Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 25,425
- 59,309
Mnabebishana na bando langu 😹😹ngoja nisiseme yote wakafaidi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mnabebishana na bando langu 😹😹ngoja nisiseme yote wakafaidi
Nyie wajinga mnanimalizia bando kufatilia convo yenu.. hamfiki tu mnapotaka kwenda 😹😹si umeamua, saaaafi
Angetokea mtoto wa mtu akanielewa, angefaidi sanaaa.. angenichuna hela kweli kweli.. na nilivyo dhaifu wa makunyanzi.. ila ndio ivyo udomo zege na hofu ya kukataliwaaa.. kitambaa cheupe na bambalaga nyapu zote zanitambuWewe utakuwa na vikombe vingi vya ushindi wa hiyo michuano yenu..!! 😹😹😹
Igweeeeeeeee 🤣
😹😹😹 Akisema sijui?Mwambie ukifunga duka karibu nyumbani unifundishe kupika pilau🥲🥲akifika mwambie humu joto sana punguza blauzi...ataelewa
Sema hizi za barmedi kuna kipindi tunakula short.. maana unakuta unasubiri Hadi asubuhi alafu anakukimbiaa . Kwa hasira tunaishia piga nyeto.. maana hakuna kitu kibaya mtoto anakupanga kukupa alafu anapoteaa kiutataKiboko kwasababu kwa mabar med huwa hakuna kutongozana, ni short time au tunalala,hapo ni mapatano ya bei tu
Ukiwa mwanaume kupanga convo ya mwanamke km hivyo ni rahisi, kwa ground mambo tofauti hakuna ke mwenye majibu hayo 😹😹Unafeli wapi...
Tafuta namba yake ya simu kama unayo ni poa zaidi...
Kisha mtongoze kama ifuatavyo...
Wewe: Mambo ?
Yeye: poa tu nani? (Hapo tufanye hana namba yako)
Wewe: mi intro...
Yeye: oh sawa nambie..
Wewe: fresh tu Sara (tuna assume tu anaitwa hivo) Kuna kitu nataka kukuliza sorry kama ntakukera..
Yeye: poa tu uliza..
Wewe: hivi kwann unanichukia sana?..
Yeye: Mimi nakuchukia ? Kwann unasema hivo?
Wewe: ukiniona unanuna sijui nimekukosea nn?
Yeye: hapana bana hisia zako tu... Mi sikuchukii
Wewe: kweli?
Yeye: ndio..
Wewe: siamini eti tunaweza kutana mahali nione kama unaweza tabasamu hata kidogo..
Yeye: mh una nn lakini?
Wewe: nataka tu kudhibitisha maana Kila saa nakosa Raha kwa ajili yako!..
.
.
.
Yeye: usijali bana hata mi nakuelewa sema tu we ndo hua unanikaushia
Wewe: basi kesho tukutane sehemu kwa mazungumzo zaidi..
Yeye: poa utanipanga..
Wewe: sawa nimefurahi.. good night my best
Yeye: kwako pia
.
.
Ukishindwa na hapo ndo basi tena [emoji856][emoji3][emoji1787]
Ucheze kwa taadhali sasa kuna magonjwa.!!Angetokea mtoto wa mtu akanielewa, angefaidi sanaaa.. angenichuna hela kweli kweli.. na nilivyo dhaifu wa makunyanzi.. ila ndio ivyo udomo zege na hofu ya kukataliwaaa.. kitambaa cheupe na bambalaga nyapu zote zanitambu
Expert wangu mi sikuwa na mambo hayo kabisa,ila kuna wakati kutokana na shughuli zangu za kikazi huwa najikuta napaswa kulala gesti,sasa first time nikalala guest yenye bar,nikawa na upwiru nikavuta goma,dah yan kama nimejirogaSema hizi za barmedi kuna kipindi tunakula short.. maana unakuta unasubiri Hadi asubuhi alafu anakukimbiaa . Kwa hasira tunaishia piga nyeto.. maana hakuna kitu kibaya mtoto anakupanga kukupa alafu anapoteaa kiutata
Gonorrhea ndio tatizo.. ila mengine hata hayanitishi.. vilainishi vipo siku hizi.. mtu wa kukaa ndani inabidi awe binadamu timamu walahii .. maana mtu unaelala nae awe na uwezo wa ku turn na kuwa kama mzazi wako.. bila hivyo anaweza kukufanya lolote 😅😅😅 na akakucha mataaUcheze kwa taadhali sasa kuna magonjwa.!!
Au tafuta kunyanzi moja uliweke ndani 😹
Amwambie aende wakaangalie series nzuri ya kikorea akifika mwendo ni ule ule apunguze blauzi kuna joto😅😅😂😹😹😹 Akisema sijui?
😅😅😅 Mie baamedi wamenitenda sana na wamefanya niwe sugu wa kukeshaaa kumsubiri mbususu, na wakati wengine wamekuwa sababu ya kuchukua Sheria mkononi . Maana kipindi una msubiri abdala kichwa wazi kavimba unashangaa saa 12 asubuhi mtoto haji.. kinachobaki ili ganzi ikate sabuni na wese.. unashusha wazungu.. unalalaExpert wangu mi sikuwa na mambo hayo kabisa,ila kuna wakati kutokana na shughuli zangu za kikazi huwa najikuta napaswa kulala gesti,sasa first time nikalala guest yenye bar,nikawa na upwiru nikavuta goma,dah yan kama nimejiroga
Imefikia kipindi ikinipasa kulala gesti natafuta yenye bar ili nipate mchuchu,changamoto yake unampata saa sita usiku au sita na nusu usiku,hapo upige moja halafu unaamka nayo tena,ukimwaasha usiku mnene anajifanya ana usingizi wa kufa mtu
Wewe kweli doo zege,umeomba ushauri,tunakupa ushauri unaanza tena maswaliKama ni wewe utakubali
Sasa utapataje watoto au huna cha kupoteza ni wewe na maafisa utamu tyuu.!! 😹😹😹Gonorrhea ndio tatizo.. ila mengine hata hayanitishi.. vilainishi vipo siku hizi.. mtu wa kukaa ndani inabidi awe binadamu timamu walahii .. maana mtu unaelala nae awe na uwezo wa ku turn na kuwa kama mzazi wako.. bila hivyo anaweza kukufanya lolote 😅😅😅 na akakucha mataa
Watu waliopo duniani wanatoshaaa.. aiseee.. dunia yenyewe Iko kasi sanaaa.. mie nipate utamu.. ikitokea mmoja akaamua na kunipa zawadi ya watoto basi fureshiSasa utapataje watoto au huna cha kupoteza ni wewe na maafisa utamu tyuu.!! 😹😹😹
Akisema yeye sio mpenzi wa series je? 😹😹😹Amwambie aende wakaangalie series nzuri ya kikorea akifika mwendo ni ule ule apunguze blauzi kuna joto😅😅😂
Huyu hata huyo mwanamke akifika atakuja kuomba ushauri afanye nini ili binti achojoe nguo 😹😹Wewe kweli doo zege,umeomba ushauri,tunakupa ushauri unaanza tena maswali
Kwahiyo afisa utamu akikupa zawadi y’a mtoto Fureshiii 😹Watu waliopo duniani wanatoshaaa.. aiseee.. dunia yenyewe Iko kasi sanaaa.. mie nipate utamu.. ikitokea mmoja akaamua na kunipa zawadi ya watoto basi fureshi