. Maana yake 1,114,400 X 3 =3,343,200/- Chuo kinaanza mwezi July 2015
Cheti changu kipo hivi:
2010
Chem B pass
Biology C pass
Physics D pass
Maths C pass
Geo C pass
Kisw C pass
Eng C pass
Hist C pass
Civ C pass
OMBI:
Nina kiasi cha Tshs. 300,000. Je,naweza kuifanyia nini pesa hiyo ili mpaka July niwe nimepata ada ya Tshs. 1,114,400?
Kaka zangu, dada zangu Naomaba msaada wa mawazo. Jinsi gani nisiikose nafasi hii maana bahati hairudi. Asanteni sana kwa utu wenu!!
Wadhamini mnakaribishwa.
Tuwasiliane: izackmanase@gmail.com au
0768577654
Ni kweli ukifanikiwa kuwa dalali,Aisee!!!
Ushauri mzurMi nakushauri hivi Tafuta Mikoba Ya Kike kwa Bei ya Jumla Jumla halafu tafuta Wateja Katika Maofisi uwatembezee.. Najua Ukipata Mikoba Ya 10000 ukauza 30 utapata hela ya Ada
Hata madongo nayo ni sehemu ya msaada maana yanakutia machungu na kukufanya ufikirie sawa sawaWa TZ bwana kijana mwenzetu anaomba msaada wa Mawazo tu,comment zinazotelewa hazifanani kabisa na utu.
Kama huna msaada unaonaje ukikaa kimya ukawaacha wenye kusaidia wakatoa ushauri. Kumbuka leo kwake kesho utakuwa wewe.
Mkuu usikate tamaa na pole kwa yaliyokupata,nimechukua contact zako ntakutafuta kwa maelezo zaidi.
Safi wewe sasa nadhani ni miongoni mwa wanajamvi ambao kabla ya kuchangia huwa wanasoma thread kwa umakini kabla hawajacomment chochote....... Big up sanaukuchaguliwa kujiunga na shule za serikali maana uko ada ni sh 70000 tu
Kabisa.....ingekuwa kirahisi hivyo watu wangekuwa wanakaa tu homenenda serikalin...yaan advance kapige pcb...soma kwa bidii..ukifaulu mkopo utapata 100% ...pesa haizalishwa simple kias hicho
Huyo mwalimu mkuu anaitwa nani na akili zake sio nzuri......hana hata haya......yeye mbona hakwenda kutafuta hayo maisha au watoto wake wakatafute hayo maisha ndio aje kufukuza watoto wa wenzake......hayawani mkubwa huyo.Nilipomaliza form 4 nilipta div 2 point 20 nikafaulu kwenda Azania boys Dar es Salaam. Nikaanza kusoma form 5 PCB. Kilichonishinda ni ada na michango mbalimbali nikawa natolewa nje wakati wa mitihani mikubwa inayorekodiwa. Kwa sababu ya hayo nikashindwa kuendelea. O'level aliyenilipia ada ni kaka yangu ambaye alifariki 2009 mwaka mmoja kabla ya kumaliza form 4. 2013 nikarudi kuomba nafasi tena baada ya kupata mdhamini lakini mwalimu mkuu alinifukuza akaniambia niende mtaani nikatafute maisha . Ndio maana nataka nipitie diploma . Kilichonikwamisha mpaka sasa ni pesa tu maana nimefatilia nafasi zipo. Mambo yako hivyo.