Nina uhakika kila mmoja wetu hapa akiihoji na kuichunguza dini yake kwa kutumia akili yake binafsi mtambuka hakuna ataebaki kuwa mhanga wa doctrines

Nina uhakika kila mmoja wetu hapa akiihoji na kuichunguza dini yake kwa kutumia akili yake binafsi mtambuka hakuna ataebaki kuwa mhanga wa doctrines

Sisi ni nani, Kwanini tuwe sisi, Kwanini tuwe kama wao.

Hivi kiundani ushajiuliza imekukuaje umekuwa wa dini hio? Kwa nini uamini kirahisi rahisi juu ya stori zao ambazo muda mwingine akili yako inazipa red flags (alerts) kwa maana ni somewhat controversial?

Unaweza kuta kweli njia wanayooiongelea ni sahihi ila wanaitumia kama technique ya kukufanya kuwa sehemu ya genge lao.

Nini dhumuni la genge lao, kumiliki dunia? Kuwatumia watu kuwa jeshi kupigania chuki zao dhidi ya kundi lingine?

Kwanini wawe tena tofauti, kama ni watoto wa muumbaji mmoja kwa nini wachukiane.

Sisi ni product ya itikadi zao, wengine walikuwa sociopaths, wengine psychopath , wengine walikuwa wapenda vita(war mongers), wengine walikuwa ni taifa katili,

Ila leo ndio tumeamua kuwa ndio wawe mashujaa wetu huku tukijietengenezea hofu kuwa tuki wa-criticize tutalaanika.

THINK, THINK AGAIN.
Dini ni mavuzi ya fikra, yanatakiwa kunyolewa akilini mwetu
 
Mitume katika uislamu walikua wanakuja kurekebisha walimwengu waliokengeuka. So mtume alikuja kusahihisha panapokosewa.
Ukitumia kigezo cha muda kuna watu walikuwepo kabla kuzaliwa yesu na walikua na dini zao, bas tuseme hadithi za kiebrania zinazoitwa za kikristo pia ni za kukopi kwa dini iliyokuwepo kabla yake.
Na unaposema ni HADITHI unamaanisha nn hasa?
Uislam ulianzishwa miaka 600 baada ya ukristo na kukopi Hadith za kiebrania na kiyahudi
 
Mitume katika uislamu walikua wanakuja kurekebisha walimwengu waliokengeuka. So mtume alikuja kusahihisha panapokosewa.
Ukitumia kigezo cha muda kuna watu walikuwepo kabla kuzaliwa yesu na walikua na dini zao, bas tuseme hadithi za kiebrania zinazoitwa za kikristo pia ni za kukopi kwa dini iliyokuwepo kabla yake.
Na unaposema ni HADITHI unamaanisha nn hasa?
Acha uongo ndugu yangu.

Unayosema ni matokeo ya kukalilishwa wala sio uhakika.
 
Kwahiyo mkuu Eli Cohen ulikua unanidanganya nilipokufuata chamber na kukuomba ushauri wa mambo ya kiimani? Na ukanishauri mambo ambayo nikaanza kuya practise na nimeanza kuona matokea yake??

Imefikia hatua i can even hear vividly the Holly spirit alerting me about some stuffs???
UMekengeuka wapi mkuu wangu?
View attachment 3089701
Mkuu ivan, SOMA UZI UELEWE.

MUNGU SIO DINI NA DINI SIO MUNGU.

DINI NDIO INAYOKUFANYA KUWA MBALI NA MUNGU

KWA MESEJI NILIOKUTUMIA NIONESHE SEHEMU NILIKUAMBIA UHAMIE DINI FLANI

Ila nilikufundisha namna ya kumfikia.

SOMA UZI UELEWE LABDA TU UMEAMUA KUNISHUSHUA NDUGU YANGU
 
Ukichunguza wengi wanaopinga kuhusu uwepo wa Mungu utagundua huko nyuma walikuwa ni wakristo. Ni nadra sana kumkuta muislamu abadilike kuwa Atheist.

Hii inazidi kuthibitisha kuwa uislamu ndio dini ya kweli.
watu hawajapinga kuhusu uwepo wa supernatural power bali dini.
elewa dini au dhehebu sio Mungu mwenyewe
 
Kuna watu wanashikilia utafikiri wameshaona hio pepo ambayo hawaijui halafu hawayaishi hayo wabayotuambia
Kabisa wanaishi illusions

Wanapoteza muda na energy

Navyozidi kuwa mtu mzima naelewa kwa nn baba alikuwaga anachekaga watu wanaokimbilia makongamano kuombea na kupewa ya baraka, he was right.
 
Ndio dini ya kweli

Ahsante sana.
Kuwa mkweli ndo dini,
Sisi ni nani, Kwanini tuwe sisi, Kwanini tuwe kama wao.

Hivi kiundani ushajiuliza imekukuaje umekuwa wa dini hio? Kwa nini uamini kirahisi rahisi juu ya stori zao ambazo muda mwingine akili yako inazipa red flags (alerts) kwa maana ni somewhat controversial?

Unaweza kuta kweli njia wanayooiongelea ni sahihi ila wanaitumia kama technique ya kukufanya kuwa sehemu ya genge lao.

Nini dhumuni la genge lao, kumiliki dunia? Kuwatumia watu kuwa jeshi kupigania chuki zao dhidi ya kundi lingine?

Kwanini wawe tena tofauti, kama ni watoto wa muumbaji mmoja kwa nini wachukiane.

Sisi ni product ya itikadi zao, wengine walikuwa sociopaths, wengine psychopath , wengine walikuwa wapenda vita(war mongers), wengine walikuwa ni taifa katili,

Ila leo ndio tumeamua kuwa ndio wawe mashujaa wetu huku tukijietengenezea hofu kuwa tuki wa-criticize tutalaanika.

THINK, THINK AGAIN.
Unachokichunguza ni kitu kinaitwa ukweli/truth, hakuna dini iliyokua juu zaidi ya ukweli/truth
 
Back
Top Bottom